Hongera Waziri Ummy Mwalimu kwa mkakati mpya wa kupambana na COVID19

Hongera Waziri Ummy Mwalimu kwa mkakati mpya wa kupambana na COVID19

Haha muite afanye haraka kuweka

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu samahani kwa kurukia hii issue, trust me ukiambiwa hivyo jua kweli kuna wadau wana mafaili yako ambayo ukiwekewa hadharani utashangaa ilikuwaje.

Wewe kama una smartphone au PC yenye web camera kuwa mpole tu, wote maisha yetu ya faragha yapo wazi kabisaaa.

Kama unamiliki simu yoyote hata ya kitochi ujue kuna jambo ambalo usingependa watu wasio kusudiwa wasisikie linaweza kuwafikia wakasikia.

Take care my sister, ikilazimu kipindi hiki cha janga la COVID-19 jishushe tu ukipewa onyo, ni afadhali aibu ya kuwa mpole kuliko wakiamua kukulipua.
 
Mkuu samahani kwa kurukia hii issue, trust me ukiambiwa hivyo jua kweli kuna wadau wana mafaili yako ambayo ukiwekewa hadharani utashangaa ilikuwaje.

Wewe kama una smartphone au PC yenye web camera kuwa mpole tu, wote maisha yetu ya faragha yapo wazi kabisaaa.

Kama unamiliki simu yoyote hata ya kitochi ujue kuna jambo ambalo usingependa watu wasio kusudiwa wasisikie linaweza kuwafikia wakasikia.

Take care my sister, ikilazimu kipindi hiki cha janga la COVID-19 jishushe tu ukipewa onyo, ni afadhali aibu ya kuwa mpole kuliko wakiamua kukulipua.
Weka wewe kama unayo au mpenyezee pm aje aweke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka wewe kama unayo au mpenyezee pm aje aweke

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu mimi kuwa nayo hiyo ondoa shaka kabisa.
Mimi sina ila nahisi wahusika wanayo hadi ya kwangu. Mimi sina rasilimali (resource) za kufanikisha zoezi gumu kiasi hicho.

BTW, huo ulikuwa ushauri tu mkuu wangu, wewe upotezee.
Uwe na siku njema.
 
Ushauri wa kwanza ulitolewa na nani na kwa namna gani? Inamaana kwa vile mara ya kwanza ilishindikana wakae tu wasifanye chochote?

Kama hauwezi kuona hii hatua ya kushirikisha wadau na wataalam wa afya inaumuhimu kwenye kutafuta njia za kupambana na hili janga, pendrkeza njia unayoona inafaa lakini sio kubeza na kupinga kila kitu.
Sie ndiyo tulishauri tukapingwa kwa vitendo, halafu ushauri tulioutoa (sorry waliotoa WHO) una hold water as we speak.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu mimi kuwa nayo hiyo ondoa shaka kabisa.
Mimi sina ila nahisi wahusika wanayo hadi ya kwangu. Mimi sina rasilimali (resource) za kufanikisha zoezi gumu kiasi hicho.

BTW, huo ulikuwa ushauri tu mkuu wangu, wewe upotezee.
Uwe na siku njema.
Naona unamsupport na vitisho vyake vya kitoto ndio maana nimesema umsaidie na hayo mambo anayoyasema. Bahati mbaya sijawahi kufanya jambo lolote la aibu kama ni utambulisho wangu nadhani kila mtu ana utambulisho wake si ndio? Hakutakuwa na lolote la ajabu. Uwe na siku njema pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Great Thinkers, ujumbe unaofuata unaonesha jinsi wizara ya afya ilivyojipanga kukabiliana na COVID19, kikao alichofanya na chama cha Madakitari (chini ya rais wao Dr Osati) kinatoa matumaini mapya kwa watanzania.

