Tetesi: Hongera Zitto Kabwe kwa ujanja, ilipangwa Upotezwe

Tetesi: Hongera Zitto Kabwe kwa ujanja, ilipangwa Upotezwe

= kwamba

Huko shule mlienda kusomea ujinga????
Au hayo unayoyajua ni ujinga mtupu


mkuu muonee huruma bibi tatizo anafanya mambo kwa mazoea ana akili za kimarekani si za kitanzania
 
Bangi hizi.....Hao wananchi walipoambiwa hayo maneno ni HUKUMU IPI waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo?????.......nadhani una ushaidi HUKUMU waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo hiyo ni thibitisho tosha ya kuwa walimpuuza ZITTO au kwa maana nyingne WAPINZANI NCHII HII ni wakupuuzwa
Foolishness at work! Kwani alipita bila kupingwa?
 
Bangi hizi.....Hao wananchi walipoambiwa hayo maneno ni HUKUMU IPI waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo?????.......nadhani una ushaidi HUKUMU waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo hiyo ni thibitisho tosha ya kuwa walimpuuza ZITTO au kwa maana nyingne WAPINZANI NCHII HII ni wakupuuzwa

Tanzania huwa kuna free and fair election??
 
Wananchi wapi? Wananchi wa gani walitoa hukumu? Yaani uchakachuaji uliogubikwa na ubabe wa polisi pamoja na Rushwa unaita ni ni hukumu ya wananchi? Yaani wananchi wameshiriki kuiba kura?

Wananchi na wapinzani wote huwa ni wehu wanaingia kwenye chaguzi isiyo kuwa huru

Sijui hao mazombi wa bongo watafufuka lini
 
Kwetu huku gunia la mahindi 120,000 huko kwenu vipi?
 
Acha ujinga Zitto wamuuwe kwa kitu gani nadhani hamuijuwi serikali ila mnajuwa kubashiri ya serikali. Wakimtaka wala hawatomtafuta. Wakitaka kummaliza wala huu ubashiri hautokuwepo ila atakuwa ameshamalizwa. Acheni hii mambo. Hili taifa linamazito zaidi ya huu ujinga hapa. Take it from me.
Acha ujinga Zitto wamuuwe kwa kitu gani nadhani hamuijuwi serikali ila mnajuwa kubashiri ya serikali. Wakimtaka wala hawatomtafuta. Wakitaka kummaliza wala huu ubashiri hautokuwepo ila atakuwa ameshamalizwa. Acheni hii mambo. Hili taifa linamazito zaidi ya huu ujinga hapa. Take it from me.
Mjinga kweli wewe kiazi.
Ben saanane walimuua Kwa Sababu zipi?
Unajua siyo kila mtu ni mjinga Kama wewe, Kwa Zitto mmechemka Sana, hawajaanza leo kumfuata hao usalama ili wamkamate ila kila wakienda kwake wanakuta bwawa au hakuna nyumba kabisa...
Lema hadi sasa hajasomewa mashtaka yoyote na Siri za kumuua zilivuja.
Mlimuua Mawazo kikatili kabisa nyie watu ni wauaji hatari Sana.
Nchi imewashinda miaka 50 yote mmebaki kuua wapinzani na kuwafunga tu.
Zitto amewashtukia wauaji hatari kabisa nyie ndo maana Akaamua kutoroka, halafu unakuja hapa kutetea ubwege nyambafu wewe.
 
Ni nani aliyepewa ruhusa ya kutengua taurati?

Nnakushangaa wewe unaeingiza mdomoni najisi? Nguruwe umeshaambiwa ni najisi.

Hivi mkisoma hamuelewi?
Si vema kubishana hata kwa kilicho dhahiri...kwa kuzingatia werevu wako...
 
