Hii mbona sio ya tendo husika.. Labda kwa fashooon...
kamanda zitto huwa hataki makuu....kaoa mtoto bomba sana.safi saana mkuu, naona hii ni kimya kimya
Mbona kanuna hata hatabasamuZitto Kabwe kafunga ndoa leo huko Visiwani Zanzibari.
yuko vizuri sana....umeona eeh?Mke anafanana na DJ Fetty
Kwa muonekano wa hiyo picha ni kama ya kiserikali. Waliohudhuria au wanaojua zaidi watatueleza.Ya kidini au kiserikali lete habari kamiri
Hahahah kama wewe katika avatar yakoBibi harusi mzuri
Mtoa mada naona alikuwa anawahi harusiniKwa muonekano wa hiyo picha ni kama ya kiserikali. Waliohudhuria au wanaojua zaidi watatueleza.