Mrejesho wa kikao cha wanataaluma na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

Habari za leo

Jana tarehe 27 Aprili, 2020; vyama vya kitaaluma vya afya nchini kikiwemo MAT tulikutana na timu ya Wizara ya Afya kujadiliana kuhusu mwenendo wa wa COVID-19 nchini. Kikao hiki ni matokeo ya mkutano wa vyama vyote wa tarehe 26 Aprili, 2020 kilichofanyika kupitia "zoom ". Tulijadili yafuatayo.

1. Upatikanaji wa PPEs Wizara

Mheshimiwa. Waziri Ummy Ally Mwalimu alisema tayari wameagiza mzigo wa PPEs unaotosheleza matumizi ya mwezi mzima; mzigo huo unategemewa kufika wakati wowote wiki hii. Pia wizara imepata fedha kiasi cha shilingi za kitanzania 9.6Billioni walioielekeza MSD kwa ajili ya kuagiza mzigo mwingine wa PPEs.

2. Wagonjwa kukataliwa kwenye hospitali mbalimbali

CMO na RMOs wameagizwa kushughulikia swala hili mara moja. Hii itaambatana na kuangalia upya mwongozo wa utumiaji wa PPEs bila wafanyakazi kuambukizwa. Sambamba na hilo watumishi wamehimizwa kufuata mwongozo wa IPC ili kuepuka maambukizi na hivyo wasiwakatae wagonjwa wanaopewa rufaa au kuja kwenye vituo vyao.

Kikao pia kiliridhia kwamba mafunzo ya IPC lazima yaendelee kwenye kila kituo cha kutolea huduma za afya. Pamoja na hayo tulikubaliana kuwa isolation centers ziongezeke hata kwenye hospitali za binafsi (private hospitals); kwa kuanzia hospitali hizi kupitia kwa Association of Private Health Facilities in Tanzania (APHFTA) wamekubaliana kutenga isolation za level 3 (level1, 2 and 3) katika kila wilaya ya mkoa wa Dar es Salaam na baadae mikoani, kwa ajili ya kuwaweka wagonjwa.

3. Ucheleweshwaji wa majibu ya COVID-19

Wizara imekubali kuongeza vituo vitatu kati ya tisa zenye uwezo wa kupima COVID-19. Kuanzia Jumanne ya wiki ijayo ya tarehe tarehe 5 May, 2020; maabara ya NIMR Dodoma itaanza kutoa majibu, ikifuatiwa na Mwanza na Mbeya. Changamoto imekuwa ni uwepo wa wataalam wanane tu wa maabara wanaoweza kuchakata majibu ya COVID-19. Kwa hiyo Mafunzo kwa wataalam wengine yameanza na watasambazwa kwenye vituo husika.

4. Mazishi ya waliofariki

Ikitokea mgonjwa amefariki kwenye hospitali, ndugu inabidi wahusishwe iwezekanavyo chini ya uangalizi wa wataalam wa afya kutoka manispaa husika kuhusu mazishi na eneo la kuzikia. Mganga mkuu wa wilaya (DMO) husika ataarifiwe kwa msaada zaidi ikiwa ni pamoja na magari na utaratibu wa mazishi bila kupoteza muda zaidi.

5. Contact tracing

Kwa upande wa Dar es Salaam ambapo tayari kuna maambukizi mengi kwenye jamii ni changamoto kuendelea na kuwatafuata "contacts" na pia ni vigumu kuwa weka wote ‘’isolation’’. Wizara walishauri kwa hatua tuliyo nayo sasa kwa mkoa wa Dar es Salaam kama mtu anahisi kuwa na dalili za COVID-19 aende kwenye kituo husika kwa ajili ya kuchukuliwa vipimo, na kurudi nyumbani huku wakiendelea kuchukua tahadhari zote ikiwemo kuvaa Barakoa na kujitenga na wengine. Mikoa mwingine ambayo ugonjwa haujasambaa sana waendelee na utaratibu wa "contact tracing".

