Continental Ground
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 1,907
- 3,895
Simba hoyeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi ni kuchekelea takwimu feki...Upuuzi Yanga kuwa wa 3 na Makolo kuwa wa 11?
Bado hujasema, yaani utasema tu, mpaka usemeee..!!!Upuuzi ni kuchekelea takwimu feki...
Hebu niache bana unataka niseme nini sasa...Bado hujasema, yaani utasema tu, mpaka usemeee..!!!
Useme Simba ya 11 na Yanga ya 3, halafu Simba inacheza na timu ya kwanza na Simba itafungwa..!!Hebu niache bana unataka niseme nini sasa...
Usiniletee wanga wenu...hyo page ingekua CAF official sawa...nyie okotezeni okotezeni vi takwimu uchwara huko mjipe furaha fake...Useme Simba ya 11 na Yanga ya 3, halafu Simba inacheza na timu ya kwanza na Simba itafungwa..!!
Kipindi ambacho mnaleta takwimu za Simba kufanya vizuri kwa kupitia IFFHS, mlisema kuwa IFFHS inatambulika na FIFA. Au mnataka tuanze kufungua makaburi jinsi mlivyoisifia IFFHS? Leo hii kuiweka Yanga juu imekuwa hamuitambui.Shirikisho ya soka duniani ni FIFA, Africa ni CAF, Tanzania ni TFF, na haya ndio huwa yanaandaa na kusimamia mashindano ya soka katika ngazi husika. Hayo ndio huwa yanafanya kazi ya mpira. Hilo IFFHS la michezo (basketball, volleyball, ndondi, table tennis, vinyoya etc) halina mashindano ya soka linayoyaandaa
Sasa badala ya kutusikiliza sisi, isikilize FIFA yenye mpira wake bwashee! Inatumia utaratibu upi? CAF inayotumia taratibu za FIFA, inatumia utaratibu upi? Hapo wala hautapata shida. Kwani sisi tulipokuwa tunawaletea takwimu za IFFH, huko CAF ninyi Yanga mlikuwa sehemu nzuri? Mbona mambo hayajawahi kuwa mazuri kwenu sehemu yoyote?Kipindi ambacho mnaleta takwimu za Simba kufanya vizuri kwa kupitia IFFHS, mlisema kuwa IFFHS inatambulika na FIFA.
Kwani wakati mnaleta za IFFHS, Yanga ilikuwa sehemu nzuri? Alikuwa sehemu mbaya ila kafika hapo kutokana na trends za matokeo wanayopata kimataifa na kitaifa. Hata huko CAF, kumbuka Yanga alikuwa nafasi ya 75 je kafikaje kwenye 18 kama sio matokeo anayopata katika mashindano ya kimataifa? Hata mwaka huu ana nafasi ya kufika kwenye kumi bora au kushuka kabisa hadi kwenye 30 kama ilivyo kwa Simba, ana uwezo wa kufika tano bora au kushuka hadi 15.Sasa badala ya kutusikiliza sisi, isikilize FIFA yenye mpira wake bwashee! Inatumia utaratibu upi? CAF inayotumia taratibu za FIFA, inatumia utaratibu upi? Hapo wala hautapata shida. Kwani sisi tulipokuwa tunawaletea takwimu za IFFH, huko CAF ninyi Yanga mlikuwa sehemu nzuri? Mbona mambo hayajawahi kuwa mazuri kwenu sehemu yoyote?
Mkuu unaiamini hii post? Umekiona Kiinglish chake lakini?Nani amenuna?
Hii ndiyo ya kujivunia maana imetoka kwa mamlaka inayoandaa mpira wa FIFA. Sasa unafika fainali ya mashindano yanayoandaliwa na CAF, halafu CAF huyo anakuambia hongera kwa kupanda nafasi hadi ya 18, wewe huitaki, unataka nafasi ya mtu ambaye hakuandaa mashindano yaliyokufanya ufike fainali! Ni sawa na kusoma university halafu ung'ang'anie matokeo ya mtihani wa VETAHata huko CAF, kumbuka Yanga alikuwa nafasi ya 75 je kafikaje kwenye 18 kama sio matokeo anayopata katika mashindano ya kimataifa?
Unachanganya mambo, IFFHS sio chombo cha kuandaa mashindano wala kusimamia mashindano bali ni chombo maalumu kinachodili na takwimu na records. IFFS ina deal na performance za timu kwa ujumla kwenye michezo inayoshiriki ya kitaifa na kimataifa wakati CAF takwimu zao wana deal na michuano ya CAF pekee.Hii ndiyo ya kujivunia maana imetoka kwa mamlaka inayoandaa mpira wa FIFA. Sasa unafika fainali ya mashindano yanayoandaliwa na CAF, halafu CAF huyo anakuambia hongera kwa kupanda nafasi hadi ya 18, wewe huitaki, unataka nafasi ya mtu ambaye hakuandaa mashindano yaliyokufanya ufike fainali! Ni sawa na kusoma university halafu ung'ang'anie matokeo ya mtihani wa VETA
Ila post yako ya mwaka 2021 ulikuwa unafurahi mbona leo inakataa [emoji23]Usiniletee wanga wenu...hyo page ingekua CAF official sawa...nyie okotezeni okotezeni vi takwimu uchwara huko mjipe furaha fake...
Huko kitaifa Yanga na Petro Atletico zitalinganishwa kwa reference ya ligi gani?IFFS ina deal na performance za timu kwa ujumla kwenye michezo inayoshiriki ya kitaifa na kimataifa wakati CAF takwimu zao wana deal na michuano ya CAF pekee.
We endelea kupambana na kiinglish watu wanakwea kileleni tu, hii Yanga ya sasa ni ngumu sana kushindana nayo, itawachapa ndani ya uwanja na itawachapa nje ya uwanja. Nyingine ni hii hapa 👇👇Mkuu unaiamini hii lost? Umekiona Kiinglish chake lakini?