Kuna kitengo ndani ya TISS kinachoitwa PSU chenye jukumu la ulinzi wa viongozi wa Rais (wa Muungano na wa Zanzibar), Makamu wa Rais (wa Muungano na Zanzibar) na Waziri Mkuu+Waziri Kiongozi, na ulinzi wa wakurugenzi wa TISS + ulinzi wa vital installations. Kwa mfano wa huko Marekani, PSU ni kama na US Secret Service (japo muundo na baadhi ya majukumu ni tofauti). I hope this helps!Hivi TISS ndo walinzi wa rais kwani?
Mi siku zote huwa nadhani walinzi wa rais ni tofauti kabisa na hao sijui ndo TISS.....
But what do I know....
Jami za Marekani na Tanzania zimefanana kwa kuchagua viongozi wasema ovyo.
Tena afadhali ya jamii ya Tanzania, Magufuli usema ovyo wake ulikuwa haujajulikana vizuri kabla ya kuwa rais.
Hao Wamarekani wajinga wengi walijua Trump ni msema ovyo, na wakaupenda ujinga huo wa kusema ovyo wakamchagua awe rais.
Kwa hiyo Marekani si golden standard anymore.
Enzi za kikwete mlisema hamjawahi ona ulinzi kama huo leo tena mnasema hamjaona ulinzi kama huu...duh! wabongo hatari....enzi za mwalimu tulikuwa tunajidanganya kwamba Tz ni ya pili kwa upelelezi duniani
Kwa kuongezea, hata ulinzi na mikakati ya kiulinzi ktk mbio za Mwenge wa uhuru, uratibiwa na Usalama na vijana lazima wawepo wengi sana.Kuna kitengo ndani ya TISS kinachoitwa PSU chenye jukumu la ulinzi wa viongozi wa Rais (wa Muungano na wa Zanzibar), Makamu wa Rais (wa Muungano na Zanzibar) na Waziri Mkuu+Waziri Kiongozi, na ulinzi wa wakurugenzi wa TISS + ulinzi wa vital installations. Kwa mfano wa huko Marekani, PSU ni kama na US Secret Service (japo muundo na baadhi ya majukumu ni tofauti). I hope this helps!
Kuna kitengo ndani ya TISS kinachoitwa PSU chenye jukumu la ulinzi wa viongozi wa Rais (wa Muungano na wa Zanzibar), Makamu wa Rais (wa Muungano na Zanzibar) na Waziri Mkuu+Waziri Kiongozi, na ulinzi wa wakurugenzi wa TISS + ulinzi wa vital installations. Kwa mfano wa huko Marekani, PSU ni kama na US Secret Service (japo muundo na baadhi ya majukumu ni tofauti). I hope this helps!
Kwani hiyo amani ilipotea tangia lini!? Na je, kipindi hiyo amani inapotea hao TISS walikuwa wapi!?Sisi walei wa mambo hayo ya kiusalama hutujui what is happening behind the curtens. Tunaishia kuropoka tu. Vyomba vya ulinzi vipo kazini. Matunda yanaonekana. Amani inarejea. Sasa wewe ulitaka iweje? Tuwaombee vijana wetu wa TISS.
Sema Kasimu Majaliwa Kasimu atakuta hakuna wapiga dili awamu ya sitaNaamini Rais wa awamu ya sita atakuta hamna wapiga dili otherwise ni majanga tu
Hawa ni wa Kenya...
Naomba kujua kilichokusukuma na kuona TISS wapo vizuri kuliko wakati mwingine wowote katika kuhakikisha ulinzi wa Commander in Chief.TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.
Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.
Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.
I am proud of our TISS.
Mbona hayo manenoniliyowekea alama nyekundu hayaendani na ya alama ya blueTISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.
Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.
Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.
I am proud of our TISS.
Huwezi kushughulikia maslahi ya taifa ipasavyo halafu ukaachwa salama,acha ajilinde........Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sabasaba ulitisha.......
Tafsiri yake moja tu,kuwa amani ya nchi hakuna kama zamani,hata enzi za vita vya Kagera Mwlm Nyerere hakuwa na ulinzi huo kama tuko Somali Land ama Kabul,achilia mbali enzi za Mkapa,Mwinyi na Kikwete!!
............Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo........
Tulihubiriwa sana kuwa uvunaji wa gesi Mtwara ndio suluhu ya umeme wa uhakika,tutauza mpaka nje!!! Leo tunahangaika Uganda na Ethiopia kupata UMEME!!!
TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.
Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.
Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.
I am proud of our TISS.
Ulinzi unapokuwa wa kutisha inamaanisha uhalali wa kutawala uko rehani.TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.
Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.
Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.
I am proud of our TISS.