Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
hongera saaaaana diamond
Hahhhhhaaaaa wachawi mmeanza kumkubali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hongera saaaaana diamond
Sasa privacy halafu wanasambaza mitandaoni
Hahhhhhaaaaa wachawi mmeanza kumkubali
Therefore????
mdogo mdogo mtaelewaHukawii kuambiwa kuwa wanatengeneza tangazo(au Project). Maana hiyo couple kwa mashauzi haijambo
Hahhhhhaaaaa wachawi mmeanza kumkubali
mkuu unatakiwa kuelewa penye kusifia nasifia na penye kukosoa nakosa. usiogope mkuu uwe na amani.K.4 REAL
Wewe nawe mfyuu zako shoga yangu.Hata kama hatumkubali ubuyu ni ubuyu tuu tutamdiscuss kwa tani yetuuu
Safi sana lukelo sakafu.Nashangaa watu wanavyoona ajabu wewe kumsifia Diamond.Ndio wajue kua Kiba fans hatuna roho mbaya,chuki wala unafiki.
Ni mara ngapi mimi na Ms.Lincoln tunaisifia hii couple?Kutokumkubali Diamond kimziki sio kwamba tunamchukia la...ila tunamkubali King Kiba zaidi.
Hui ni mziki tu mwisho wa siku tunajumuika kama kawaida.
~Hii ni kwa wote wanaojenga chuki kisa tofauti zetu baina ya Kiba na Diamond.
safi sana lukelo sakafu.nashangaa watu wanavyoona ajabu wewe kumsifia diamond.ndio wajue kua kiba fans hatuna roho mbaya,chuki wala unafiki.
Ni mara ngapi mimi na ms.lincoln tunaisifia hii couple?kutokumkubali diamond kimziki sio kwamba tunamchukia la...ila tunamkubali king kiba zaidi.
Hui ni mziki tu mwisho wa siku tunajumuika kama kawaida.
~hii ni kwa wote wanaojenga chuki kisa tofauti zetu baina ya kiba na diamond.
Dai naye sasa hapo si amepoteza maana nzima ya privacy! Kweli mtoto wa tandale hawezi kuficha siri.By the way pole yake Wema sepetu.
pamoja mkuu huu unaitwa uungwana kuna ishu kama hizi lazima umpongeze mtani na jirani yako. Hongera sana zari na mond