Tetesi: Hongera Zitto Kabwe kwa ujanja, ilipangwa Upotezwe

Tetesi: Hongera Zitto Kabwe kwa ujanja, ilipangwa Upotezwe

Nichukue fursa hii kumpongeza mhe Zito Z. Kabwe mbunge wa kupitia ACT wazalendo kwa kuwa mjanja kuwakwepa Polisi baada ya mkutano huko Isagehe Kahama Shinyanga. Kuna mambo machache ya kujiuliza kama sio wewe walikulenga kwa nini polisi wafanye hivi???

1. Polisi kuja na Defender nne zikiwa na polisi wakiwa wamejaa kuja eneo ulipokuwepo. Swali je kulikuwa na tukio la ujambazi??(maneno haya kayasema dereva wake)

2. Kusingizia Gari haina vibali, unajiuliza gari ilipita kote huko bila kuzuiliwa kwamba haina vibali?? Huo nao ni usanii kwa nini akamatiwe kwenye kampeni tuu na sio kuitwa aende tuu kituoni?? Kuna jambo nyuma ya pazia

3. Kuandikishwa maelezo mara mbili, mtakumbuka dereva anasema maelezo mara mbili na kesho yake kuachiliwa. Tatizo sio gari ni wewe Kabwe ulikuwa ukisakwa.

4. Polisi wanasema walipewa Taarifa kuwa gari ina vibali ambavyo sio halali swali, je leo ndio wanajua kuwa gari alilopanda Zitto lilikuwa na vibali ambavyo sio halali?? Narudia tatizo sio gari ni wewe ulikuwa ukisakwa.

Sababu mojawapo ni ukweli uliousema kwenye kampeni kuhusu kauli za Mtukufu kama "Mwafwaa" "serikali yangu haitoi chakura(alisema chakura sio chakula" ) Nikupongeze saba Zitto Kabwe nakumbuka uliwahi sema Mwaka jana kuwa Polisiccm wasiwe wanavizia kukukamata bila ya hivyo utawatoa knockout na hawataweza. Bali watumie taratibu kamili za kukuhoji na kukuita inapobidi.

Natafakari nikiwa chini ya Mnazi Mwafwaa
hahahahha angalia dafu litakudondokea
 
Bangi hizi.....Hao wananchi walipoambiwa hayo maneno ni HUKUMU IPI waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo?????.......nadhani una ushaidi HUKUMU waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo hiyo ni thibitisho tosha ya kuwa walimpuuza ZITTO au kwa maana nyingne WAPINZANI NCHII HII ni wakupuuzwa

achaguzi anasimamia yeye afu unatarajia ashindwe?!
 
Acha ujinga Zitto wamuuwe kwa kitu gani nadhani hamuijuwi serikali ila mnajuwa kubashiri ya serikali. Wakimtaka wala hawatomtafuta. Wakitaka kummaliza wala huu ubashiri hautokuwepo ila atakuwa ameshamalizwa. Acheni hii mambo. Hili taifa linamazito zaidi ya huu ujinga hapa. Take it from me.

Sina uhakika sana na ulichotaka kumaanisha, ila hiyo 'wakimtaka' 'wakitaka' waza zaidi kwa mapana, hivi nani kwa mfano 'akitaka' au 'wakitaka' hutaona reaction yoyote? Yaani nataka kukuambia kila mtu akitaka hufanya kitu au jambo ambalo huyo anaefanyiwa ataona impact fulani. Hivyo usikariri sana akitaka ya upande mmoja, waza je mwingine nae akitaka!
 
wapiga kura hawakumuadhibu sababu mlituma dola kutisha vijana na watu wavijijini niwaoga was dolakwahilo mkafanikiwa lakini kwa aliyoyasema mwami ruyagwa kwenye kampeni siosiri ukweli mnao njaa IPO ukame upo nakila alicho zungumza nikweli tupu sasa mmewatisha uchaguzi mdogo subirini 2020 tumegundua ndiomaana mkata ajira zingine mbaki mnatoa ajira za majeshi kwasababu tu yakulinda ujinga wenu lakini mwisho unakuja tumechoka na chama laghak kwa kutumia Sera eti tunajali wanyonge kumbe laghai mpaka Leo ofisi zote mnatoza pesa mpaka zahanati sasa huyo serekali yawanyonge IPO wapi muhimbili zito yupo sawa na baado atawaburuza saana huyo ndio lw
 
Zitto akalipie hiyo stika yao ya nenda kwa usalama ili waache kumsumbua.
 
