marymarymary
Senior Member
- Oct 3, 2016
- 101
- 96
sawaSijibizani na wageni wasiojua hata maana ya kuchomekea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawaSijibizani na wageni wasiojua hata maana ya kuchomekea
Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi na hata rais kajibu kwa ubabaishaji. Natafuta clip au mwenye nayo aiweke.
View attachment 429403
Kwanza kaanza kwa kuitaja JamiiForums kwa kusema ni mwanachama mwandamizi wa JamiiForums.
Na hilo ndio nilitegemea majibu ila ka skiplaking Raisi kalikwepa kujibu swala la uhuru wa vyama vya siasa.. sijui ni kwa makusudi!!!!
Kwaiyo Katiba yetu niyamaigizo tu maana inasema ivyoWatu wangefahamu kwa nini baada ya kutoa hotuba bungeni hotuba ya Rais hujadiliwa halafu pia wangefahamu hakuna nchi yeyote duniani ambako mihimili mitatu inafanya kazi kwa nguvu sawa, hizo ni siasa za kitoto sana! Spika anapigiwa kampeni ya siku mbili, jaji mkuu anateuliwa na rais, kampeni ya urais miezi kadhaa, kinachoamuliwa na bunge mpaka kipitishwe na rais halafu eti unasema separation of power! Kama kusoma hujui hata kuangalia picha nako hujui?
Kwa wanaojua Paskali ameambiwa ki utu uzima kuwa wewe hujui, hizo theory ulizo nazo hazifanyi kazi katika dunia halisi. Hizo ni theory za ideal world, theory za darasani za kujibia mtihani tena katika level ya chini kabisa ya kumbukumbu wala haijafikia hata level ya application. Naungana na Chakaza kusema pamoja na class situation aliyoitumia Paskali angalau yeye aliuliza swali kwani anafahamu hata swali ni kitu gani. Wengine kweli wanastahili wafanyiwe ithibati
Kwaiyo Katiba yetu niyamaigizo tu maana inasema ivyo
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Pasco ooooooooooooooo
Paskali, nikiri kuwa nilikuwa mfuatiliaji mkubwa wa kipindi chako cha Kiti moto na kweli kilikuwa kitimoto kweli. Na ni kweli kuwa pamoja na baadhi ya wengine waliuliza maswali yenye maana siku ile.Mkuu Chakaza, kwanza asante kwa kuniona hivyo, ila kiukweli, sii mimi pekee niliyeuliza maswali ya maana, kuna maswali mengi na ya maana zaidi hata ya swali langu kama lile la Zanzibar, lile la Katiba na lile la udikiteta, ila mimi nimepaishwa zaidi kwa sababu tuu niliitaja JF.
Kuna wengi wanasifu swali langu kwa sababu ni new generation hawakuwahi kukiona kipindi changu cha Kiti Moto, hivyo wala hawamjui Pasco Mayalla ni nani, ila wale wa zamani waliotazama Kiti Moto, maswali yale ni maswali ya kawaida kabisa kwenye Kiti Moto, tofauti ya Press Conference ya Rais na kipindi cha Kiti Moto, kwenye Press Conference, rais amepewa an easy ride na moderators, hivyo amejipatia mteremko, kwenye Kiti Moto rais angepewa hard time, hakuna mteremko, ni mlima tuu. Kuna watu walikuwa wakisikia wamealikwa Kiti Moto, walikuwa wanakimbia na wengine wanaomba Po! .
Kufuatia majibu ya juzi ya rais Magufuli yasiyokidhi, kiukweli kabisa kuna haja ya kuanzishwa kipindi kama Kiti Moto ili kuwafunza viongozi wetu namna ya kujibu maswali ya waandishi makini, sio kiongozi anaulizwa hivi, anajibu vile au hajibu kabisa lakini anaachwa.
Kwenye Kiti Moto, no stone is left unturned! .
Paskali.
Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi na hata rais kajibu kwa ubabaishaji. Natafuta clip au mwenye nayo aiweke.
View attachment 429403
Kwanza kaanza kwa kuitaja JamiiForums kwa kusema ni mwanachama mwandamizi wa JamiiForums.
