KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Toa point zako tukuelewe basi binti yangu.Dogo ungekaa kimya tusijue kuwa hujui chochote kinachozungumzwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa point zako tukuelewe basi binti yangu.Dogo ungekaa kimya tusijue kuwa hujui chochote kinachozungumzwa.
Mtacheza nao kwenye kombe gani? Orlando wapo champions League au kombe la muungano?Asubirie simba icheze na Orlando pirates avae jezi zake.
Hivi nyinyi hamjawahi kucheza shirikisho?Mtacheza nao kwenye kombe gani? Orlando wapo champions League au kombe la muungano?
Hivi nyinyi hamjawahi kucheza shirikisho?tulifika fainali zamu yenu kufika
Halafu amekubali vipi....medali kwenye kamba ya kuvalia iweke nembo ya NBC original, yenye rangi nyekundu😳
Huwezi kutuvalia mtisheti wako wa Brazil siku tunakabidhiwa kombe bana.
Ni kwamba ulikosa tshet maalumu inayoendana na tukio la leo au ulikosa kabisa jezi ya Yanga?
Ulitaka kuonekana tofauti? Ili iweje sasa? Nimekumind big time.
Mtacheza muungano unionKwanza shirikisho haipo Caf waliiondoa.
Me mzima, i miss you a lot. Ukanikimbia bila kuaga. Kwema huko..?Nipo mdogo wangu..hujambo ww?
Kwema mpendwa..nilitoka kidogo nimerudi utaniona sasa...Me mzima, i miss you a lot. Ukanikimbia bila kuaga. Kwema huko..?
Afadhali nianze kunywa zangu wine, hahahKwema mpendwa..nilitoka kidogo nimerudi utaniona sasa...
Ahaaaaa 😆 😆 😆 😆Afadhali nianze kunywa zangu wine, hahah