Hongera sana TISS kwa kazi nzuri sana awamu ya tano

Siyo kweli. Mimi siyo mgambo wa jiji. Mimi ni mzalendo. Fani yangu ni LAW. Sipo biased.Nausema ukweli kama ulivyo. TISS wanafanya kazi yao vizuri na kwa weledi mkubwa.Give each one his due.
Aliye anzisha hii mada atakuwa mgambo wa jiji
 
Gwajima Kakimbia Vichwa Vyake vya Train huko Bandarini TISS hatari siku hizi.
Kwanza yale ni mabehewa na siyo vichwa mweleze kilaza wenu hivyo...na tangu lini behewa za Gwajima zikawa na chata la TRL we mburula?
 
Na sipo Dar. Niko Dodoma. Dodoma siyo jiji.Weka akiba ya maneno yako.
 
wenzenu tuliopo huku nakapanya hatukuona hiyo muvi; tuwekeeni hata tupicha mweeh.
 
Kumbe Kenya au Wakenya wako vizuri sana ' Kijasusi ' kuliko Tanzania Mkuu? Nilikuwa sijui na akhsante sana kwa haya maarifa kwani sikuwa nafahamu.

Nawatakieni uchangiaji mwema wa huu uzi na kila la kheri.
Al Shabaab wapo Heaven in Kenya.
Kama utaweza Mkuu nitaomba kujua tofauti kati ya TISS na Mashushushu kama ambavyo umeandika hapo juu.

Nawatakieni uchangiaji mwema wa huu uzi na kila la kheri.
Ukisoma tena nilichoandika wala hupati tabu kuelewa nimeandika nini.

Madaktari waliopo huko hawashiriki kwenye oparesheni kama coverage, wako kwa professional assignment tu. daktari hapelelezi wala kufanya vetting.

Ingia Kijitonyama wale madaktari na manesi wote ni kitengo lakini kazi zao za kila siku ni hizo tu Professional.

You're listening too slowly.
 
Aise TISS ya sasa naona ni aina nyingine. They are exellent. Mpaka najivunia kuwa mtanzania.
Umenikosha sana jiji unit utanzania wako, zamani mimi nilikuwa nimevurugwa kutokana na nchi kuachwa hovyo hovyo yani hata bora shamba la bibi kwa wakati use. Huyu Mr Ma-Padlocks ni habari nyingine aisee tuache unafiki kiukweli.
Ninamfurahia jinsi anavyotupa Hali fulani ya ufahari na kujiproud kutokana na dunia nzima kushangaa jinsi alivyoamua kujitoa kuipigania nchi yake.
 
Wanafanya vzur,but ishu ya kibiti n doa kubwa kwao.
 
Kisa walimrundikia walinzi ndo unaona wanafanya kazi yao vizuri? Kama unafikiri hilo linasaidia kamwulize Ghadaffi....hii nchi ni ya amani sana tatizo kapewa mtu mwenye majivuno , kiburi na ulevi wa madaraka basi muda si mrefu atataka alindwe kabisa na helcopter za kijeshi na magari ya deraya, hajui kiongozi mzuri ni yule aliye karibu na raia siyo na vyombo vya ulinzi...hawa wakichoka vituko vyake watamtolea dirishani!
 
Ok. Hata hivo waratibu wa ulinzi huo ni TISS.
n
Syo vizuri kuzungumzia masuala ya ulinzi wa Rais....Ila fahamu tu kwamba TISS (ambayo ipo kisheria) ndiyo wahusika wakuu wa masuala ya ulinzi...TISS ina idara nyingi ikiwemo PSU (Presidential Security Unit) ambao ndio wanaohusika na masuala ya ulinzi..Tuishie hapo tusiendelee...Haya ni masuala nyeti siyo vizuri kuyajadiili humu...Ila duniani kote kila nchi kuna vikosi vya ulinzi wa viongozi wao wakuu....Vikosi hivyo huwa na mafunzo makali.
 

Sawa ' Mr. Kaunda Suit ' na nimekuelewa japo hapo mwishoni ulipoandika ' You're listening too slowly ' sijakuelewa Mkuu na kama ukinitafsiria kwa Kiswahili nitakushukuru sana kwani mwenzako nilikimbia ' umande ' miaka hiyo.
 
Reactions: SDG
Sema, ".....I love you....." na sio ".......we love you.....". Hatujakutuma utusemee.
 
Sababu una akili sana, kwanini usiwe wewe Rais? I [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Sababu una akili sana, kwanini usiwe wewe Rais? I [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kuwa binadamu ni kuwa na akili. Hayo mengine maarifa.

Nikitaka kuwa rais wataniua siku nitakayoanza kampeni.

Sitaki kufa kama Bobby Kennedy.


Mifumo yetu sasa hairuhusu wenye maarifa sana kuwa rais.

Wanchujwa wanaachwa chini.

Kwa sababu hawafai kwa status quo.

Ndiyo maananunaona watu kama Magufuli na Kikwete wanakuwa rais.
 
Hawa jamaa wako vizuri sana,Kikwete alikuwa anawakatisha tamaa.

Wamlinde Mkulu bwana,maadui zetu ni wengi,he is so precious to us.
 
Unajuaje sijasema hayo yote?
Hata akiwepo mpaka 2100 mimi ambaye hata sizikwi bongo atanipunguzia nini?
 
Hivi wameshindwa kuchunguza kibiti,yao TISS
Wanachunguza tena kwa kina,ila matokeo ya uchunguzi hayaletwi kwako,ila mkulu ni lazima ayapate,si unasikia anawaambia wanasiasa waache kuropoka mambo wasioyajua?
 

Nadhani ni mtu mzima, so unapoingia kwenye mji na ukakut nyumba za mji mzima zina milango ya vioo pekee utajua uishi vipi, na ukifika kwenye mji ambao nyumba zake zina milango ya mbao, kisha ikawekewa na grill za chuma, kisha nyumba zote zikajengewa ukuta wa tofali na geti za chuma lazima pia utajua jnsi ya kuishi maeneo hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…