radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
Siwajui hao wanaojiita Kenya.
kwani kuna mahali tumeongelea wanaojiita kenya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwajui hao wanaojiita Kenya.
kwani kuna mahali tumeongelea wanaojiita kenya?
Hukumu walimpa ingawa hukuiona. Kata zaid ya 8 kura za wapinzani n nyingi kuliko ccm, ingawa hawakushindaiBangi hizi.....Hao wananchi walipoambiwa hayo maneno ni HUKUMU IPI waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo?????.......nadhani una ushaidi HUKUMU waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo hiyo ni thibitisho tosha ya kuwa walimpuuza ZITTO au kwa maana nyingne WAPINZANI NCHII HII ni wakupuuzwa
Ndivyo mlivyozoea mkimtaka mtu mnamuua tuAcha ujinga Zitto wamuuwe kwa kitu gani nadhani hamuijuwi serikali ila mnajuwa kubashiri ya serikali. Wakimtaka wala hawatomtafuta. Wakitaka kummaliza wala huu ubashiri hautokuwepo ila atakuwa ameshamalizwa. Acheni hii mambo. Hili taifa linamazito zaidi ya huu ujinga hapa. Take it from me.
Bangi hizi.....Hao wananchi walipoambiwa hayo maneno ni HUKUMU IPI waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo?????.......nadhani una ushaidi HUKUMU waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo hiyo ni thibitisho tosha ya kuwa walimpuuza ZITTO au kwa maana nyingne WAPINZANI NCHII HII ni wakupuuzwa
Kajisome.
Achana naye, Hawa ni wale wanaoshabikia siasa kama Sports! On my side Hapendwi Mtu! Kama Kiongozi akiheshimu Haki Uhuru na Katiba I don't care chama chake! I was prepared to hold my nose and accept Magufuli after the Raped elections of 2015, But what this Idiot did to the Freedom and the Constitution of Tanzania, His stinking hypocrisy, Made me to extremely despise him. I can describe him with one word, USELESS!kama ulivyojiandika tatizo unaleta mipasho na taarabu jamii forum na kutafuta sifa za kijinga post zako nyingi unajifanya mjuaji sana uonekane jamii forum kama wewe unajua sana kuna watu zaidi yako humu mtu makini anajulikana kwa michango yake safi.
cc: mshana jr.
Hao sio Polisi Wema ni Polisi waasi ndani Jeshi na ni hatari sana kuwa na Polisi wa aina hiyo.Wapo Polisi baadhi wana roho nzuri na Utu wanakerwa na Ukandamizaji Demokrasia,hao ndiyo huwapigia Simu wanasiasa juu ya mbinu za kuwafanyia unyama mapema ndipo husepa haraka kabla hawajafika kukamatwa.
Tatizo mna take advantage ya ujinga na umbumbu wa watanzania! Mzungu alijua waafrika ni wajinga na angeweza kututawala miaka mingi sana lakini aliona ni bora utupatie elimu ili atawale Watu wanao jitambua kuliko kutawala maamuma! Ccm Leo hii mnafurahia kupata kura za wajinga! Shame. Hakuna msomi anaweza kumchagua mgombea wa CCM.Bangi hizi.....Hao wananchi walipoambiwa hayo maneno ni HUKUMU IPI waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo?????.......nadhani una ushaidi HUKUMU waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo hiyo ni thibitisho tosha ya kuwa walimpuuza ZITTO au kwa maana nyingne WAPINZANI NCHII HII ni wakupuuzwa
Lakini Tundu Lissu anasema Zitto ni msaliti na huu ndio msimamo wa chademazito mmoja ni sawa na kina february 200
Ya Gambia na Tanzania wapi na wapi? Unalinganisha vitu visivyofanana wala kulingana. Bavicha mnahitaji ukombozi wa kifikraNa hao askari "wenye roho nzuri" ndio hatari sana kwa viongozi wakandamizaji. Huwa wakichoka na tabia hizo mbaya wanageuka kama yule CDF wa Gambia
We unafikiri wananchi wanyonge watatoa hukumu gani?Bangi hizi.....Hao wananchi walipoambiwa hayo maneno ni HUKUMU IPI waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo?????.......nadhani una ushaidi HUKUMU waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo hiyo ni thibitisho tosha ya kuwa walimpuuza ZITTO au kwa maana nyingne WAPINZANI NCHII HII ni wakupuuzwa
Ulitaka tulinganishe Tanzania na wapi? Korea kaskazini?Ya Gambia na Tanzania wapi na wapi? Unalinganisha vitu visivyofanana wala kulingana. Bavicha mnahitaji ukombozi wa kifikra
Acha ujinga Zitto wamuuwe kwa kitu gani nadhani hamuijuwi serikali ila mnajuwa kubashiri ya serikali. Wakimtaka wala hawatomtafuta. Wakitaka kummaliza wala huu ubashiri hautokuwepo ila atakuwa ameshamalizwa. Acheni hii mambo. Hili taifa linamazito zaidi ya huu ujinga hapa. Take it from me.