Aliye anzisha hii mada atakuwa mgambo wa jiji
Kwanza yale ni mabehewa na siyo vichwa mweleze kilaza wenu hivyo...na tangu lini behewa za Gwajima zikawa na chata la TRL we mburula?Gwajima Kakimbia Vichwa Vyake vya Train huko Bandarini TISS hatari siku hizi.
Al Shabaab wapo Heaven in Kenya.Kumbe Kenya au Wakenya wako vizuri sana ' Kijasusi ' kuliko Tanzania Mkuu? Nilikuwa sijui na akhsante sana kwa haya maarifa kwani sikuwa nafahamu.
Nawatakieni uchangiaji mwema wa huu uzi na kila la kheri.
Ukisoma tena nilichoandika wala hupati tabu kuelewa nimeandika nini.Kama utaweza Mkuu nitaomba kujua tofauti kati ya TISS na Mashushushu kama ambavyo umeandika hapo juu.
Nawatakieni uchangiaji mwema wa huu uzi na kila la kheri.
Umenikosha sana jiji unit utanzania wako, zamani mimi nilikuwa nimevurugwa kutokana na nchi kuachwa hovyo hovyo yani hata bora shamba la bibi kwa wakati use. Huyu Mr Ma-Padlocks ni habari nyingine aisee tuache unafiki kiukweli.Aise TISS ya sasa naona ni aina nyingine. They are exellent. Mpaka najivunia kuwa mtanzania.
Kisa walimrundikia walinzi ndo unaona wanafanya kazi yao vizuri? Kama unafikiri hilo linasaidia kamwulize Ghadaffi....hii nchi ni ya amani sana tatizo kapewa mtu mwenye majivuno , kiburi na ulevi wa madaraka basi muda si mrefu atataka alindwe kabisa na helcopter za kijeshi na magari ya deraya, hajui kiongozi mzuri ni yule aliye karibu na raia siyo na vyombo vya ulinzi...hawa wakichoka vituko vyake watamtolea dirishani!TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.
Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.
Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.
I am proud of our TISS.
nOk. Hata hivo waratibu wa ulinzi huo ni TISS.
Al Shabaab wapo Heaven in Kenya.
Ukisoma tena nilichoandika wala hupati tabu kuelewa nimeandika nini.
Madaktari waliopo huko hawashiriki kwenye oparesheni kama coverage, wako kwa professional assignment tu. daktari hapelelezi wala kufanya vetting.
Ingia Kijitonyama wale madaktari na manesi wote ni kitengo lakini kazi zao za kila siku ni hizo tu Professional.
You're listening too slowly.
Sema, ".....I love you....." na sio ".......we love you.....". Hatujakutuma utusemee.TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.
Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.
Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.
I am proud of our TISS.
Sababu una akili sana, kwanini usiwe wewe Rais? I [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]What is the basis of that statement?
I have problems with ignorance, wherever I see it.
In Trump. In Magufuli. In you.
I point it out. I attack it. Ignorance. Not you. Not Magufuli. Not Trump.
Ignorance.
So why do you see my pointing out of ignorance as a personal problem with your president while I attack ignorance anywhere?
I attack ignorance in Kikwete, Mkapa, Mwinyi, Nyerere.
I attack ignorance in Lipumba, Lowassa, Lissu, Hamad.
I attack the charade of democracy in a country where a lot of people are uneducated.
It is ignorance.
I attack the chorus of hagiography that ignores basic things.
It is ignorance.
I attack people who see my attacking ignorance as personal with no basis for saying so.
It is ignorance.
Where do you get this ignorance of suggesting there is anything personal between myself and Magufuli?
If you want to make it personal, I should be singing Magufuli praises.
You know why? I will tell you.
1. My uncle is in Magufuli's cabinet.
2. My father was sold a government house in Oysterbay by Magufuli. It is now probably worth 3 million USD.
If I was not a principled person, I was supposed to be one of those people who sings praises for Magufuli.
He basically gave my family a 3 million USD house for nothing. In Oysterbay.
But I am better than that.
I am looking at the bigger picture using better principles.
Now, as you see, if you want to make it personal, I should love Magufuli immensely.
But I don't. Because my principles are rooted in ideals that are better than the mere personal.
Kuna watu wanamsifia Magufuli wakati kawakamua mpaka mavi.
Kwa sababu ya ujinga.
Mimi ambaye Magufuli kaipa familia yangu nyumba ya dola za Kimarekani milioni tatu Oysterbay bure naujua ujinga wake na namchana.
That alone should give you pause.
Kuwa binadamu ni kuwa na akili. Hayo mengine maarifa.Sababu una akili sana, kwanini usiwe wewe Rais? I [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hawa jamaa wako vizuri sana,Kikwete alikuwa anawakatisha tamaa.TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.
Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.
Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.
I am proud of our TISS.
Unajuaje sijasema hayo yote?It's your turn now to attack your ignorance, pole sana. Your hatred is clear now,mbona husemi serikali ilimpa ndg yoo nyumba, unamuataki magufuli, kama vile lilikuwa tamko la magufuli pekee kuuza nyumba za serikali, wakati lile lilifanywa na baraza la mawaziri ambalo mwenyekiti ni rais wa nchi, isitoshe waziri mkuu, Fredrick sumaye alishatoa ufafanuzi kuhusiana na uzwaji nyumba za serikali na crip zipo, ndg yangu shakwambia jiandae kisaikolojia, jamaa yupo hadi 2025.to case closed.
Kwahiyo huyu anayewaanika ndio anawatia moyoHawa jamaa wako vizuri sana,Kikwete alikuwa anawakatisha tamaa.
Wamlinde Mkulu bwana,maadui zetu ni wengi,he is so precious to us.
naona yale makiri kiri ajayaelewaWatanzania bwana, unakuta mtu anaongea kitu kama anakifahamu kwerkwer kumbe hamna kitu,,,
Unaelewa PSU wanatokea wapi lakini au umeona na ww uandike tu watu tukusome..,
Wanachunguza tena kwa kina,ila matokeo ya uchunguzi hayaletwi kwako,ila mkulu ni lazima ayapate,si unasikia anawaambia wanasiasa waache kuropoka mambo wasioyajua?Hivi wameshindwa kuchunguza kibiti,yao TISS
TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.
Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.
Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.
I am proud of our TISS.