Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
Huyu Prof aliyegundua mfumo wa Paper writing kwa hawa post graduate alifanya Jambo moja zuri na msaada sana kwenye kuwajengea uwezo wasomi wetu wa kulinganisha hoja (speech with references)
Huwa naumia sana ninapoona Hawa wasomi wa miaka ya nyuma kidogo wanapoita press harafu wanakuwa hawana hoja linganifu ili kutetea kile wanacho kizungumza Kwasababu kuwa msomi tu ww tayari ni public figure kila mtu anataka kupata Elimu kupitia ww. Mtu anafarijika anaposkia kwa mfano huu ugonjwa ulio nao alishauguaga mtu fulani alipona mpaka Sasa ni mzima, nk.
NB; wasomi nyie ni nguzo muhimu kwa Taifa letu mkiamua kuita press Basi muwe mmejipanga mmeshafanya mini research syo mnakuja na hoja za upande mmoja. HESHIMA KWENU WASOMI.
Huwa naumia sana ninapoona Hawa wasomi wa miaka ya nyuma kidogo wanapoita press harafu wanakuwa hawana hoja linganifu ili kutetea kile wanacho kizungumza Kwasababu kuwa msomi tu ww tayari ni public figure kila mtu anataka kupata Elimu kupitia ww. Mtu anafarijika anaposkia kwa mfano huu ugonjwa ulio nao alishauguaga mtu fulani alipona mpaka Sasa ni mzima, nk.
NB; wasomi nyie ni nguzo muhimu kwa Taifa letu mkiamua kuita press Basi muwe mmejipanga mmeshafanya mini research syo mnakuja na hoja za upande mmoja. HESHIMA KWENU WASOMI.