King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
- Thread starter
- #41
Makamba na maharage walizidi upole yaani walikuwa wanahujumiwa waziwazi lkn bado waliendelea kucheka na ngedere, biteko anawanyoosha kimya kimya na hili tatizo ndo bye bye tena.We furah tu siku mbili hzo ila ilo pigo mtakalokuja kupigwa utajuta kuandka huu upuuzi