6. Kuweka wagonjwa wenye dalili ndogo ndogo kwenye isolations

Kuhusu hili tulijadiliana na hatukufikia muafaka. Mheshimiwa Waziri akaomba wanataaluma tujadiliane halafu tumshauri kwenye hili. Maswali yakiwa; Je ni sahihi kuwa weka wagonjwa wenye dalili ndogo ndogo kwenye isolation ambazo tayari zimejaa au tuwape ushauri halafu wajitenge nyumbani mpaka Ikitokea wana dalili za hatari?. Hii itabidi tuitolee maoni sisi kama wanataaluma

7. Upungufu wa Damu salama kipindi hiki

kumeonekana kuna upungufu mkubwa sana wa damu salama katika benki za damu hasa kwa Dar es Salaam. Wito umetolewa kwa hospitali zote kupunguza kufanya/kutoa huduma ya upasuaji usio wa dharura ili kupunguza matumizi ya damu.

8. Utafiti kwenye eneo la COVID-19

Taasisi ya taifa ya utafiti wa magonjwa ya binadamu (NIMR) tayari inaendelea na tafiti tatu juu ya COVID-19 na pia imetoa mwongozo wa utafiti kwa wakati huu wa COVID-19. Utafiti pia unahusisha dawa za miti Shamba (tiba mbadala) ikiwa ni pamoja na kujifukiza.

9. Ufafanuzi ya juu ya kauli ya waziri kuwa hakuna watumishi walioambukizwa

Mheshimiwa Waziri alisema alichomaanisha ni kuwa hakuna mtumishi anayehudumia wagonjwa kwenye isolations aliyeambukizwa. Kwa sababu labda walipewa Mafunzo zaidi ya namna ya kujikinga. Alisema anajua kuwa kuna watumishi wameambukizwa wakiwa EMD/Mapokezi na OPDs (idara ya magonjwa ya nje). Kwahiyo ameomba Mafunzo zaidi yaelekezwa kwa watumishi wote.

NB: Tunaomba maoni yenu juu ya kipengela Namba 6 hapo juu.

Nawasilisha

Dr Elisha Osati, Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT).
Namba 6.
Nashauri wawekwe shule za jirani. Ni vigumu sana kumwambia mtu akajitenge nyumbani ili hali haijulikani aina ya nyimba (labda chumba na sebule na anaishi na wanafamilia), social interactions zinazomwandama, udhibiti, n.k.
Madarasa yaboreshwe kidogo kufaa kwa matumizi ya malazi.
 
Ilikuwa wazi ukisoma tu malalamiko ya watu mbali mbali na ukafanya ‘root cause analysis’ unaona shida ilipo hawa watu awakuwa wamejiandaa kupambana na hii hali kwenye resources wala training; na wengine tulishaona hili bila ya hata kuambiwa.

All I can say sehemu zingine za hizo solution bado zinaacha maswali kushinda mujibu.
 
Ndukidi hayo mambo ya kupanikishana tuachane nayo, tuweke mikakati ya mass testing ila hakuna mambo ya kutoa taarifa, kwa sababu hatuna briefing ya HIV au Kisukari so why iwe COVID19???? Kwanini tukopy kila kitu?

Je kuna umuhimu wa kutaja maambukizi ya malaria? Cancer??? Au kuna umuhimu wa kutaja vifo vya malaria??? Nadhani mikakati ya kujikinga ni bora zaidi. Tuungane kumpongeza Waziri Ummy kwa hatua aliyochukua
You are a puppet with a shallow analysis
 
Namba 4 : Ni maiti mia ngapi mmezika bila kuwajulisha ndugu zao ?
 
Great Thinkers, ujumbe unaofuata unaonesha jinsi wizara ya afya ilivyojipanga kukabiliana na COVID19, kikao alichofanya na chama cha Madakitari (chini ya rais wao Dr Osati) kinatoa matumaini mapya kwa watanzania.

