Hongera Serikali kurudisha Ikulu Dar Es Salaam, Sasa tunakula bata jijini

Hongera Serikali kurudisha Ikulu Dar Es Salaam, Sasa tunakula bata jijini

Yaaani sasa hivi mjinga yeyote akiitwa White house basi anaomba msafara jioni hii ya leo nimepigiwa ving'ora nipishe nikasema mambo gani tena haya maana tulishayasahu maana ni kero mno
 
Tunaanza kurudi Dar taratibu kimyakimya kwa kisingizo cha kuaga wafu Karimjee nakuonana na mabalozi kwa mabalozi ndo wanatuoa hera na hawataki tuhamie Dodoma, sasa kwa dhana ile ya kuimalisha mahusiano ni afadhali tuwauzi watanzania siyo.

Mabalozi wa ukaya kuwaleta Dodoma.So ikulu na viongozi wote wakubwa wanakaa dar tena kwa kilipwa posho.Hongera sana serikali ya ccm kwa maono haya
Ikulu ya Dodoma hajakamilika kabisa bado JKT na JWTZ wanaendelea na ujenzi ila umefikia pazuri
 
Nachukua nafasi hii kuipongeza serikali kwa kuirudisha Ikulu Dar es Salaam kwa kipindi cha mwezi mzima sasa, ambapo shughuli zote kubwa za kiserikali tunazifanyia Dar es Salaam.

Hili ni jambo zuri la kupongezwa kwani hata sisi wasaidizi tunakula posho nzitonzito kwa kukaa Dar. Asante sana kiongozi wetu kwa maamuzi ya Busara
ndoto za mchana, endelea kujifariji
 
Sio ID ya kimkakati, kila jambo linakuja na facts watu walivyolalamikia tozo alafu kuwe na upigaji mahali wasiseme? Leta ushahidi ili tuamini kwamba upigaji upo
 
Nachukua nafasi hii kuipongeza serikali kwa kuirudisha Ikulu Dar es Salaam kwa kipindi cha mwezi mzima sasa, ambapo shughuli zote kubwa za kiserikali tunazifanyia Dar es Salaam.

Hili ni jambo zuri la kupongezwa kwani hata sisi wasaidizi tunakula posho nzitonzito kwa kukaa Dar. Asante sana kiongozi wetu kwa maamuzi ya Busara
Ccm wameifanya nchi kama shamba la bibi
 
Back
Top Bottom