Hongereni sana, Diamond and Zari

Hongereni sana, Diamond and Zari

Hii ndoa imefungwa kwa dini gani sheria za kiisla huwezi kufunga ndoa mtu akiwa mjamzito hata talaka haiswihi hata mume akifa hukai eda msitake kutudanganya labda afunge kanisani au kwa mkuu wa wilaya kiislam big no

sheria mpya hzo au?
labda ungesema sababu ya mavazi ya diamond si vazi mashuhuri kwa ndoa ya kiislam baasi.
mwanamke akiwa mjamzito anakaa eda na eda yake itaisha pale anapojifungua.
talaka anapewa vizur tu. sema talaka haiswihi kwa mwanamke akiwa katika siku zake baasi.

wacha niandelee zangu na hii movie
 
Hivi udaku special na jf ni mtu mmoja au yaan kila nachokikuta jf na udaku blog nakikuta kama kilivyo ?ni ndugu

Udaku specially ni member wa jf anacopy na kupaste bila kuacknowlgde.yan story za humu anazitungia habari.Mvivuuuu kama nini sijui basi awe anasema habari alipotoa ndio ustaarab
 
Sizani kama ni kweli, huyo bwana Ndomo atakuja angukia PUA. Ngoja tuone mwisho wake
 
[Joe Thomas-Chorus]
Ma I'm curious (yea)
I wonder if I can make you mine
Baby I'm curious (so curious)
I wonder if we can spend some time
Shorty I'm curious (whoa)
Girl I wanna know wat's on your mind
Baby I'm curious (so curious)
I wonder if I can make you mine

[Tony Yayo ,G-Unit]
Ma I'm curious to know if I lick that spot
Will it make your body shiver and your panties drop?
Ya baby father is a lame, he a dead beat dad
So you and your kids can come cruise in my Jag
You my boo like Usher and Alicia Keys
And every time that you touch me girl you please my needs
We like George and Weezy, Jada and Will
Lets shop till we drop out in Beverly Hills
I'm curious to know if you want me girl
If so ma lets fly the country girl
I'm not sellin you a dream girl I'll give you the world
You want them furs and the minks and them diamond pearls

TONY YAYO LYRICS - Curious
 
Kuna habari kwamba mrembo ni mja mzito, kama ni kweli hongera zenu nyingi sana.

 
Last edited by a moderator:
diamond kama michael jakcson anaonekana ana bahati lakini....
 
Diamond alipokuwa na wema alikuwa anauza nae sura tu n a ku-make headlines kwenye medias: akiulizwa anasema hana mpango wa ku-marry. yaani huyu wa sasa hajakaa naye miezi miwili.- Ndoa tayari

ndoa yingine za kipekee ni ile ya Dr.mengi na Kylin. aliyeimba wimbo :nikipata wangu nitajua nguo gani nimpe avae... nikipata wangu...sitaki mwingine acheke naye ha ha ha , Nikiutafakari huu wimbo..Mh!!
anyway Muda utatuambia.
 
Diamond anaweza kuchezea akili za wabongo hasa watoto wa kike, sio ndio hiyo. anavyopenda sifa hawezi oa kimya kimya tena kipindi ambacho mamake anaumwa
 
eti humu ni greater thinkers?? diamond endelea kucheza na akili zao
 
hata Prince Charles alioa mke wa mtu ambaye ndie anaishi nae hadi leo na malkia kakubali...alimuacha mkewe marehemu Diana aliyemkuta bikira na kumzalia watoto wawili. ila mapenzi yakawa kuleeee kwingine
 
I hope this is a movie, video shoot au a prank. Cause kama ni kweli aise dangote umeniangusha, she is beautiful yes but trust me that woman is so smart, atakudrain financially. Kama mkizaa mtoto, hivi inamaana zari atahamia dar? Au atakaa na mtoto we unaenda mcheki UG. Pili diamond uko cjui 26, I doubt kama huyo ndio umefika. Hvi umewaza wat will happen kama mka separate, akapewa custody ya mtoto, kila mwezi utoe 2000$ za child support.


getwell well soon, pack vitu vyako ujisalimishe milembe
 
Back
Top Bottom