Mrejesho wa kikao cha wanataaluma na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

Habari za leo

Jana tarehe 27 Aprili, 2020; vyama vya kitaaluma vya afya nchini kikiwemo MAT tulikutana na timu ya Wizara ya Afya kujadiliana kuhusu mwenendo wa wa COVID-19 nchini. Kikao hiki ni matokeo ya mkutano wa vyama vyote wa tarehe 26 Aprili, 2020 kilichofanyika kupitia "zoom ". Tulijadili yafuatayo.

1. Upatikanaji wa PPEs Wizara

Mheshimiwa. Waziri Ummy Ally Mwalimu alisema tayari wameagiza mzigo wa PPEs unaotosheleza matumizi ya mwezi mzima; mzigo huo unategemewa kufika wakati wowote wiki hii. Pia wizara imepata fedha kiasi cha shilingi za kitanzania 9.6Billioni walioielekeza MSD kwa ajili ya kuagiza mzigo mwingine wa PPEs.

2. Wagonjwa kukataliwa kwenye hospitali mbalimbali

CMO na RMOs wameagizwa kushughulikia swala hili mara moja. Hii itaambatana na kuangalia upya mwongozo wa utumiaji wa PPEs bila wafanyakazi kuambukizwa. Sambamba na hilo watumishi wamehimizwa kufuata mwongozo wa IPC ili kuepuka maambukizi na hivyo wasiwakatae wagonjwa wanaopewa rufaa au kuja kwenye vituo vyao.

Kikao pia kiliridhia kwamba mafunzo ya IPC lazima yaendelee kwenye kila kituo cha kutolea huduma za afya. Pamoja na hayo tulikubaliana kuwa isolation centers ziongezeke hata kwenye hospitali za binafsi (private hospitals); kwa kuanzia hospitali hizi kupitia kwa Association of Private Health Facilities in Tanzania (APHFTA) wamekubaliana kutenga isolation za level 3 (level1, 2 and 3) katika kila wilaya ya mkoa wa Dar es Salaam na baadae mikoani, kwa ajili ya kuwaweka wagonjwa.

3. Ucheleweshwaji wa majibu ya COVID-19

Wizara imekubali kuongeza vituo vitatu kati ya tisa zenye uwezo wa kupima COVID-19. Kuanzia Jumanne ya wiki ijayo ya tarehe tarehe 5 May, 2020; maabara ya NIMR Dodoma itaanza kutoa majibu, ikifuatiwa na Mwanza na Mbeya. Changamoto imekuwa ni uwepo wa wataalam wanane tu wa maabara wanaoweza kuchakata majibu ya COVID-19. Kwa hiyo Mafunzo kwa wataalam wengine yameanza na watasambazwa kwenye vituo husika.

4. Mazishi ya waliofariki

Ikitokea mgonjwa amefariki kwenye hospitali, ndugu inabidi wahusishwe iwezekanavyo chini ya uangalizi wa wataalam wa afya kutoka manispaa husika kuhusu mazishi na eneo la kuzikia. Mganga mkuu wa wilaya (DMO) husika ataarifiwe kwa msaada zaidi ikiwa ni pamoja na magari na utaratibu wa mazishi bila kupoteza muda zaidi.

5. Contact tracing

Kwa upande wa Dar es Salaam ambapo tayari kuna maambukizi mengi kwenye jamii ni changamoto kuendelea na kuwatafuata "contacts" na pia ni vigumu kuwa weka wote ‘’isolation’’. Wizara walishauri kwa hatua tuliyo nayo sasa kwa mkoa wa Dar es Salaam kama mtu anahisi kuwa na dalili za COVID-19 aende kwenye kituo husika kwa ajili ya kuchukuliwa vipimo, na kurudi nyumbani huku wakiendelea kuchukua tahadhari zote ikiwemo kuvaa Barakoa na kujitenga na wengine. Mikoa mwingine ambayo ugonjwa haujasambaa sana waendelee na utaratibu wa "contact tracing".

