Hongera sana TISS kwa kazi nzuri sana awamu ya tano

Hongera sana TISS kwa kazi nzuri sana awamu ya tano

UBORA wa KITENGO chochote au IDARA ni KUGUNDUA na kuzuia TATIZO lisitokee kwa maoni au mtazamo wangu WAKENYA wako juu kuliko hata WATANZANIA ref:MATUKIO yanayoendelea KIBITI mpaka leo SERIKALI hawajagundua chanzo chake
 
Sisi walei wa mambo hayo ya kiusalama hutujui what is happening behind the curtens. Tunaishia kuropoka tu. Vyomba vya ulinzi vipo kazini. Matunda yanaonekana. Amani inarejea. Sasa wewe ulitaka iweje? Tuwaombee vijana wetu wa TISS.
Why Ilipotea?
 
bd6994de75c1c66d16c65aabcf949b70.jpg
Halow,hapo ni KEYB34T?
 
.......Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sabasaba ulitisha.......

Tafsiri yake moja tu,kuwa amani ya nchi hakuna kama zamani,hata enzi za vita vya Kagera Mwlm Nyerere hakuwa na ulinzi huo kama tuko Somali Land ama Kabul,achilia mbali enzi za Mkapa,Mwinyi na Kikwete!!

............Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo........

Tulihubiriwa sana kuwa uvunaji wa gesi Mtwara ndio suluhu ya umeme wa uhakika,tutauza mpaka nje!!! Leo tunahangaika Uganda na Ethiopia kupata UMEME!!!
Likipita hilo awamu ijayo tutaambiwa mradi wa kufua umeme kutumia matakataka ndio mpango mzima. watu wako kazini kutengeneza pesa. hiyo gas ndiyo the cheapest lkn si ishauzwa na wajanja waliopita. mikataba haitolewa watatoa kick zote zikionekana haziwashi
 
Jami za Marekani na Tanzania zimefanana kwa kuchagua viongozi wasema ovyo.

Tena afadhali ya jamii ya Tanzania, Magufuli usema ovyo wake ulikuwa haujajulikana vizuri kabla ya kuwa rais.

Hao Wamarekani wajinga wengi walijua Trump ni msema ovyo, na wakaupenda ujinga huo wa kusema ovyo wakamchagua awe rais.

Kwa hiyo Marekani si golden standard anymore.
Do you have personal problems with presidaa?
 
wamefanya nini mkuu, watusaidie na kule kibiti hapo ndio nitawapongeza. askari wwetu wanaishaaa
 
Hivi TISS ndo walinzi wa rais kwani?

Mi siku zote huwa nadhani walinzi wa rais ni tofauti kabisa na hao sijui ndo TISS.....

But what do I know....
Ndani ya TISS kuna kitengo cha ulinzi wa Rais,presidential services unit,PSU hawa wanakazi ya kulinda viongozi wa kitaifa na nyumba zao,na uniform zao ni kama zile zilizoonekana jana,ingawa wakati mwingine sio lazima wavae sare
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hivi TISS ndo walinzi wa rais kwani?

Mi siku zote huwa nadhani walinzi wa rais ni tofauti kabisa na hao sijui ndo TISS.....

But what do I know....
Tiss wapo madaktari, mainjinia, walinzi, madereva na mashushushu. Ni vitengo tu.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
UBORA wa KITENGO chochote au IDARA ni KUGUNDUA na kuzuia TATIZO lisitokee kwa maoni au mtazamo wangu WAKENYA wako juu kuliko hata WATANZANIA ref:MATUKIO yanayoendelea KIBITI mpaka leo SERIKALI hawajagundua chanzo chake
Vip hao wakenya kuhusu shambulio la Westgate?Au intelligency yao haikuwepo
 
TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.

Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.

Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.

I am proud of our TISS.
Kadri ulinzi wa mkuu wa kaya unavyozidi kuwa mkubwa unatakiwa ujiulize kulikoni???

Viongozi wote wanaopendwa duniani huwa hawahitaji ulinzi mkubwa.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Asante sana, ntakutafuta nikuunganishe na Idara hii, wengine kila siku kutulaumu humu!!
 
Back
Top Bottom