Tunaanza kurudi Dar taratibu kimyakimya kwa kisingizo cha kuaga wafu Karimjee nakuonana na mabalozi kwa mabalozi ndo wanatuoa hera na hawataki tuhamie Dodoma, sasa kwa dhana ile ya kuimalisha mahusiano ni afadhali tuwauzi watanzania siyo.CCM imewatapeli wananchi wa dodoma Kuwa imehamisha makao makuu na kutumia trillion za fedha Sasa Maza ana allergy kuishi bila kuona bahari
Sasa matumizi ya tozo yanafanya kazi, lazima badgeti ya OC itumike. Unajua sasa hivi hii korona inafanya hatusafiri nje ya nchi kama enzi za kikwete ndo maana tumehamishia shughuli Dar es Salaam kwani hapo tunaliowa posho za kufa mtu kumhudumia mazaHongereni sana
Hapa umeandika kitu gani?Tunaanza kurudi Dar taratibu kimyakimya kwa kisingizo cha kuaga wafu Karimjee nakuonana na mabalozi kwa mabalozi ndo wanatuoa hera na hawataki tuhamie Dodoma, sasa kwa dhana ile ya kuimalisha mahusiano ni afadhali tuwauzi watanzania siyo.
Mabalozi wa ukaya kuwaleta Dodoma.So ikulu na viongozi wote wakubwa wanakaa dar tena kwa kilipwa posho.Hongera sana serikali ya ccm kwa maono haya
Hongereni,huenda nas wa pembeni tukapata nafuuSasa matumizi ya tozo yanafanya kazi, lazima badgeti ya OC itumike. Unajua sasa hivi hii korona inafanya hatusafiri nje ya nchi kama enzi za kikwete ndo maana tumehamishia shughuli Dar es Salaam kwani hapo tunaliowa posho za kufa mtu kumhudumia maza
Katiba mpya siyo ugaidi hahahahah hii sentence inafurahisha sanaHivi hakuna sheria ya Ikulu; State House Act?
Unategemea kuna mtu atatoka ccm awe na vision!?? Pole sanaHuyu mama hana vision yoyote wala hacommand respect kutoka wa wasaidizi wake ukianza na mawaziri wake. Sasa hivi kila mtu anajipigia tu kwa urefu wa kamba yake
CCM watafanya la maana sana kama watamuweka pembeni come 2025.