Hongera Serikali kurudisha Ikulu Dar Es Salaam, Sasa tunakula bata jijini

Hongera Serikali kurudisha Ikulu Dar Es Salaam, Sasa tunakula bata jijini

Naamini ishu ni Ikulu bado iko kwenye ujenzi,ikikamilika hatutamuona Dar mara kwa mara..
 
CCM hawatamtoa kwa sababu kawapa mwamya wa kupiga
Iwapo kina polepole wananguvu wnaweza kumtoa ngoje tusubiri.
Mama mpaka leo hajawahi tumbua utafikiri hakuna madudu.
 
Dom ikulu haijakamilika,lini walitangaza kuifunga ikulu ya Dar? Katoeni misukile yenu ikulu ya Dom Maza arudi
 
Huyu mama hana vision yoyote wala hacommand respect kutoka wa wasaidizi wake ukianza na mawaziri wake. Sasa hivi kila mtu anajipigia tu kwa urefu wa kamba yake

CCM watafanya la maana sana kama watamuweka pembeni come 2025.
Eti MAUSHUNGI.... 🤣
Waswahili mna maneno..dah!
 
CCM hawatamtoa kwa sababu kawapa mwamya wa kupiga
Iwapo kina polepole wananguvu wnaweza kumtoa ngoje tusubiri.
Mama mpaka leo hajawahi tumbua utafikiri hakuna madudu.
Ametumbua bhana, Chalamila, Kakoko na wengine
 
SERIKALI INAYOCREATE NA KUENDEKEZA MARUMIZI MAKUBWA YA KUJINUFAISHA KWA KSINGIZIO DDODOMA SIYO PAZURI.MAOATO YOTE YANAISHIA KWENYE KITU KINAITWA OCS ZA OFISI..MWAKA HUU SERIKI ITATUMI TRION 4 KWA AJILI YA OCS TU,,NDO HAYA MAMA NAFANYA..HABANI MATUMIZI.IKUKU NI DODOMA HARAFU MDA WOTE SERIKALI IKO DAR ES SALAAM
Mwandiko wako mbayaaa
 
Mwandiko wako mbayaaa
Hakunaga mwandiko ktk simu kuna maandishi, mbona unamosea sana. Uandishi, mwandiko upo mashuleni na kwenye karatasi.
Mwandiko wa wima chapa,mlalo, kuunga unatumia pen au penseli sio keypad au keyboard, haipo hivyo.
Sijui kama kiswahili ulifaulu!
 
Ikulu imekuwa sehemu ya kuongoza vikao vya CCM
SERIKALI INAYOCREATE NA KUENDEKEZA MARUMIZI MAKUBWA YA KUJINUFAISHA KWA KSINGIZIO DDODOMA SIYO PAZURI.MAOATO YOTE YANAISHIA KWENYE KITU KINAITWA OCS ZA OFISI..MWAKA HUU SERIKI ITATUMI TRION 4 KWA AJILI YA OCS TU,,NDO HAYA MAMA NAFANYA..HABANI MATUMIZI.IKUKU NI DODOMA HARAFU MDA WOTE SERIKALI IKO DAR ES SALAAM
Hakunaga mwandiko ktk simu kuna maandishi, mbona unamosea sana. Uandishi, mwandiko upo mashuleni na kwenye karatasi.
Mwandiko wa wima chapa,mlalo, kuunga unatumia pen au penseli sio keypad au keyboard, haipo hivyo.
Sijui kama kiswahili ulifaulu!
 
Wanaosema ikulu ya Dodoma haijakamilika,,kwani magufuri na ueue mwenyewe alikuwa anafanyia wapi kazi.Kuonheza gharama zakulipna posho kwa kuwajazia watanzania makodi ya ovyo kwq sbb za kipuuzi ni ujinga wa ajabu
 
SERIKALI INAYOCREATE NA KUENDEKEZA MARUMIZI MAKUBWA YA KUJINUFAISHA KWA KSINGIZIO DDODOMA SIYO PAZURI.MAOATO YOTE YANAISHIA KWENYE KITU KINAITWA OCS ZA OFISI..MWAKA HUU SERIKI ITATUMI TRION 4 KWA AJILI YA OCS TU,,NDO HAYA MAMA NAFANYA..HABANI MATUMIZI.IKUKU NI DODOMA HARAFU MDA WOTE SERIKALI IKO DAR ES SALAAM
Bado nakuambia huo sio mwandiko bali ni uandishi. Kuna ile mada ya insha, haihusu mwandiko bali alama za uandishi, mpangilio wa sentensi, aya nk.
Mwandiko wanajifunza la kwanza na la pili.
Mwandiko unaweza usiwe na maana yoyote bali uumbaji wa herufi unaokubalika.
Huyo uandishi wake mbaya sio mwandiko mbaya.
Simu/computer zimeishatengenezewa mwandiko, kazi yetu kuunda maandishi sio mwandiko.
Kule kwenye komputer kuna font style, font size nk hivyo kazi yako ni kuchagua aina ta mwandiko mf roman type.
Hebu acha kukosea mbona nakuelewesha huelewi ndugu.
 
Waaandishi wa habari Tanzania ni vilaza wanashindwa kudadisi na kunadika kwanini serikali inawabebesha watanzania kwa kuwalilisha kodi ili zigharamie losho Dar wakati ikulu iko dodoma.Haiwezekani Mh Raisi na ikulu imehamia Dar wiki nne hara nchi imekaa kama zezeta
 
JPM sanamu yake ikijengw dodoma itaongeza mapato sana hebu angalia nyerere square inavyowaingizia elfu chache chsche serikali.
 
Huyu mama hana vision yoyote wala hacommand respect kutoka wa wasaidizi wake ukianza na mawaziri wake. Sasa hivi kila mtu anajipigia tu kwa urefu wa kamba yake

CCM watafanya la maana sana kama watamuweka pembeni come 2025.
Unawezaje kuthibitisha kauli yako kwamba watu wanajipigia? Toa ushahidi usiongee kwa kuwa una uhuru wa kuongea, leta ushahidi
 
Wanaoumia ni wananchi, hizi pesa zinazotumika kufanya haya ni kodi za wananchi... hivi ndivyo namna tozo inavytumika...
 
Katiba mpya ya warioba inatamka suala la serikali tatu.

Ikulu ya Dodoma itabaki kama ikulu ya serikali ya Tanganyika.
Ikulu ya Dsm ndiyo ikulu ya Tanzania mana ipo karibu na nchi ya Zanzibar ambayo ni mshirika wa Muungano.

Katiba mpya inapingwa na wahalifu wa kimfumo lakini haiepukiki wa mustakabali mwema wa nchi zetu zenye uhuru kamili.

CCMBURUNDI ndiyo inayokwamisha katiba bora ya wananchi sio hii ya watawala wasio na utaratibu zaidi ya matamko.

Yanayofanyika yanaharakisha suala la kudai katiba bora ya Taifa la Tanzania.
 
Kuna Trafiki mmoja ameniambia kuwa Misafara isharejea Dar.
 
Back
Top Bottom