Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Naona issue ya separation of powers inatupiga chenga wengi wetu hata tuliosomasoma. Kuna mwandishi wa habari nilimsikia star tv akiponda degree ya siasa (alifikiri inafaa kufutwa haina mchango kwenye maendeleo) sasa uzi huu na majibu ya mheshimiwa yanaonyesha ile degree ya political science na public administration ni kitu muhimu sana (wanafundishwa separation of powers, elections na democracy among others).
Huenda ikawa kweli Pascal ana njaa-swali ni njaa ipi? Njaa ya chakula, ya elimu au....? Ni mwandishi na mwanasheria hivyo anabackground nzuri ya kuuliza swali lile (katiba na haki za bina adamu), of course lile lingine halikujibiwa.
 
Aisee.

kwa upande wangu nampuuza aliyejibu hovyo.

~Ze Kitabu.
 
Huwezi kuwa na separation of power kwa katiba hii!!! Bado nasisitiza Njaa itamuua Paskali.

Aidha TUNAMUONYA aache KUDHARAU wahariri, ATUOMBE MSAMAHA KABLA HATUJAANIKA MADUDU YAKE!! Amemwaga ugali tunamwaga mboga!!

Queen Esther

Naona issue ya separation of powers inatupiga chenga wengi wetu hata tuliosomasoma. Kuna mwandishi wa habari nilimsikia star tv akiponda degree ya siasa (alifikiri inafaa kufutwa haina mchango kwenye maendeleo) sasa uzi huu na majibu ya mheshimiwa yanaonyesha ile degree ya political science na public administration ni kitu muhimu sana (wanafundishwa separation of powers, elections na democracy among others).
Huenda ikawa kweli Pascal ana njaa-swali ni njaa ipi? Njaa ya chakula, ya elimu au....? Ni mwandishi na mwanasheria hivyo anabackground nzuri ya kuuliza swali lile (katiba na haki za bina adamu), of course lile lingine halikujibiwa.
 
Queen swali bora kwako wewe ni lipi? Wasi Wasi wangu huenda hukuelewa hata swali lililoulizwa

Swali la Katiba!!!! Tujipange liingie kwenye ilani ya CCM 2020 maana kwa 2015 hakuna hiyo agenda na hakuna aliyehoji!!!

Queen Esther
 
Huwezi kuwa na separation of power kwa katiba hii!!! Bado nasisitiza Njaa itamuua Paskali.

Aidha TUNAMUONYA aache KUDHARAU wahariri, ATUOMBE MSAMAHA KABLA HATUJAANIKA MADUDU YAKE!! Amemwaga ugali tunamwaga mboga!!

Queen Esther
inaonekana unamuogopa.

ebu mwaga mboga.
 
inaonekana unamuogopa.

ebu mwaga mboga.

Ngoja tumalize kuweka data vizuri!! Watanzania watamjua Paskali ni nani. Huyu ni Mr. NJAA Kama maana ya Jina lake ktk lugha ya kisukuma. Na NJAA NI LAAANAAA!!

Queen Esther
 
Nilishas
Habari za jioni wana JF wenzangu!

Naomba nichukue fursa hii adimu kujadili upande wa pili wa swali linaloonekana na baadhi ya watu kuwa NI swali bora kuliko maswali yote ya wahariri walipokutana na Mhe. Rais wa JMT Dr. Magufuli.

Kwanza naomba kusema kuwa halikuwa swali bora hata kidogo bali lilijaa mihemuko na wanaolishabikia wamejaa mihemuko. Sio analytical question hata kidogo kwa sababu zifuatazo:-

1. Halikuwa na background information ya nini kimefanyika ili uweze kukipinga vizuri
2. Halikuwa na any kind ya data kulipa backup ya mtu aliyeenda shule
3. Halikutoa madhara yoyote ya hatua za kubana safari za nje! Hivyo kukosa uhalali wa kuzitetea
4. Pascal Mayall ni kati ya watu waliomtukana Rais Kikwete kuwa ni VASCO DAGAMA kwa masafari lukuku
5. Ameshindwa kuelewa nafasi ya Mhe. Rais ktk mihimili mitatu
6. Ameonesha kuwa ni "MSEMAJI WA WAPIGA DILI"

Kwa muktadha huu, naomba sasa nije kwenye majibu ya Mhe. Rais

Rais ni kiongozi katika mihimili yote mitatu (BUNGE, MAHAKAMA, SERIKALI) kwasababu zifuatazo:-
- Kitendo cha kwenda kuhutubia Bunge na kutoa direction ya nchi
- Kitendo cha Mahakama kuomba pesa za kuendeshea kesi kinaonesha wanamtegemea kama kiongozi wao
- Yeye ni Pay Master General (PMG)
- Yeye ndie anayeteua majaji nk

Hivyo basi kitendo cha Paskali Mayalla kujinasifu kuwa ndie aliyeuliza swali bora kuliko wahariri wote ni dharau kubwa kwa waandishi wenzie wa habari.