6. Kuweka wagonjwa wenye dalili ndogo ndogo kwenye isolations

Kuhusu hili tulijadiliana na hatukufikia muafaka. Mheshimiwa Waziri akaomba wanataaluma tujadiliane halafu tumshauri kwenye hili. Maswali yakiwa; Je ni sahihi kuwa weka wagonjwa wenye dalili ndogo ndogo kwenye isolation ambazo tayari zimejaa au tuwape ushauri halafu wajitenge nyumbani mpaka Ikitokea wana dalili za hatari?. Hii itabidi tuitolee maoni sisi kama wanataaluma

7. Upungufu wa Damu salama kipindi hiki

kumeonekana kuna upungufu mkubwa sana wa damu salama katika benki za damu hasa kwa Dar es Salaam. Wito umetolewa kwa hospitali zote kupunguza kufanya/kutoa huduma ya upasuaji usio wa dharura ili kupunguza matumizi ya damu.

8. Utafiti kwenye eneo la COVID-19

Taasisi ya taifa ya utafiti wa magonjwa ya binadamu (NIMR) tayari inaendelea na tafiti tatu juu ya COVID-19 na pia imetoa mwongozo wa utafiti kwa wakati huu wa COVID-19. Utafiti pia unahusisha dawa za miti Shamba (tiba mbadala) ikiwa ni pamoja na kujifukiza.

9. Ufafanuzi ya juu ya kauli ya waziri kuwa hakuna watumishi walioambukizwa

Mheshimiwa Waziri alisema alichomaanisha ni kuwa hakuna mtumishi anayehudumia wagonjwa kwenye isolations aliyeambukizwa. Kwa sababu labda walipewa Mafunzo zaidi ya namna ya kujikinga. Alisema anajua kuwa kuna watumishi wameambukizwa wakiwa EMD/Mapokezi na OPDs (idara ya magonjwa ya nje). Kwahiyo ameomba Mafunzo zaidi yaelekezwa kwa watumishi wote.

NB: Tunaomba maoni yenu juu ya kipengela Namba 6 hapo juu.

Nawasilisha

Dr Elisha Osati, Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT).
Serikali nzima haistahili pongezi ila lawama toka mwanzo. Haikuchukulia maanani ugonjwa huu toka mwanzo na kufunga mipaka ya abiria na kuzuia ndege toka nchi zenye korona.

Ummy alitupotosha na kusema Barakoa ni kwa ajili ya wenye virusi tu, Makonda akasema haiambukizwi kwa pumzi lol.

Wanafanya siri nani ana korona wakati ni kinyume kabisa cha matakwa yake kwa sababu lazima watu wajue korona iko wapi na nai ili kujiepusha.

Hakuna kiwanda cha Barakoa Dar kwenye kitovu cha gonjwa hili, halaf wanatulazimisha kuzivaa wakati kuna kiwanda kimoja Mbeya, kilichofunguliwa wiki iliyopita eti na CCM.

Kikubwa zaidi wanafanya Korona ni jambo la kisiasa na kuweka uchumi mbele kabla ya Afya, kijinga hawajui Afya ya watu ndiyo chanzo cha uchumi.

Serikali imeshindwa kabisa kupambana na korona na huu ni mwanzo tu, Korona itatutafuna sana kwa sababu ya uzembe wa serikali, itafika kipindi watu wataogopa kufanya kazi kabisa na uchumi kufa kabla ya uchaguzi.

Eti inasema Korona haingii kanisani, kwani kanisa ni nini? Wametuonyesha ujinga wao na jinsi wasivyofaa kuongoza nchi wakati wa majanga, rais anafikiria kodi tu za kulipa wanasiasa mishahara na kulipia ndege alizokopa kiuholela.
 
Ili tuweze kuwaamini na dunia nzima ijue
[emoji975]Wangapi walipimwa?
[emoji975]Wangapi hawana maambukizi
[emoji975]Wangapi wameambukizwa ( kimkoa na Wilaya)
[emoji975]Wangapi wamefariki?
[emoji975]Kwanini mnazika usiku?
Great Thinkers, ujumbe unaofuata unaonesha jinsi wizara ya afya ilivyojipanga kukabiliana na COVID19, kikao alichofanya na chama cha Madakitari (chini ya rais wao Dr Osati) kinatoa matumaini mapya kwa watanzania.

