Hongera Simba SC Kutinga orodha vilabu bora Afrika

Hongera Simba SC Kutinga orodha vilabu bora Afrika

Unachanganya mambo, IFFHS sio chombo cha kuandaa mashindano wala kusimamia mashindano bali ni chombo maalumu kinachodili na takwimu na records. IFFS ina deal na performance za timu kwa ujumla kwenye michezo inayoshiriki ya kitaifa na kimataifa wakati CAF takwimu zao wana deal na michuano ya CAF pekee.
Umeeleweka.
 
Huko kitaifa Yanga na Petro Atletico zitalinganishwa kwa reference ya ligi gani?
Kwa Africa kuna mashindano mawili ya ndani ambayo yanatambulika na shirikisho la soka Africa (CAF) kwa kila nchi mwanachama wa CAF lazima awe na mashindano ya ligi kuu na mashindano ya FA (hayo ndio mashindano ya kitaifa), mfumo huo wa mashindano yapo hata kwenye wanachama wa mashiririkisho mengine mfano UEFA, n.k.

Hivyo kwa kitaifa IFFHS, wanachukua performance ya timu katika mashindano hayo mawili ambapo wanachukua takwimu ya jumla ya michezo, idadi ya magoli uliyofunga, idadi ya clean sheet, idadi ya magoli uliyoruhusu, idadi ya michezo uliyoshinda, n.k takwimu inahusisha vitu vingi lakini lengo lao ni kupima overall performance ya timu katika mashindano yote kwa ujumla.
Narudia tena IFFHS wana deal na overall performance katika mashindano ya kimataifa na kitaifa na ndio maana wanaitwa IFFHS yaani international federation of football history and statistics. Wewe performance unapima kwa macho ila wao wanaenda kwa namba tu
 
Usiniletee wanga wenu...hyo page ingekua CAF official sawa...nyie okotezeni okotezeni vi takwimu uchwara huko mjipe furaha fake...
Kuhuwa wanga, mtani Kalpana mnaongoza kwa kiwango cha kupigwa faini..!! Ahahahahaaa, wakawapunguzia ukali wa uchawi wenu kwa kuuita tambiko hatarishi.
 
Ziko wapi hizo point?
 

Attachments

  • inbound8495942872449548205.jpg
    inbound8495942872449548205.jpg
    109 KB · Views: 1
Back
Top Bottom