Unafiki mkubwa wa huyu bwana unajitokeza anapowaambia wenzake hawakutakiwa kumuona kama Rais. Hivi huyu Paskali anapokaa na baba yake mzazi kuna saa anamuona kama house boy au shamba boy??????

Hivi angeuliza lile swali kwa tone ya kawaida angepungukiwa nini?? Kweni ukiongea kwa kufoka ndio vyombo vya habari vya nje vitakuona na kukupa kazi?? Huko nje wenzake wanaheshimu Ma Rais wao!!!

Huyu Ndugu ni wakupuuzaaaa!!! Jina lake ni Njaa na Njaa imepanda kichwani!! APUUZWEE NA KUSAMEHEWA!!!

Jioni Njema.

Mimi Ndugu yenu.

Queen Esther
Mimi nilishasema hapa kuwa huyu Pascal kwanza hana adabu.Kumuuliza rais kuwa mamlaka kayatoa wapi inaonyesha ni mtu ambaye haelewi hata maana ya rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.Pascal umevamia demokrasia kwa pupa kama wananchi wa Libya ambao walivamia kwa pupa sasa wamebaki kushangaa kianchowakuta.
 
Ulitaka aulize hobby ya mukulu nn? Ktk watu waliouliza swali ni huyu, kuna wakatiba (mpaka mukulu akasema uliona wapi nimetaja katiba kweny compaign zangu?) na yule wa ajira. Hao ndiyo walionikosha ila angepatikana wa fao la kujitoa ningemualika nyumban kwangu akala na kunywa.
Mama anza kuandaa chakula cha usiku, Baba anataka kula alale
 
Huwezi kuwa na separation of power kwa katiba hii!!! Bado nasisitiza Njaa itamuua Paskali.

Aidha TUNAMUONYA aache KUDHARAU wahariri, ATUOMBE MSAMAHA KABLA HATUJAANIKA MADUDU YAKE!! Amemwaga ugali tunamwaga mboga!!

Queen Esther
Kwa hiyo ni katiba mbovu na ndo maana wengine wanaishabikia? Lakini swali lilikuwa valid kwa mtu anaelewa concept ya separtion of powers.
Sioni kwa nini aombe radhi?
 
Naomba Kujua Elimu yako,
Usikute Una Elimu Hewa.

Habari za jioni wana JF wenzangu!

Naomba nichukue fursa hii adimu kujadili upande wa pili wa swali linaloonekana na baadhi ya watu kuwa NI swali bora kuliko maswali yote ya wahariri walipokutana na Mhe. Rais wa JMT Dr. Magufuli.

Kwanza naomba kusema kuwa halikuwa swali bora hata kidogo bali lilijaa mihemuko na wanaolishabikia wamejaa mihemuko. Sio analytical question hata kidogo kwa sababu zifuatazo:-

1. Halikuwa na background information ya nini kimefanyika ili uweze kukipinga vizuri
2. Halikuwa na any kind ya data kulipa backup ya mtu aliyeenda shule
3. Halikutoa madhara yoyote ya hatua za kubana safari za nje! Hivyo kukosa uhalali wa kuzitetea
4. Pascal Mayall ni kati ya watu waliomtukana Rais Kikwete kuwa ni VASCO DAGAMA kwa masafari lukuku
5. Ameshindwa kuelewa nafasi ya Mhe. Rais ktk mihimili mitatu
6. Ameonesha kuwa ni "MSEMAJI WA WAPIGA DILI"

Kwa muktadha huu, naomba sasa nije kwenye majibu ya Mhe. Rais

Rais ni kiongozi katika mihimili yote mitatu (BUNGE, MAHAKAMA, SERIKALI) kwasababu zifuatazo:-
- Kitendo cha kwenda kuhutubia Bunge na kutoa direction ya nchi
- Kitendo cha Mahakama kuomba pesa za kuendeshea kesi kinaonesha wanamtegemea kama kiongozi wao
- Yeye ni Pay Master General (PMG)
- Yeye ndie anayeteua majaji nk

Hivyo basi kitendo cha Paskali Mayalla kujinasifu kuwa ndie aliyeuliza swali bora kuliko wahariri wote ni dharau kubwa kwa waandishi wenzie wa habari.

Unafiki mkubwa wa huyu bwana unajitokeza anapowaambia wenzake hawakutakiwa kumuona kama Rais. Hivi huyu Paskali anapokaa na baba yake mzazi kuna saa anamuona kama house boy au shamba boy??????

Hivi angeuliza lile swali kwa tone ya kawaida angepungukiwa nini?? Kweni ukiongea kwa kufoka ndio vyombo vya habari vya nje vitakuona na kukupa kazi?? Huko nje wenzake wanaheshimu Ma Rais wao!!!

Huyu Ndugu ni wakupuuzaaaa!!! Jina lake ni Njaa na Njaa imepanda kichwani!! APUUZWEE NA KUSAMEHEWA!!!

Jioni Njema.

Mimi Ndugu yenu.

Queen Esther
 
Ngoja tumalize kuweka data vizuri!! Watanzania watamjua Paskali ni nani. Huyu ni Mr. NJAA Kama maana ya Jina lake ktk lugha ya kisukuma. Na NJAA NI LAAANAAA!!

