Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndoa imefungwa kwa dini gani sheria za kiisla huwezi kufunga ndoa mtu akiwa mjamzito hata talaka haiswihi hata mume akifa hukai eda msitake kutudanganya labda afunge kanisani au kwa mkuu wa wilaya kiislam big no
Hivi udaku special na jf ni mtu mmoja au yaan kila nachokikuta jf na udaku blog nakikuta kama kilivyo ?ni ndugu
Sasa privacy halafu wanasambaza mitandaoni
mkuu unatakiwa kuelewa penye kusifia nasifia na penye kukosoa nakosa. usiogope mkuu uwe na amani.K.4 REAL
Achana nae mbea huyo
I hope this is a movie, video shoot au a prank. Cause kama ni kweli aise dangote umeniangusha, she is beautiful yes but trust me that woman is so smart, atakudrain financially. Kama mkizaa mtoto, hivi inamaana zari atahamia dar? Au atakaa na mtoto we unaenda mcheki UG. Pili diamond uko cjui 26, I doubt kama huyo ndio umefika. Hvi umewaza wat will happen kama mka separate, akapewa custody ya mtoto, kila mwezi utoe 2000$ za child support.