Tetesi: Hongera Zitto Kabwe kwa ujanja, ilipangwa Upotezwe

Tetesi: Hongera Zitto Kabwe kwa ujanja, ilipangwa Upotezwe

kwa jinsi ZZK alivopata machale ya kuwakwepa polisi,nimejikuta namkumbuka kibaka na mkabaji mmoja maarufu mitaa ya tandika magorofani mwishoni mwa miaka ya 90.alikuwa anaitwa "mchapanya".
 
wamuuwe kwa kitu gani nadhani hamuijuwi serikali ila mnajuwa kubashiri ya serikali. Wakimtaka wala hawatomtafuta. Wakitaka kummaliza wala huu ubashiri hautokuwepo ila atakuwa ameshamalizwa. Acheni hii mambo. Hili taifa linamazito zaidi ya huu ujinga hapa. Take it from me.

kwahiyo wewe ndo unaijua serikali ya URT vizuri, hongera

cc FaizaFoxy
 
Issue ya Zitto sio ya Kisiasa ni issue ya kumiliki gari isiyo na nyaraka toshelezi za Umiliki , sio kila Jambo ligeuzwe la Kisiasa
 
Nichukue fursa hii kumpongeza mhe Zito Z. Kabwe mbunge wa kupitia ACT wazalendo kwa kuwa mjanja kuwakwepa Polisi baada ya mkutano huko Isagehe Kahama Shinyanga. Kuna mambo machache ya kujiuliza kama sio wewe walikulenga kwa nini polisi wafanye hivi???

1. Polisi kuja na Defender nne zikiwa na polisi wakiwa wamejaa kuja eneo ulipokuwepo. Swali je kulikuwa na tukio la ujambazi??(maneno haya kayasema dereva wake)

2. Kusingizia Gari haina vibali, unajiuliza gari ilipita kote huko bila kuzuiliwa kwamba haina vibali?? Huo nao ni usanii kwa nini akamatiwe kwenye kampeni tuu na sio kuitwa aende tuu kituoni?? Kuna jambo nyuma ya pazia

3. Kuandikishwa maelezo mara mbili, mtakumbuka dereva anasema maelezo mara mbili na kesho yake kuachiliwa. Tatizo sio gari ni wewe Kabwe ulikuwa ukisakwa.

4. Polisi wanasema walipewa Taarifa kuwa gari ina vibali ambavyo sio halali swali, je leo ndio wanajua kuwa gari alilopanda Zitto lilikuwa na vibali ambavyo sio halali?? Narudia tatizo sio gari ni wewe ulikuwa ukisakwa.

Sababu mojawapo ni ukweli uliousema kwenye kampeni kuhusu kauli za Mtukufu kama "Mwafwaa" "serikali yangu haitoi chakura(alisema chakura sio chakula" ) Nikupongeze saba Zitto Kabwe nakumbuka uliwahi sema Mwaka jana kuwa Polisiccm wasiwe wanavizia kukukamata bila ya hivyo utawatoa knockout na hawataweza. Bali watumie taratibu kamili za kukuhoji na kukuita inapobidi.

Natafakari nikiwa chini ya Mnazi Mwafwaa

Ikiwa hizo ndiyo tafakuri za mnazi wa upinzani chini ya mnazi, sina budi kusema, upinzani hakuna Tanzania hii.

Mtu badala ya kuja na mambo mbadala, yeye anakuja kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.

Punguani wahed.
 
Hivi unatumia dola kutawala badala ya katiba!! Unatisha kila mtu unaogopa nini?? Unataka ubakie wewe na kabila lako tu!! Umeleta ukanda na ukabila ambao tunaupinga vita tangu asil ya nchi!! Mungu anaesikia vilio vya watanzania na ukandamizai huu atajibu maombi!
 