Queen Esther
Acha kukariri,kuna NJAA YA MAFANIKIO pia.

Kwani mbona rais anaitwa Pombe?unajua maana ya pombe?

argriiiiiiiiiiiiiiii
 
Habari za jioni wana JF wenzangu!

Naomba nichukue fursa hii adimu kujadili upande wa pili wa swali linaloonekana na baadhi ya watu kuwa NI swali bora kuliko maswali yote ya wahariri walipokutana na Mhe. Rais wa JMT Dr. Magufuli.

Kwanza naomba kusema kuwa halikuwa swali bora hata kidogo bali lilijaa mihemuko na wanaolishabikia wamejaa mihemuko. Sio analytical question hata kidogo kwa sababu zifuatazo:-

1. Halikuwa na background information ya nini kimefanyika ili uweze kukipinga vizuri
2. Halikuwa na any kind ya data kulipa backup ya mtu aliyeenda shule
3. Halikutoa madhara yoyote ya hatua za kubana safari za nje! Hivyo kukosa uhalali wa kuzitetea
4. Pascal Mayall ni kati ya watu waliomtukana Rais Kikwete kuwa ni VASCO DAGAMA kwa masafari lukuku
5. Ameshindwa kuelewa nafasi ya Mhe. Rais ktk mihimili mitatu
6. Ameonesha kuwa ni "MSEMAJI WA WAPIGA DILI"

Kwa muktadha huu, naomba sasa nije kwenye majibu ya Mhe. Rais

Rais ni kiongozi katika mihimili yote mitatu (BUNGE, MAHAKAMA, SERIKALI) kwasababu zifuatazo:-
- Kitendo cha kwenda kuhutubia Bunge na kutoa direction ya nchi
- Kitendo cha Mahakama kuomba pesa za kuendeshea kesi kinaonesha wanamtegemea kama kiongozi wao
- Yeye ni Pay Master General (PMG)
- Yeye ndie anayeteua majaji nk

Hivyo basi kitendo cha Paskali Mayalla kujinasifu kuwa ndie aliyeuliza swali bora kuliko wahariri wote ni dharau kubwa kwa waandishi wenzie wa habari.

Unafiki mkubwa wa huyu bwana unajitokeza anapowaambia wenzake hawakutakiwa kumuona kama Rais. Hivi huyu Paskali anapokaa na baba yake mzazi kuna saa anamuona kama house boy au shamba boy??????

Hivi angeuliza lile swali kwa tone ya kawaida angepungukiwa nini?? Kweni ukiongea kwa kufoka ndio vyombo vya habari vya nje vitakuona na kukupa kazi?? Huko nje wenzake wanaheshimu Ma Rais wao!!!

Huyu Ndugu ni wakupuuzaaaa!!! Jina lake ni Njaa na Njaa imepanda kichwani!! APUUZWEE NA KUSAMEHEWA!!!

Jioni Njema.

Mimi Ndugu yenu.

Queen Esther
1/4. Inakuhusu
 
Ngoja tumalize kuweka data vizuri!! Watanzania watamjua Paskali ni nani. Huyu ni Mr. NJAA Kama maana ya Jina lake ktk lugha ya kisukuma. Na NJAA NI LAAANAAA!!

Queen Esther
Hayo ni majina tu km majina mengine. Acha kubeza majina ya kiafrika kbsa.
Kati ya mayala na ww nani ni limbukeni wa majina?
Kwanza wazungu wanatudharau sana kutumia majina yao. Hata jina langu huwa nalichukia sana sbb inaonesha tulivyo wapumbafu sana wafrika.
Ww unaitwa queen esther na mayala (jina tamu lenye maana murua ya lugha ya kisukuma) unajua maana ya queen esther na chimbuko lake?
 
Acha kukariri,kuna NJAA YA MAFANIKIO pia.

Kwani mbona rais anaitwa Pombe?unajua maana ya pombe?

argriiiiiiiiiiiiiiii
Majina ya kibongo huwa nayapenda sana. Hata ukienda ulaya unaweza kuwa ww tu unayetumia jina hilo.
Mfano. Pombe, magufuli, mayala, mwamvua, yabu, jumanne, mkandawile
Ndiyo raha ya majina haya. Sasa mtu anaitwa queen esther anajua maana ya queen au anajiita uli mradi tu. Je, anatoka kwenye familia ya kifalme au ni ulimbukeni tu
 
Ngoja tumalize kuweka data vizuri!! Watanzania watamjua Paskali ni nani. Huyu ni Mr. NJAA Kama maana ya Jina lake ktk lugha ya kisukuma. Na NJAA NI LAAANAAA!!
Queen Esther
Du kuna kipindi ndugu yangu Mayaka hakutaka kuachana na Mmasai hadi aliposhindwa alibaki hukohuko
sijui kwanini hamtaki Masukuma mwenzake
 
Badala ya kujadili swali lililoulizwa ww unamjadili muuliza swali,mtoa mada 1/4 inakuhusu.
 
Back
Top Bottom