Hongera Zitto kwa kufunga ndoa

Hongera Zitto kwa kufunga ndoa

Mbona hajamwarika phd au ndio alihic atakosoa kwenye swala la kubana matumizi
 
hongera kwake ingawa imekuwa ghafla mno na siri pia najua atapunguza kumatack mh. JPM kwa sasa
 
Zitto Kabwe kafunga ndoa leo huko Visiwani Zanzibari.
68b0b7fe5e830a89fae6445aad93d1c4.jpg
 
Au ndio kongamano la kiana kuwakwepa polisi,ok safi mzee kuacha ukapera!
 
Back
Top Bottom