Hongera Waziri Dotto Biteko kwa kuanza kuimarisha upatikanaji wa umeme

Kuna vitu vya kuwapongeza viongozi lakini sio swala hili la umeme
#KUFA NDIO UHURU WENYEWE
Makamba na maharage walipoharibu mliwapopoa basi na wale wanaoweka mambo Sawa basi wapongezwe
 
Dotto vunja uovu na mikataba ya hovyo aliyofanya makamba hapo wizarani na Tanesco.
Yule ni mtu wa deal na kuwaza upigaji tu, kwanza hana maadili na sio mzalendo na hilini hata baba !
I second you!!
 
january na mzee wa mshale umerudi wakiona hii message watanuna
 
Sisi huku ambako hata sasa hivi hakuna umeme unataka tuseme nini?

Kuna tabia zingine zipo biased!!! Yaani Geita na Shinyanga tu ambako hakuna hata viwanda vya maana umeshaanza kusifia!!!?

Chawa ni chawa tu
 
Sisi huku ambako hata sasa hivi hakuna umeme unataka tuseme nini?

Kuna tabia zingine zipo biased!!! Yaani Geita na Shinyanga tu ambako hakuna hata viwanda vya maana umeshaanza kusifia!!!?

Chawa ni chawa tu
Shinyanga na geita kuna viwanda vingi local na international zungumza lingine, hebu huko matombo uliko nitajie kiwanda cha kimataifa kama bulyanhulu gold, geita gold mine, mwadui na Jambo Industry vilivyopo mkoa wa geita na shinyanga? Ndomana nikasema bado maeneo machache nayo mtasahau hiyo adha ya umeme vuteni subira biteko yupo mzigoni kuweka Mambo sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…