Man Zitto,kijana mwenzangu nisaidie mm hako kamti kanako kusaidia kuwa na machale make huko ulicho chimba kwel ulichimba,hii n mara ya pl hawa jamaa kukuvizia lkn ukawaachia manyoya 2,hyo ndio dawa yake Lema nae angalipata hako kamt angeikimbiza sana gavalament! ik wezekana saiz tafuta ya kuwatia upofu hata wakija wasikuone macho yawaume kama wamepgwa bomu la mchoz vle! ila kuwen makn na h gavalament make iko macho na wakosoaj 2 na kutunga neno `uchochezi'
 
Si kweli, mpinzani mkubwa wa kitimoto ni huyu bibilia, bishana naye:

7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.


Marko 7:18-19 ...je hamwelewi kwamba kitu kinachomwingia mtukutoka njehakiwezi kumtia najisi, kwa maana hakimwingii mouoni, ila tumboni na baadae hutolewa nje chooni?....
 
Mwanasiasa ambaye hamuamini mungu anamganga wake Wa kienyejiiiii
 
Bangi hizi.....Hao wananchi walipoambiwa hayo maneno ni HUKUMU IPI waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo?????.......nadhani una ushaidi HUKUMU waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo hiyo ni thibitisho tosha ya kuwa walimpuuza ZITTO au kwa maana nyingne WAPINZANI NCHII HII ni wakupuuzwa
Well said
 
Nimesomaaaaaa ila sijakuelewa we lichadema!
Sasa Zito atakimbilia wapi huko US bwaba Triump amesema hawataki wakimbizi tena wa dini fulani labda aende huko anakopewa misaada ya fedha lakini yule mama nae haeleweki
 
Pongezi kwake mzee wa machale...

Bila shaka kitu alichokivaa kilibana mara baada ya Polisi kuanza kumzengea ndio maana akajikataa mapema.
Alitonywa tu unafikiri wote wanapenda haya mambo? cha ajabu mkuu ameingia Ikulu kupia CCM ambacho ni chama cha siasa chenye siasa za fitina, kejeli na matusi lakini anashindwa kuhimili maneno ya wanasiasa. Hii ni ajabu ya karne. Hivi huwa anajifikiria kuwa yeye ni tofauti na binadamu wengine?
 
Bangi hizi.....Hao wananchi walipoambiwa hayo maneno ni HUKUMU IPI waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo?????.......nadhani una ushaidi HUKUMU waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo hiyo ni thibitisho tosha ya kuwa walimpuuza ZITTO au kwa maana nyingne WAPINZANI NCHII HII ni wakupuuzwa
.TUME YA UCHAGUZI IMECHAGULIWA NA MWENYEKITI WA CCM UNATEGEMEA NN?
 
Marko 7:18-19 ...je hamwelewi kwamba kitu kinachomwingia mtukutoka njehakiwezi kumtia najisi, kwa maana hakimwingii mouoni, ila tumboni na baadae hutolewa nje chooni?....


Ni nani aliyepewa ruhusa ya kutengua taurati?

Nnakushangaa wewe unaeingiza mdomoni najisi? Nguruwe umeshaambiwa ni najisi.

Hivi mkisoma hamuelewi?
 
kama ulivyojiandika tatizo unaleta mipasho na taarabu jamii forum na kutafuta sifa za kijinga post zako nyingi unajifanya mjuaji sana uonekane jamii forum kama wewe unajua sana kuna watu zaidi yako humu mtu makini anajulikana kwa michango yake safi.


cc: mshana jr.


Ukweli ni kwaba nnajuwa mengi sana kuliko unavyofikiria.

Unataka niwe na akili za Kitanzania za kujisifu kutokujuwa?

Sikufundishwa hivyo, nilifundishwa niwe "very proud of myself".
 
Ukweli ni kwaba nnajuwa mengi sana kuliko unavyofikiria.

Unataka niwe na akili za Kitanzania za kujisifu kutokujuwa?

Sikufundishwa hivyo, nilifundishwa niwe "very proud of myself".
= kwamba

Huko shule mlienda kusomea ujinga????
Au hayo unayoyajua ni ujinga mtupu
 
Ukweli ni kwaba nnajuwa mengi sana kuliko unavyofikiria.

Unataka niwe na akili za Kitanzania za kujisifu kutokujuwa?

Sikufundishwa hivyo, nilifundishwa niwe "very proud of myself".


umefundishwa kuwa na akili za kimarekani kwamba unajua wakat hujui unajichora tu misifa camp

uwezo wako wa kutambua mambo ni finyu umebaki kuwa mtu wa kubishana na kujiongezea idadi ya post
 
Back
Top Bottom