CCM hatuhusiki na issue za zitto hivyo msiunganishe matukio
 
Bangi hizi.....Hao wananchi walipoambiwa hayo maneno ni HUKUMU IPI waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo?????.......nadhani una ushaidi HUKUMU waliompa MAGUFULI kupitia hizi chaguzi ndogo hiyo ni thibitisho tosha ya kuwa walimpuuza ZITTO au kwa maana nyingne WAPINZANI NCHII HII ni wakupuuzwa
walitetea kata zao but chadema walitetea kata yao moja.kwa wenye akili wanajua kilichotokea ndo maama DC uyui kajiuzuru.
 
mwanasiasa anayetokea mwisho wa reli, mwisho wa reli kuna mengi pia, jumlisha na ziwa Tanganyka
 
Hao sio Polisi Wema ni Polisi waasi ndani Jeshi na ni hatari sana kuwa na Polisi wa aina hiyo.

Na adhabu yao huwa ni kifo kwa baadhi ya nchi kwa kutoa siri za Jeshi kwa mhusika na mission kutotekelezeka.
Hao Polisi waliomtonya Zito Kuwa Yule Mshenzi mpenda sifa alitaka Kumdhuru Mungu awabariki, Mimi Mshenzi atume watu Kuja Kuniua Nikijua Njama hiyo, Nitawalipa Mara Tano zaidi Wamnyanyue yeye kwa Upendo tu. Ni wajibu wa Kila mwanadamu hasa mwenye familia Kueliminate Dangerous Elements zinazotaka Kuwadhuru, Ndio Maana hata Wanyama Wengine Mungu akawapa hata Sumu Kujilinda. Wewe Unafikiri Wanyama Kama Nyoka, Nnge, Buibui etc sumu walijiumbia wao? No ni ya Kujilinda. Waafrika amkeni Katika Usingizi. Njia Pekee ya Kuzuia Wizi wa Kura ni Kumjulisha Loud and Clear Kuwa Ukipokonya Madaraka hasa ya Urais Labda tu Shetani waje Kutoka Kuzimu Kukulinda hautakuwa salama. Na hata wanaoshinda Kihalali wakipuuza Katiba na Utawala Wa sheria Kama anavyofanya Mpuuzi ambaye Mnamjua, Basi ahakikishiwe hatakuwa salama, Na hila zote anazojizungushia ati ili ashinde Uchaguzi Ujao, Ziwe hazina kazi kwani asipoheshimu Katiba na Utawala wa Sheria hana haki ya kuuona au Kushiriki Uchaguzi Unaokuja!

And that is not Too Much to ask, actually it is his responsibility To Defend freedom, Constitution and the Rule of Law. Hili halihitaji Gharama Yoyote, akishindwa Kujenga hospitali atasamehewa, akishidwa elimu Bure atasamehewa Lakini kushindwa Kutii haki za Wengine, na Kushindwa Kuheshimu Katiba iliyomwapisha! He need to change or be Potezwade!
 
Ya Gambia na Tanzania wapi na wapi? Unalinganisha vitu visivyofanana wala kulingana. Bavicha mnahitaji ukombozi wa kifikra
Subiri Tu, Super Volcano Ikilipuka hakuna msalia Mtume, Iko siku Washenzi wa CCM ( Sio CCM wote ni Wabaya) mtakuja Kujuta!
 
Pongezi kwake mzee wa machale...

Bila shaka kitu alichokivaa kilibana mara baada ya Polisi kuanza kumzengea ndio maana akajikataa mapema.
Acha kufikiria kwa kutumia mata..o hivi ww police kuja kumkamata kiongozi wa siasa mbele ya wananchi/wafuasi wake ni kupanga kumpoteza,acheni uzushi na uchochezi ...Mnaboa[emoji57] [emoji57]
 
Wapo Polisi baadhi wana roho nzuri na Utu wanakerwa na Ukandamizaji Demokrasia,hao ndiyo huwapigia Simu wanasiasa juu ya mbinu za kuwafanyia unyama mapema ndipo husepa haraka kabla hawajafika kukamatwa.
True fact
 