Mrejesho wa kikao cha wanataaluma na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

Habari za leo

Jana tarehe 27 Aprili, 2020; vyama vya kitaaluma vya afya nchini kikiwemo MAT tulikutana na timu ya Wizara ya Afya kujadiliana kuhusu mwenendo wa wa COVID-19 nchini. Kikao hiki ni matokeo ya mkutano wa vyama vyote wa tarehe 26 Aprili, 2020 kilichofanyika kupitia "zoom ". Tulijadili yafuatayo.

1. Upatikanaji wa PPEs Wizara

Mheshimiwa. Waziri Ummy Ally Mwalimu alisema tayari wameagiza mzigo wa PPEs unaotosheleza matumizi ya mwezi mzima; mzigo huo unategemewa kufika wakati wowote wiki hii. Pia wizara imepata fedha kiasi cha shilingi za kitanzania 9.6Billioni walioielekeza MSD kwa ajili ya kuagiza mzigo mwingine wa PPEs.

2. Wagonjwa kukataliwa kwenye hospitali mbalimbali

CMO na RMOs wameagizwa kushughulikia swala hili mara moja. Hii itaambatana na kuangalia upya mwongozo wa utumiaji wa PPEs bila wafanyakazi kuambukizwa. Sambamba na hilo watumishi wamehimizwa kufuata mwongozo wa IPC ili kuepuka maambukizi na hivyo wasiwakatae wagonjwa wanaopewa rufaa au kuja kwenye vituo vyao.

Kikao pia kiliridhia kwamba mafunzo ya IPC lazima yaendelee kwenye kila kituo cha kutolea huduma za afya. Pamoja na hayo tulikubaliana kuwa isolation centers ziongezeke hata kwenye hospitali za binafsi (private hospitals); kwa kuanzia hospitali hizi kupitia kwa Association of Private Health Facilities in Tanzania (APHFTA) wamekubaliana kutenga isolation za level 3 (level1, 2 and 3) katika kila wilaya ya mkoa wa Dar es Salaam na baadae mikoani, kwa ajili ya kuwaweka wagonjwa.

3. Ucheleweshwaji wa majibu ya COVID-19

Wizara imekubali kuongeza vituo vitatu kati ya tisa zenye uwezo wa kupima COVID-19. Kuanzia Jumanne ya wiki ijayo ya tarehe tarehe 5 May, 2020; maabara ya NIMR Dodoma itaanza kutoa majibu, ikifuatiwa na Mwanza na Mbeya. Changamoto imekuwa ni uwepo wa wataalam wanane tu wa maabara wanaoweza kuchakata majibu ya COVID-19. Kwa hiyo Mafunzo kwa wataalam wengine yameanza na watasambazwa kwenye vituo husika.

4. Mazishi ya waliofariki

Ikitokea mgonjwa amefariki kwenye hospitali, ndugu inabidi wahusishwe iwezekanavyo chini ya uangalizi wa wataalam wa afya kutoka manispaa husika kuhusu mazishi na eneo la kuzikia. Mganga mkuu wa wilaya (DMO) husika ataarifiwe kwa msaada zaidi ikiwa ni pamoja na magari na utaratibu wa mazishi bila kupoteza muda zaidi.

5. Contact tracing

Kwa upande wa Dar es Salaam ambapo tayari kuna maambukizi mengi kwenye jamii ni changamoto kuendelea na kuwatafuata "contacts" na pia ni vigumu kuwa weka wote ‘’isolation’’. Wizara walishauri kwa hatua tuliyo nayo sasa kwa mkoa wa Dar es Salaam kama mtu anahisi kuwa na dalili za COVID-19 aende kwenye kituo husika kwa ajili ya kuchukuliwa vipimo, na kurudi nyumbani huku wakiendelea kuchukua tahadhari zote ikiwemo kuvaa Barakoa na kujitenga na wengine. Mikoa mwingine ambayo ugonjwa haujasambaa sana waendelee na utaratibu wa "contact tracing".

