Hongera sana TISS kwa kazi nzuri sana awamu ya tano

Hongera sana TISS kwa kazi nzuri sana awamu ya tano

Hivi TISS ndo walinzi wa rais kwani?

Mi siku zote huwa nadhani walinzi wa rais ni tofauti kabisa na hao sijui ndo TISS.....

But what do I know....
Kuna kitengo ndani ya TISS kinachoitwa PSU chenye jukumu la ulinzi wa viongozi wa Rais (wa Muungano na wa Zanzibar), Makamu wa Rais (wa Muungano na Zanzibar) na Waziri Mkuu+Waziri Kiongozi, na ulinzi wa wakurugenzi wa TISS + ulinzi wa vital installations. Kwa mfano wa huko Marekani, PSU ni kama na US Secret Service (japo muundo na baadhi ya majukumu ni tofauti). I hope this helps!
 
Enzi za kikwete mlisema hamjawahi ona ulinzi kama huo leo tena mnasema hamjaona ulinzi kama huu...duh! wabongo hatari....enzi za mwalimu tulikuwa tunajidanganya kwamba Tz ni ya pili kwa upelelezi duniani
 
Jami za Marekani na Tanzania zimefanana kwa kuchagua viongozi wasema ovyo.

Tena afadhali ya jamii ya Tanzania, Magufuli usema ovyo wake ulikuwa haujajulikana vizuri kabla ya kuwa rais.

Hao Wamarekani wajinga wengi walijua Trump ni msema ovyo, na wakaupenda ujinga huo wa kusema ovyo wakamchagua awe rais.

Kwa hiyo Marekani si golden standard anymore.

That's beside the point.

Ulizungumzia TISS kuweza kuudhibiti mdomo wa Magu.

Ndo nami nikakupa mfano wa jinsi gani ilivyo vigumu kuudhibiti mdomo wa mtu aliye rogue na kutolea mfano wa Trump.

Kwa jinsi Trump alivyo mtu huwezi kujua kesho ukiamka utakuta ka tweet kitu gani.

Sitashangaa siku moja akija ku tweet masuala ya kijeshi yanayoweza kuhatarisha usalama wa vikosi vya Marekani somewhere.

Ndo nikasema, ili kuonyesha ilivyo vigumu kuudhibiti mdomo wa mtu, kama secret service wameshindwa kabisa hadi kufikia sasa kumdhibiti Trump ambaye ndiye kiongozi wa taifa kubwa, hao TISS wana ubavu gani wa kuudhibiti mdomo wa Magu?

Tena, nadhani ni rahisi zaidi kudhibiti matumizi ya Twitter kwa Trump kuliko TISS kuudhibiti mdomo wa Magu.

Wataanzia wapi? Watambana na staples ashindwe kabisa kuongea au?
 
FB_IMG_1499001211925.jpg
 
Enzi za kikwete mlisema hamjawahi ona ulinzi kama huo leo tena mnasema hamjaona ulinzi kama huu...duh! wabongo hatari....enzi za mwalimu tulikuwa tunajidanganya kwamba Tz ni ya pili kwa upelelezi duniani

Right on the money.

Wabongo kwa stori za kijiweni hatujambo.
 
Kuna kitengo ndani ya TISS kinachoitwa PSU chenye jukumu la ulinzi wa viongozi wa Rais (wa Muungano na wa Zanzibar), Makamu wa Rais (wa Muungano na Zanzibar) na Waziri Mkuu+Waziri Kiongozi, na ulinzi wa wakurugenzi wa TISS + ulinzi wa vital installations. Kwa mfano wa huko Marekani, PSU ni kama na US Secret Service (japo muundo na baadhi ya majukumu ni tofauti). I hope this helps!
Kwa kuongezea, hata ulinzi na mikakati ya kiulinzi ktk mbio za Mwenge wa uhuru, uratibiwa na Usalama na vijana lazima wawepo wengi sana.
 
Kuna kitengo ndani ya TISS kinachoitwa PSU chenye jukumu la ulinzi wa viongozi wa Rais (wa Muungano na wa Zanzibar), Makamu wa Rais (wa Muungano na Zanzibar) na Waziri Mkuu+Waziri Kiongozi, na ulinzi wa wakurugenzi wa TISS + ulinzi wa vital installations. Kwa mfano wa huko Marekani, PSU ni kama na US Secret Service (japo muundo na baadhi ya majukumu ni tofauti). I hope this helps!