Achana naye, Hawa ni wale wanaoshabikia siasa kama Sports! On my side Hapendwi Mtu! Kama Kiongozi akiheshimu Haki Uhuru na Katiba I don't care chama chake! I was prepared to hold my nose and accept Magufuli after the Raped elections of 2015, But what this Idiot did to the Freedom and the Constitution of Tanzania, His stinking hypocrisy, Made me to extremely despise him. I can describe him with one word, USELESS!
Ha ha patamu hapo ungeendelea kumpenda tuu dikteta wenu
 
Acha kufikiria kwa kutumia mata..o hivi ww police kuja kumkamata kiongozi wa siasa mbele ya wananchi/wafuasi wake ni kupanga kumpoteza,acheni uzushi na uchochezi ...Mnaboa[emoji57] [emoji57]

Kumkamata For what? Mbona kule Pemba hawakumkamata Yule Mwendawazimu aliyeropoka maneno ya Uchochezi from A to Z na kutaka Wezi wapewe Tuzo. Wewe na Yeye ndio Mnaboa! Tena sana kwa unafiki wenu!
 
Hao Polisi waliomtonya Zito Kuwa Yule Mshenzi mpenda sifa alitaka Kumdhuru Mungu awabariki, Mimi Mshenzi atume watu Kuja Kuniua Nikijua Njama hiyo, Nitawalipa Mara Tano zaidi Wamnyanyue yeye kwa Upendo tu. Ni wajibu wa Kila mwanadamu hasa mwenye familia Kueliminate Dangerous Elements zinazotaka Kuwadhuru, Ndio Maana hata Wanyama Wengine Mungu akawapa hata Sumu Kujilinda. Wewe Unafikiri Wanyama Kama Nyoka, Nnge, Buibui etc sumu walijiumbia wao? No ni ya Kujilinda. Waafrika amkeni Katika Usingizi. Njia Pekee ya Kuzuia Wizi wa Kura ni Kumjulisha Loud and Clear Kuwa Ukipokonya Madaraka hasa ya Urais Labda tu Shetani waje Kutoka Kuzimu Kukulinda hautakuwa salama. Na hata wanaoshinda Kihalali wakipuuza Katiba na Utawala Wa sheria Kama anavyofanya Mpuuzi ambaye Mnamjua, Basi ahakikishiwe hatakuwa salama, Na hila zote anazojizungushia ati ili ashinde Uchaguzi Ujao, Ziwe hazina kazi kwani asipoheshimu Katiba na Utawala wa Sheria hana haki ya kuuona au Kushiriki Uchaguzi Unaokuja!

And that is not Too Much to ask, actually it is his responsibility To Defend freedom, Constitution and the Rule of Law. Hili halihitaji Gharama Yoyote, akishindwa Kujenga hospitali atasamehewa, akishidwa elimu Bure atasamehewa Lakini kushindwa Kutii haki za Wengine, na Kushindwa Kuheshimu Katiba iliyomwapisha! He need to change or be Potezwade!
Askari aliyekula kiapo cha utii na Akafanya jambo nje ya kiapo ... Akatoa siri za Jeshi kwa adui na mission ikawa incomplete huyo ni msaliti ndani ya Jeshi.Na baadhi ya nchi adhabu yao kifo bila kuchelewa.

Hakuna mjadala wala siasa ndani ya Ulinzi Dola.
 
Askari aliyekula kiapo cha utii na Akafanya jambo nje ya kiapo ... Akatoa siri za Jeshi kwa adui na mission ikawa incomplete huyo ni msaliti ndani ya Jeshi.Na baadhi ya nchi adhabu yao kifo bila kuchelewa.

Hakuna mjadala wala siasa ndani ya Ulinzi Dola.

Angalia Unafiki Ulivyo Huyo Ni askari sawa, Unasemaje Kuhusu Rais aliyeapa Kwa Katiba na Akaikanyaga, si Na yeye adhabu yake iwe ni kifo bila Kuchelewa tena kwa Mkono wa Mwananchi Maana kakuna namna! Au kwa Kuwa Yeye ni Nyani haoni Kundule
 
Back
Top Bottom