Kwa kweli kazingua sana
Huwezi kutuvalia mtisheti wako wa Brazil siku tunakabidhiwa kombe bana.
Ni kwamba ulikosa tshet maalumu inayoendana na tukio la leo au ulikosa kabisa jezi ya Yanga?
Ulitaka kuonekana tofauti? Ili iweje sasa? Nimekumind big time.
Yaani sijui hata kawaza nini jamaa. Ujuaji umemzidi leoHata mimi sikufurahia, hasa ukizangatia kuwa Gamondi ni raia wa Argentina ambao ni wapinzani wa jadi wa Brazil kimpira. Yaani alsindiwa kupata T-shirt ya Ubingwa wa mara 30?
Hatuko ulaya acha kutetea mambo ya ajabu. Ni rais wa Yanga so kwakuwa aliamua kuvaa jezi alipaswa avae ya Yanga kinyume na hapo angevaa hata suti atleast. Sasa kama rais huwezi kuvaa jezi ya timu yako inabeba ubingwa wa 30 shabiki utampanga vipi ainunue hii jezi?Ulaya ma rais wa team, wamiliki unakuta wamevaa suti wametupia skafu tu hawavai majezi n.k, tajiri wa Chelsea anaingia amekula jeans kachomekea shati tu la kawaida ila bado mnaona sawa, jamaa kavaa ya njano kisa ya Brazil imekuwa nongwa? Wabongo noma.
Hamnaga jema walimwengu Ni Bora wali nyama vitani kuliko walimwengu.....
Huwezi kutuvalia mtisheti wako wa Brazil siku tunakabidhiwa kombe bana.
Ni kwamba ulikosa tshet maalumu inayoendana na tukio la leo au ulikosa kabisa jezi ya Yanga?
Ulitaka kuonekana tofauti? Ili iweje sasa? Nimekumind big time.
Tafuta exposure mkuu, acha kukaa kimasikini na kuhangaika na vitu havina msingi kama mavazi, kitu kidogo sana ku compare na ushindi / mafanikio ya team.Hatuko ulaya acha kutetea mambo ya ajabu. Ni rais wa Yanga so kwakuwa aliamua kuvaa jezi alipaswa avae ya Yanga kinyume na hapo angevaa hata suti atleast. Sasa kama rais huwezi kuvaa jezi ya timu yako inabeba ubingwa wa 30 shabiki utampanga vipi ainunue hii jezi?
Atafutwe huyu binti isijekua kajitoa uhaiHivi dada yangu Kalpana upo kweli..?
Mbona mashabiki tumeinunua bila huyo rais kuivaa. Mashabiki hatuitaji kupangwa. Rais hata asipovaa sisi tumenunuaHatuko ulaya acha kutetea mambo ya ajabu. Ni rais wa Yanga so kwakuwa aliamua kuvaa jezi alipaswa avae ya Yanga kinyume na hapo angevaa hata suti atleast. Sasa kama rais huwezi kuvaa jezi ya timu yako inabeba ubingwa wa 30 shabiki utampanga vipi ainunue hii jezi?
Dogo ungekaa kimya tusijue kuwa hujui chochote kinachozungumzwa.Jezi inakusaidia nini?
Kikubwa anatoa burudani kwa wananchi.
Ukitaka maonesho ya kuvaa jezi nenda kwa Mangungo