Hongera Zitto kwa kufunga ndoa

Kafunga na yupi jamani maana hata huo uso hamkutuonesha. Au ni yule alimaliza faiza niinii?? Akatagagaa??
 
Mbunge wa mjini leo akmjinamefunga ndoa na mchumba wake Hongera dogo naona sasa atatuliza akili na kuacha kumuattack personMagufuli Magufuli. W mke wa zitto mtulize zitto asiwe ana bwa bwaja hovyo kumnanga rais wetu JPM.
 
Mkuu haraka ya nini kutuma thread? Tulia kwanza. Angalia ulivyoandika! Au ndo mwendo kasi nini?
 
Kaa chini andika vizur na uandike vitu vieleweke!! Neno edit lifanye kaz yake!! Kaa unaamka vile!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…