mirror01
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 1,797
- 1,391
Si kweli, mpinzani mkubwa wa kitimoto ni huyu bibilia, bishana naye:
7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu
Lakina kuna mjomba wako akasema kipindi cha njaa kolani ipo silent kwenye issue yaku tafuna nguruwe kwanza ni she.he kabisa sasa mbona mnazingua....insa.ne