Mkuu Domokaya, kwanza asante kutuletea vifungu vya katiba. Tanzania ni nchi ya kidekrasia inayofuata katiba na sheria. Katiba ndio sheria mama, hakuna mtu yoyote aliye Juu ya katiba, hata rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania yuko chini ya katiba, kila kitu rais anachokifanya, anafanya kwa majibu wa katiba ambayo kuna vifungu maalum vinavyompa rais mamlaka ya kufanya maamuzi yoyote. Kwa vile Katiba ndio imetoa haki ya kufanya mikutano, rais ametumia mamlaka gani kutoa amri inayokwenda kinyume cha Katiba? .Mipaka kwa haki na uhuru na hifadhi kwa haki na wajibu Sheria ya 1984 Na.15 ib.6 Sheria ya 1994 Na.34 ib.6
30.-(1) Haki na uhuru wa binadamu ambavyo misingi yake imeorodheshwa katika Katiba hii
25
(5) Endapo katika shauri lolote inadaiwa kwamba sheria yoyote iliyotungwa au hatua yoyote iliyochukuliwa na Serikali au mamlaka nyingine inafuta au inakatiza haki, uhuru na wajibu muhimu zitokanazo na ibara ya 12 hadi 29 za Katiba hii, na Mahakama Kuu inaridhika kwamba sheria au hatua inayohusika, kwa kiwango inachopingana na Katiba ni batili au kinyume cha Katiba basi Mahakama Kuu ikiona kuwa yafaa au hali au masilahi ya jamii yahitaji hivyo, badala ya kutamka kuwa sheria au hatua hiyo ni batili, itakuwa na uwezo wa kuamua kutoa fursa kwa ajili ya Serikali au mamlaka nyingine yoyote inayohusika kurekebisha hitilafu iliyopo katika sheria inayotuhumiwa au hatua inayohusika katika muda na kwa jinsi itakavyotajwa na Mahakama Kuu, na sheria hiyo au hatua inayohusika itaendelea kuhesabiwa kuwa ni halali hadi ama marekebisho yatakapofanywa au muda uliowekwa na Mahakama Kuu utakapokwisha, mradi muda mfupi zaidi ndio uzingatiwe.
Mkuu Yohana Mbatizaji, ni kweli Mayalla kwa Kisukuma ni Njaa ila sio njaa ya tumbo ya kukosa chakula ambayo tiba yake ni shibe, bali ni baa la njaa lilosababishwa na ukame, yaani Mayalla is not hunger caused by lack of food, but famine caused by climate change.Maana ya Mayala ni "njaa" kwa kisukuma,amesema Magufuli
Mkuu Yohana Mbatizaji, ni kweli Mayalla kwa Kisukuma ni Njaa ila sio njaa ya tumbo ya kukosa chakula ambayo tiba yake ni shibe, bali ni baa la njaa lilosababishwa na ukame, yaani Mayalla is not hunger caused by lack of food, but famine caused by climate change.
Rais aliposema njaa, watu wanafsiri mimi ni mtu wa njaa njaa, hivyo naendekeza njaa, nikishibishwa, natulia. Kiukweli Wasukuma sio miongoni mwa makabila ya njaa njaa, Wasukuma ni mutu ya shibe, hawaendekezi njaa njaa, Wasukuma ni matajiri sana wa roho japo ni masikini wa moyo, yaani ni masikini jeuri, sio watu wa kujipendekeza au kujikombakomba kwa yoyote kwa sababu yoyote.
Nimethirika sana kisailolojia kwa kauli ile ya rais hivyo nafanya mawasiliano na wanasheria nguli kuangalia uwezekano wa kumfungulia kesi ya madai, kwa sababu ile kinga ya rais kutoshitakiwa mahakamani inahusu utekelezaji wa majukumu yake Kitaifa, kukosea tafsiri ya ukame na njaa kumepelekea kina ninapo pita mitaani nataniwa Pasco Njaa!, japo wengine hunikaribisha chakula.
Paskali
Nilipenda body language yako baada ya mkuu kukuita NJAA...inaakisi hiki ulichoandika.Mkuu Yohana Mbatizaji, ni kweli Mayalla kwa Kisukuma ni Njaa ila sio njaa ya tumbo ya kukosa chakula ambayo tiba yake ni shibe, bali ni baa la njaa lilosababishwa na ukame, yaani Mayalla is not hunger caused by lack of food, but famine caused by climate change.
Rais aliposema njaa, watu wanafsiri mimi ni mtu wa njaa njaa, hivyo naendekeza njaa, nikishibishwa, natulia. Kiukweli Wasukuma sio miongoni mwa makabila ya njaa njaa, Wasukuma ni mutu ya shibe, hawaendekezi njaa njaa, Wasukuma ni matajiri sana wa roho japo ni masikini wa moyo, yaani ni masikini jeuri, sio watu wa kujipendekeza au kujikombakomba kwa yoyote kwa sababu yoyote.
Nimethirika sana kisailolojia kwa kauli ile ya rais hivyo nafanya mawasiliano na wanasheria nguli kuangalia uwezekano wa kumfungulia kesi ya madai, kwa sababu ile kinga ya rais kutoshitakiwa mahakamani inahusu utekelezaji wa majukumu yake Kitaifa, kukosea tafsiri ya ukame na njaa kumepelekea kina ninapo pita mitaani nataniwa Pasco Njaa!, japo wengine hunikaribisha chakula.
Paskali