Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wataalam wanasemaga kuwa ktk dunia ya sasa vitu vya kuogopa sana ni vitatu.
1. Serikali ya mababvu.
2. Teknolojia.
3. Mungu.
Hapa chini ni Kitila Mkumbo akitema madini ya dhahabu kipindi akiwa bado ni mwana harakati na mkosoaji mkubwa wa serikali ya CCM.
Leo hii ameteuliwa kuwa waziri ndani ya serikali ya ccm aliyokuwa anaikosoa imebidi ameze maneno yake.
Hakika nimeamini maneno ya wazaramo ya ZILONGWA MBALI NA ZITENDWA MBALI.
1. Serikali ya mababvu.
2. Teknolojia.
3. Mungu.
Hapa chini ni Kitila Mkumbo akitema madini ya dhahabu kipindi akiwa bado ni mwana harakati na mkosoaji mkubwa wa serikali ya CCM.
Leo hii ameteuliwa kuwa waziri ndani ya serikali ya ccm aliyokuwa anaikosoa imebidi ameze maneno yake.
Hakika nimeamini maneno ya wazaramo ya ZILONGWA MBALI NA ZITENDWA MBALI.