Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana tbc ni ya mwisho kutazamwa na watukuna mwandishi wa kike toka TBC ameuliza mweshimiwa rais wakati unagombea urais kuna kitu ulikuwa unafikiria utakikuta ikulu.. je umekuta kama ulivyokuwa ukifikiria? daaah nilisikitika sana mwandishi wa tbc kuuliza swali kama mwandishi wa shigongo
Kuna wakati nilikuwa nafuga mbwa wanne kwa ajili ya ulinzi, lakini nikaja gundua kuna mmoja ana tabia ya kubweka hovyo bila sababu ya msingi. Nikamuona ni mwehu tuu.Pascal kuna kitu cha maana alichouliza zaidi ya kuonesha huwa hasomi katika. Raisi kamjibu asome ibara ya 35 na hivyo amemprove kuwa huwa anakurupuka kama msigwa na sugu. Raisi yuko vizuri na anaisoma katika kweli kweli. Tatizo nyie mnaongozwa na mizuka na mihemko baada ya milija yenu kuzibwa kupitia bilcabas ya mbowe
hivi Ruge nae alikuwemo? nimeskia anasifiwa tu na imoo yake.... nilitamani aulize swali la kiboyaboyahuyu ndo pekee alijua nini kimempeleka japo swali halijajibiwa ipasavyo na swali la pili ndo kabisaaa.
MUNGU AMBARIKI KWENYE KAZI YAKE
Mmh jibu pale liko wapi mkuu, au kujibu mayala kwao ni njaa.WanaJf wawili wameuliza Pascal na Manyerere but Pascal alikuwa smart na amejibiwa vizuri swali la mihimili mitatu!
Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi na hata rais kajibu kwa ubabaishaji. Natafuta clip au mwenye nayo aiweke.
Kwanza kaanza kwa kuitaji JamiiForums kwa kusema ni mwanachama mwandamizi wa JamiiForums.
Ongera yake ila najua hii ndio itakuwa mara yake ya kwanza na ya mwisho kwenda kwenye kikao cha raisi naa waandishi wa habari alafu harusiwe kuuliza swali.Nataka kutoa pongezi zangu za dhati kwa mwanajamiiforum mwenzetu kwa swali pekee lililokwenda shule, kwa Rais japo swali limejibiwa kisiasa zaidi,
Wana jf wenzangu hebu tumpongeze member mwenzetu Pasco kwa kutuwakilisha vyema,
TETESI: SAMMY AWANI NA PASCAL MAYALLA MARUFUKU IKULU.
Pascal kwanza nikupongeze kwa kujenga swali lako vizuri sana
Majibu ya Rais kuhusu swali lako yanazua utata mwingine mkubwa. Kuna nyakati serikali inasema mihimili mitatu haiingiliani kiutendaji. Rais anasema mhimili wa serikali ni mkubwa Zaidi
Hili ni tatizo kubwa sana, hakuna mhimili mkubwa katika hiyo mitatu kwa wenzetu walioanzisha system hiyo. Rais anaposema mhimili wake ni mkubwa, tayari ameshakiuka 'separation of power'
Hakujibu swali na alipojaribu aliharibu Zaidi.
Sammy na wewe nikupongeze kwa kujenga swali lako vizuri sana..
Sammy awani " watu wengi wanahisi anakandamiza demokrasia ya nchi"
Majibu ya Rais kuhusu swali lako yanazua utata mwingine mkubwa.
Kwa maswali hayo nazani kuitwa tena ikulu msahau..
Maswali magumu, majibu mepesi.
Hapa kazi tu
Huo ni ujinga
Kwalipi kuoelekea kuzuiliwa
Au mnawapa ujiko usio na maana!!!