Bangi hizi.....Hao wananchi walipoambiwa hayo maneno ni HUKUMU IPI waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo?????.......nadhani una ushaidi HUKUMU waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo hiyo ni thibitisho tosha ya kuwa walimpuuza ZITTO au kwa maana nyingne WAPINZANI NCHII HII ni wakupuuzwa
Wapinzani wanamchango mkubwa sana katika nchi yeyote, unaweza ukawapuuza tu kama hujielewi, lakini mpaka sasa bidii unayo ona ikifanywa na serikali iliyopo ni jitihada muhimu inayofanywa na serikali ili isije ikakosolewa, ukumbuke ambaye hakosolewi ni Mungu tu, mwanadamu mwenye dhati na nia njema hukubali kukosolewa kwa nia ya kujenga, hiyo ndiyo kazi ya hao unaoita wapinzani
 
Mpinzani niwewe tu wa kitimoto Tz............insan.e

Si kweli, mpinzani mkubwa wa kitimoto ni huyu bibilia, bishana naye:

7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.


 
Bangi hizi.....Hao wananchi walipoambiwa hayo maneno ni HUKUMU IPI waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo?????.......nadhani una ushaidi HUKUMU waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo hiyo ni thibitisho tosha ya kuwa walimpuuza ZITTO au kwa maana nyingne WAPINZANI NCHII HII ni wakupuuzwa
Kila jambo mnaona bangi sio
 
Si kweli, mpinzani mkubwa wa kitimoto ni huyu bibilia, bishana naye:

7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.



Hivi, ni kweli mmeruhusiwa kula nguruwe mkiwa na njaa?
 
Bangi hizi.....Hao wananchi walipoambiwa hayo maneno ni HUKUMU IPI waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo?????.......nadhani una ushaidi HUKUMU waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo hiyo ni thibitisho tosha ya kuwa walimpuuza ZITTO au kwa maana nyingne WAPINZANI NCHII HII ni wakupuuzwa
Nina amini kwamba mtu akisapoti ccm akili zinaoza. Hakuna mtu anaye jitambua aweza kuichagua ccm , bali wajinga pekee.Ujinga ni utumwa. Mtu aliye zoea utumwa,hata uumpe uhuru hawezi kubali. Atataka kuendelea kuwa mtumwa.
 
Si kweli, mpinzani mkubwa wa kitimoto ni huyu bibilia, bishana naye:

7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.



Vingapi najisi unakula wewe bi mkubwa? Inapokuja suala la imani semea imani yako tu, za wengine wachie wenyewe.
 
Hivi, ni kweli mmeruhusiwa kula nguruwe mkiwa na njaa?

Safi sanaa mwanangu umeulizi kibusara kwasababu kuna mjomba jana hapa kitaa alikua anatafuna nguruwe kumuuliza vip akasema hana budi njaa imemuchalaza akaendela nakufafanua Kolani ipo kimya kipindi cha njaa......tafuna vyovyote.
 
Vingapi najisi unakula wewe bi mkubwa? Inapokuja suala la imani semea imani yako tu, za wengine wachie wenyewe.

Mungu mmoja tu, amma unamfata yeye amma unamfata shetani.

Aliyelianzisha kwa kuni beep hukumuona?

Ukinibeep nnakupigia, kumbuka hilo.
 
Acha ujinga Zitto wamuuwe kwa kitu gani nadhani hamuijuwi serikali ila mnajuwa kubashiri ya serikali. Wakimtaka wala hawatomtafuta. Wakitaka kummaliza wala huu ubashiri hautokuwepo ila atakuwa ameshamalizwa. Acheni hii mambo. Hili taifa linamazito zaidi ya huu ujinga hapa. Take it from me.
Haaaaahaaaaa eti wakiamua wanammaliza??? We unajua wamejaribu kumuua marangapi?? Dont exaggerate nguvu za usalama wa taifa...it was back then 1980s siku hizi wamejaa mtaani huku na wanatuambia misiri yote.... hao usalama wa taifa huwa wanatumika mpaka na wapinzani kutoa taarifa za siri za serikali ndo useme WAKIAMUA WANAWEZA???? by then wakiamua atakuwa ashavujishiwa siri na hao hao wanausalama... nyie wekezeni kukamata wauza unga sijui mnawaogopa nni ila kazi yenu kuwinda wapinzani mxeeuuuuuuu
 
Back
Top Bottom