6. Kuweka wagonjwa wenye dalili ndogo ndogo kwenye isolations

Kuhusu hili tulijadiliana na hatukufikia muafaka. Mheshimiwa Waziri akaomba wanataaluma tujadiliane halafu tumshauri kwenye hili. Maswali yakiwa; Je ni sahihi kuwa weka wagonjwa wenye dalili ndogo ndogo kwenye isolation ambazo tayari zimejaa au tuwape ushauri halafu wajitenge nyumbani mpaka Ikitokea wana dalili za hatari?. Hii itabidi tuitolee maoni sisi kama wanataaluma

7. Upungufu wa Damu salama kipindi hiki

kumeonekana kuna upungufu mkubwa sana wa damu salama katika benki za damu hasa kwa Dar es Salaam. Wito umetolewa kwa hospitali zote kupunguza kufanya/kutoa huduma ya upasuaji usio wa dharura ili kupunguza matumizi ya damu.

8. Utafiti kwenye eneo la COVID-19

Taasisi ya taifa ya utafiti wa magonjwa ya binadamu (NIMR) tayari inaendelea na tafiti tatu juu ya COVID-19 na pia imetoa mwongozo wa utafiti kwa wakati huu wa COVID-19. Utafiti pia unahusisha dawa za miti Shamba (tiba mbadala) ikiwa ni pamoja na kujifukiza.

9. Ufafanuzi ya juu ya kauli ya waziri kuwa hakuna watumishi walioambukizwa

Mheshimiwa Waziri alisema alichomaanisha ni kuwa hakuna mtumishi anayehudumia wagonjwa kwenye isolations aliyeambukizwa. Kwa sababu labda walipewa Mafunzo zaidi ya namna ya kujikinga. Alisema anajua kuwa kuna watumishi wameambukizwa wakiwa EMD/Mapokezi na OPDs (idara ya magonjwa ya nje). Kwahiyo ameomba Mafunzo zaidi yaelekezwa kwa watumishi wote.

NB: Tunaomba maoni yenu juu ya kipengela Namba 6 hapo juu.

Nawasilisha

Dr Elisha Osati, Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini tusikae kimya tu na kuwaachia matabibu waendelee na majikumu yao kama wanavyotibu cancer, HIV, TB, Malaria nk,? Ukinijibu basi najiondoa JF
Ndukidi hayo mambo ya kupanikishana tuachane nayo, tuweke mikakati ya mass testing ila hakuna mambo ya kutoa taarifa, kwa sababu hatuna briefing ya HIV au Kisukari so why iwe COVID19???? Kwanini tukopy kila kitu?

Je kuna umuhimu wa kutaja maambukizi ya malaria? Cancer??? Au kuna umuhimu wa kutaja vifo vya malaria??? Nadhani mikakati ya kujikinga ni bora zaidi. Tuungane kumpongeza Waziri Ummy kwa hatua aliyochukua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeamin watanzanua wachache Ni wajinga na wapumbavu kupita kiasi!!!!Wizara na madaktari wametoa mkakati wa kukabiliana na Corona. Jinga Fulani linakuja na kejeli zake. Kwa hiyo tubeze jitihada za Wizara tukufuate mawazo yako? Lipi jema kwenu jamani? TUWAUNGE MKONO MADAKTARI NA WIZARA. Kama ungejua shughuli ya kuuguza mgonjwa ndo ungepata picha na kuwaonea huruma watumishi HAWA. MADAKTARI NIWATIE MOYO Kuna majitu kazi yao kukosoa tuuu.Pigeni kazi
 
Sounds all good to me. Sasa maamuzi hayo yamefanywa na wataalamu wa kada ya Afya watu humu wana-panic. Kila mtu achukue tahadhari kwa kadri ya nafasi yake.
 
Back
Top Bottom