Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unataka kuliamsha Dude....[emoji13] [emoji13] [emoji13]Gwajima Kakimbia Vichwa Vyake vya Train huko Bandarini TISS hatari siku hizi.
Gesi tuliambiwa itakua suluhu,leo HEP rufiji,je hauwez kuwa White elephat Project?.......Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.......
Tafsiri yake moja tu,kuwa amani ya nchi hakuna kama zamazi,hata enzi za vita vya Kagera Mwlm Nyerere hakuwa na ulinzi huo kama tuko Somali Land ama Kabul..
............Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo........
Tulihubiriwa sana kuwa uvunaji wa gesi Mtwara ndio suluhu ya umeme wa uhakika,tutauza mpaka nje!!! Leo tunahangaika Uganda na Ethiopia kupata UMEME!!!
TISS wangefanya kazi nzuri huko huko Rufiji watu wasingeuawa kama kuku wewe.TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.
Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.
Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.
I am proud of our TISS.
Yaani ni sawa na kusema. Wale ni mawakili na sio wanasheria.
Note:
PSU ni mojawapo ya vitengo vya TISS
Hivi watanzania wamegeuzwa kuwa mazezeta wa kiwango hiki-vichwa vya treni visijulikane ni vya nani?Kukutaarifu tu TAMISEMI wanafanya uchunguz juu ya upotevu wa zaidi ya mil 200 juzi Jafo amesema.
Na leo vichwa vya treni vimekutwa huko vinesukumwa nje ya bahar havijulikani vya nani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani hili naibu spika Tulia Si alisema bungeni au ushasahauMwisho mtasema FFU sio polisi
Sisi walei wa mambo hayo ya kiusalama hutujui what is happening behind the curtens. Tunaishia kuropoka tu. Vyomba vya ulinzi vipo kazini. Matunda yanaonekana. Amani inarejea. Sasa wewe ulitaka iweje? Tuwaombee vijana wetu wa TISS.TISS wangefanya kazi nzuri huko huko Rufiji watu wasingeuawa kama kuku wewe.
Woga tu ule hamna loloteTISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.
Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.
Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.
I am proud of our TISS.
.... Wewe unadhani rais yuko hatarini kuliko kipindi chote cha uongozi wa nchi hii? If so why? Vp kule kibiti mchango wao?Aise TISS ya sasa naona ni aina nyingine. They are exellent. Mpaka najivunia kuwa mtanzania.
... Huna uhakika na unachokiongea better listen to others...Ok. Hata hivo waratibu wa ulinzi huo ni TISS.
Vyovyote utakavyosema, Usalama wa Taifa una jukumu la kulinda usalama wa raia.Sisi walei wa mambo hayo ya kiusalama hutujui what is happening behind the curtens. Tunaishia kuropoka tu. Vyomba vya ulinzi vipo kazini. Matunda yanaonekana. Amani inarejea. Sasa wewe ulitaka iweje? Tuwaombee vijana wetu wa TISS.
Acha majungu. TISS ya sasa naipenda sana. Ningekuwa siyo mwanasheria ningeomba kujiunga nao for th public interest..... Wewe unadhani rais yuko hatarini kuliko kipindi chote cha uongozi wa nchi hii? If so why? Vp kule kibiti mchango wao?