Tetesi: Hongera Zitto Kabwe kwa ujanja, ilipangwa Upotezwe

Tetesi: Hongera Zitto Kabwe kwa ujanja, ilipangwa Upotezwe

Bangi hizi.....Hao wananchi walipoambiwa hayo maneno ni HUKUMU IPI waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo?????.......nadhani una ushaidi HUKUMU waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo hiyo ni thibitisho tosha ya kuwa walimpuuza ZITTO au kwa maana nyingne WAPINZANI NCHII HII ni wakupuuzwa
Hawakumpuuza Zitto hawakumwelewa kabisa watanzania bado ni wajinga sana ndugu yangu standard of speech is valued btn jpm and kabwela watz wa vijijin ni mzigo mkubwa katika ukombozi wa taifa mpk batsman tupitishe kura za maoni tuigawe hii inji tz iwe ni kwny majiji na miji vijijin kote taifwa lengine
 
Hawakumpuuza Zitto hawakumwelewa kabisa watanzania bado ni wajinga sana ndugu yangu standard of speech is valued btn jpm and kabwela watz wa vijijin ni mzigo mkubwa katika ukombozi wa taifa mpk batsman tupitishe kura za maoni tuigawe hii inji tz iwe ni kwny majiji na miji vijijin kote taifwa lengine
Hayo maneno uliyo tutukana watanzania YAKAWE KWAKO NA FAMILIA YAKO TU!
 
Its not ur fault I think u are among of them ndio maana unaona matusi haya
UMEZUNGUKWA NA MA ILLITERATE. .have a nice life. ..acha ni enjoy the beautiful scenery of Indian Ocean. ..THERE IS NO TIME LIKE THE PRESENT. ..WONDERFUL WORLD. ..Bye-bye
 
Back
Top Bottom