Hongereni 'Mortuary Attendant' wa Tanzania, ila usiombe Nduguyo afie India halafu uje uipokee Maiti yake waliyoiandaa Wao huko

Thamani yako kwao ni ukiwa hai, maana unawapa hela.. Ukishakufa huna faida wala thamani tena kwao
 
vipi kutibiwa huko treatment inakuaje au ndio kukatana vidole na kuingiziana vidole matakoni
 
miezi ilyopita nilifiwa na bibi kwa kuwa mtoto wa kiume nilipeka mpaka mwochwari mda ulikuwa usiku.
Aisee nyie acheni kule .hawa watu wanavumilia mengi yani nilivoingiza kwenye friji,maiti zilizopo pembeni za kila aina na harufu fulani ambayo naikuta sana mabuchani mpaka nilishindwa kula nyama.
 
[emoji2][emoji2][emoji2] Kumbe mnachagua uzi wa kuomba picha,, mwambieni mwamba atume tu picha maana kuna wadau watasem bila picha uzi ni batili
Tunaogopa maiti zenu!,[emoji1787][emoji1787]
 
Mimi nimekuelelwa bwana Mino
 
Maelezo marefu kiini cha ulalamishi hakuna wejamaa vipi? Dish liko upande upi? Ili turekebishe.
 
Pole sana popoma
 
Umeandika nini sijui unajua wewe mwenyewe.
 
Mkuu niko hapa kwa andishi hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…