Umekosea.

Kama unataka kulinganisha na Marekani basi TISS itakuwa sawa na US Secret Service.

Na kama ndani ya TISS ndo kuna hiyo PSU, na kwenye Secret Service kuna PPD [Presidential Protection Division].

Kumbuka kuwa US Secret Service ina dual mission.

1. Kuchunguza uhalifu wa kifedha na 2. Ulinzi wa viongozi.

Kwa hiyo, kama unataka kulinganisha basi linganisha hao PSU na PPD [ya US Secret Service] ambao ndiyo wenye jukumu la ulinzi wa rais na viongozi wengine.

Siyo PSU na SS.
 
Sisi walei wa mambo hayo ya kiusalama hutujui what is happening behind the curtens. Tunaishia kuropoka tu. Vyomba vya ulinzi vipo kazini. Matunda yanaonekana. Amani inarejea. Sasa wewe ulitaka iweje? Tuwaombee vijana wetu wa TISS.
Kwani hiyo amani ilipotea tangia lini!? Na je, kipindi hiyo amani inapotea hao TISS walikuwa wapi!?
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Kwa kweli kwa sasa hata ukiwa na suala lako unakuwa na matumaini ya kupata muafaka. Nchi iko on respect manner
 
Hao Tiss Mbona Kibiti Walirshndwa?Au Kaz Yao Ni Kumlinda Boss Mkuu?
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Nadhani TISS na walinzi wa rais ni vitu viwili tofauti lakini wanafanya Kazi kwa kutegemeana
 
TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.

Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.

Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.

I am proud of our TISS.
Naomba kujua kilichokusukuma na kuona TISS wapo vizuri kuliko wakati mwingine wowote katika kuhakikisha ulinzi wa Commander in Chief.
NB. Sijasema hawapo vizuri bali nimeuliza kigezo ulichotumia kuona ubora WAO saaa.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.

Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.

Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.

I am proud of our TISS.
Mbona hayo manenoniliyowekea alama nyekundu hayaendani na ya alama ya blue
 
  • Thanks
Reactions: Pep
.......Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sabasaba ulitisha.......

Tafsiri yake moja tu,kuwa amani ya nchi hakuna kama zamani,hata enzi za vita vya Kagera Mwlm Nyerere hakuwa na ulinzi huo kama tuko Somali Land ama Kabul,achilia mbali enzi za Mkapa,Mwinyi na Kikwete!!

............Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo........

Tulihubiriwa sana kuwa uvunaji wa gesi Mtwara ndio suluhu ya umeme wa uhakika,tutauza mpaka nje!!! Leo tunahangaika Uganda na Ethiopia kupata UMEME!!!
Huwezi kushughulikia maslahi ya taifa ipasavyo halafu ukaachwa salama,acha ajilinde.
 
TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.

Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.

Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.

I am proud of our TISS.

Unajitekenya na kucheka mwenyewe ! Siku hizi viongozi hawapigwi risasi hayo ni mawazo na mbinu za kizamani za kulinda viongozi. Ulinzi mkali na wa uhakika sio kubeba silaha Bali ni kutenda haki! Unamkumbuka marehemu Muamar Ghadafi alilindwa na akina dada wakatili but when time came alifia kwenye water drainage no body guard was around to protect him ? Heavy armour ya nini si presida alipata ushindi halali and Tanzanians wanampenda according to Twaweza na wanamwombea? He is doing a wonderful job! Yule half brother wa Dictator wa North Korea there was no bullet but the two beautiful girls! We should agree on a set of rules before the game and never change the rules when the game is on. Impunity has never paid anybody who ruled by tyranny ! Walinzi wengi it's a sign of cowardice but we are still relatively peaceful huwa tunabadilishana viongozi after every 10 years you cops take it cool just hide your guns hatukuzoea! Nobody dares to harm our president noway come sun come rain tunataka viwanda na umeme wa maji kutoka Rufiji bila kusahau SGR vyote kabla ya 2020!
 
TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.

Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.

Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.

I am proud of our TISS.
Ulinzi unapokuwa wa kutisha inamaanisha uhalali wa kutawala uko rehani.
 
Back
Top Bottom