Siyo rahisi kihivyo japo ndiye aliyefanya vizuri kwenye MdahaloAshashinda huyu mwamba
Nkuba tumemtafiria kazi nyingine tuliyomtuma ameifanya vizuri ila upinzani umekuwa mkaliSiyo rahisi kihivyo japo ndiye aliyefanya vizuri kwenye Mdahalo
Kwa takwimu za sasa Mawakili Wengi ni CCM πNkuba tumemtafiria kazi nyingine tuliyomtuma ameifanya vizuri ila upinzani umekuwa mkali
Tukumbuke Tundu Lissu alishinda japo alikuwa totally upinzani.Sijui kama watampa, system itapambana ashindwe....sijui uchaguzi unafanyikaje na mfumo ni upi ila bado fitina inaweza kuwa kubwa sana maana yeye directly anaonekana yuko kinyume kabisa na serikali,ile maana ya serikali ina mkono mrefu inaweza kutumika uchaguzi huu
Lisu alishinda vipi mbele ya MagufuriSijui kama watampa, system itapambana ashindwe....sijui uchaguzi unafanyikaje na mfumo ni upi ila bado fitina inaweza kuwa kubwa sana maana yeye directly anaonekana yuko kinyume kabisa na serikali,ile maana ya serikali ina mkono mrefu inaweza kutumika uchaguzi huu
Sirini ni watu huruKwa takwimu za sasa Mawakili Wengi ni CCM π
Bwashee Mimi ni wakili ati napiga kuraKwa takwimu za sasa Mawakili Wengi ni CCM π
Ngoja tuone πBwashee Mimi ni wakili ati napiga kura
Waarabu wa pemba tunajuana kwa vilemba
Tutampa wakili Mwambukusi
Mbona kama vile unaumia kwani
mwambukusi si ni mtanzania mzalendo mwenzetu??
Mchuano pale Mbeya mjini utakuwa mkali 2025
Kule tulia raisi wa pdu na spika
Huku mwambukusi raisi wa TLS na wakili msomi mzalendo
Ukweli jamaa yupo vizuri na siyo chawaNimefuatilia sana mdahalo wa wagombea wa Urais wa Tanganyika Law Society (TLS). Kati ya wagombea wa kiti hicho ninachukua nafasi hii kumpongeza Wakili msomi Mwabukusi kutokana na maswali aliyoulizwa kwa kujibu maswali yote kwa ufasaha. Naona upepo umebadilika licha ya kupigwa vita Wakili Mwabukusi. Wanachama wa TLS huu ndiyo wakati wa kutoa uamuzi wa kumchagua mtu ambaye ana msimamo na haogopi.
Upo sahihi,ila nimetoa mtazamo wangu tu...... kwasababu majira haya siyo ya wakati uleL
Lisu alishinda vipi mbele ya Magufuri
Subiri mapovu toka kwa misukule ya mzee MboweKwa takwimu za sasa Mawakili Wengi ni CCM π