Hongera sana TISS kwa kazi nzuri sana awamu ya tano

Hongera sana TISS kwa kazi nzuri sana awamu ya tano

.......Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.......

Tafsiri yake moja tu,kuwa amani ya nchi hakuna kama zamazi,hata enzi za vita vya Kagera Mwlm Nyerere hakuwa na ulinzi huo kama tuko Somali Land ama Kabul..

............Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo........

Tulihubiriwa sana kuwa uvunaji wa gesi Mtwara ndio suluhu ya umeme wa uhakika,tutauza mpaka nje!!! Leo tunahangaika Uganda na Ethiopia kupata UMEME!!!
Gesi tuliambiwa itakua suluhu,leo HEP rufiji,je hauwez kuwa White elephat Project?

Maana hata mradi wa Kihansi mie sioni tija yake na umegharimu pesa sana
 
Usalama wa Taifa na Ulinzi wa Rais.

Ukifuga kuku wa mayai(Layer) lengo ni kupata mayai lakini utapata na mbolea na akizeeka, wa mjini watamuita kuku wa kienyeji
 
TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.

Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.

Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.

I am proud of our TISS.
TISS wangefanya kazi nzuri huko huko Rufiji watu wasingeuawa kama kuku wewe.
 
Kukutaarifu tu TAMISEMI wanafanya uchunguz juu ya upotevu wa zaidi ya mil 200 juzi Jafo amesema.

Na leo vichwa vya treni vimekutwa huko vinesukumwa nje ya bahar havijulikani vya nani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi watanzania wamegeuzwa kuwa mazezeta wa kiwango hiki-vichwa vya treni visijulikane ni vya nani?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Police nimewakubali sana
hasa wale walio vaa helmet nyeusi
 
TISS wangefanya kazi nzuri huko huko Rufiji watu wasingeuawa kama kuku wewe.
Sisi walei wa mambo hayo ya kiusalama hutujui what is happening behind the curtens. Tunaishia kuropoka tu. Vyomba vya ulinzi vipo kazini. Matunda yanaonekana. Amani inarejea. Sasa wewe ulitaka iweje? Tuwaombee vijana wetu wa TISS.
 
Hiv ummeme wa gas ndio bas yena? Mana ndio kingekua kipaumbele kwa taifa
 
  • Thanks
Reactions: SDG
TISS mnafanya kazi nzuri sana.Kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo anajua hilo. You are doing a wonderful job for our great nation. Mnasitahili sifa zote. Mungu awabariki sana.

Nchi sasa iko barabarani. Mambo ya msingi yote yanaenda vizuri. Mpango wa kujenga bwawa la umeme huko Rufiji ndo habari ya mjini. Megawat 2100 siyo mchezo. Ulinzi wa Raisi wa jana kuingia viwanja vya sababu ulitisha.

Hatujawahiona uwezo wa TISS wa hali ya juu wa kumlinda Commander in Chief of the Armed forces kama ule. TISS you are good in all terms.Keep it up. We love you, we respect you. Songeni mbele kwa mwendo huo. Tutafika.

I am proud of our TISS.
Woga tu ule hamna lolote
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Kwani TISS ndo huwa ni walinzi wa rais?

Hili suala ni mnasadiki tu au mnalijua kwa uhakika?
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Sisi walei wa mambo hayo ya kiusalama hutujui what is happening behind the curtens. Tunaishia kuropoka tu. Vyomba vya ulinzi vipo kazini. Matunda yanaonekana. Amani inarejea. Sasa wewe ulitaka iweje? Tuwaombee vijana wetu wa TISS.
Vyovyote utakavyosema, Usalama wa Taifa una jukumu la kulinda usalama wa raia.

Na huko Kibiti, washenzi wameua watu kama kuku, si mara moja au mbili.

Kifupi ni kwamba, chochote utakachosema, Usalama wa Taifa imeshindwa kazi yake huko.

Lolote utakalolijua au usilolijua haliwezi kubadilisha ukweli huo.
 
Back
Top Bottom