Hongereni sana GSM Yanga SC kwa kuamua kuwapokea Mbeya City FC

Hongereni sana GSM Yanga SC kwa kuamua kuwapokea Mbeya City FC

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Mchezaji (Mshambuliaji) Paul Nonga (Mwalimu Kitaaluma) na mwana Yanga SC Kindakindaki ambaye uliifunga Simba SC Mbeya hadi Kushangilia kwa Kuizunguka Mbeya yote hongera mno kwa kuwa Mratibu Mkuu wa Kuchukua Pesa za GSM Yanga SC na kuwapa Wachezaji wenzako wa Mbeya City FC ili Jumamosi mlegeze na Washinde.

Halafu TFF, Serikali (hasa Wizara husika ya Michezo) BMT na Watu wa TAKUKURU hongereni sana kwa Kuuchekea huu Upuuzi unaofanywa wa Rushwa za waziwazi (Match Fixing) ambayo nina uhakika wa 100% kuwa mnaijua ila mnainyamazia kwakuwa 85% mpo katika payroll ya GSM.

Paul Nonga (Mshambuliaji Mwandamizi) wa Mbeya City FC nisalimie mno Mkeo (Shemeji) yangu Jacklyn Marandu kama bado hamjatemana (hamjaachana) ambaye ni nae ni mwana Yanga SC lia lia Mwenzako mwambie Masela wa Magomeni Mwembechai Jirani na kwa Hayati Sheikh Yahaya Hussein tunamsalimia na ukiweza ukimaliza Kuwalegezea Yanga SC Jumamosi kabla hujarejea Mbeya pitia hapa (pale) tukupe Zawadi zake kadhaa ukampelekee.

Ila nawashauri Wachezaji wa Mbeya City FC tafadhali hiyo Hoteli ya Kifahari mliyopangiwa na Yanga SC ni ya Kimataifa hivyo chonde chonde hakikisheni huko Vyooni mnakuacha kama mlivyokukuta halafu hayo Maparachichi yenu mljyotoka nayo Mbeya msije mkasahau mkiyala na Kushiba mkaanza Kuyapakazia katika hizo Kuta za Vyumba na Vioo.

Hizo Tv Screen zilizopo Ukutani tafadhali msije mkazinyofoa na Kuondoka nazo halafu hizo Feni za Pangaboi ni za Kuwapepeeni tu mkishashiba na Kuvimbiwa hayo Maparachichi yenu mliyokuja nayo kutoka Mbeya na si za Kubembea kwani kwa mlivyokomaa kwa kula Viazi Mbatata mtazivunja na mtadaiwa.

TFF kama vipi wapeni tu Yanga SC Kombe.
 
Mchezaji (Mshambuliaji) Paul Nonga (Mwalimu Kitaaluma) na mwana Yanga SC Kindakindaki ambaye uliifunga Simba SC Mbeya hadi Kushangilia kwa Kuizunguka Mbeya yote hongera mno kwa kuwa Mratibu Mkuu wa Kuchukua Pesa za GSM Yanga SC na kuwapa Wachezaji wenzako wa Mbeya City FC ili Jumamosi mlegeze na Washinde...
Acha uongo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Jamaa anafanya mashabiki wote wa mnyama tuonekane mburura kwa sababu yake Kila kitu anajua yy na kila taarifa nyeti anayo yy. Mzee tukomae na timu yetu ya ngoswe hayo waachie wenyewe wakiroga nasi turoge, wakitoa mrungura nasi tutoe, wakicheza pasi nasi tucheze pasi, wakifunga nasi tufunge almradi kila mtu apambane kivyake kushinda mechi zake.

Hizi nyuzi zako za GSM kila wakati ni kutujazia server za JF tu na kuwapa promo ya bure hao jamaa. Unakuwa kama yule mzee mswahili kwenye jukwaa la historia kazi kulialia kila wakati
 
Jamaa anafanya mashabiki wote wa mnyama tuonekane mburura kwa sababu yake Kila kitu anajua yy na kila taarifa nyeti anayo yy. Mzee tukomae na timu yetu ya ngoswe hayo waachie wenyewe wakiroga nasi turoge...
Nilipoanzisha huu Uzi kuna mahala popote labda umeona nimekuita? Pumbavu.

Kila siku tu Kazi yenu ni Kuihusisha hii ID na Uandishi wangu na huyo Basha wenu mtadhani ni kweli vile.

Eti Mimi wana Simba SC mnanishangaa na kuwafanyeni Wote muonekane Mburula mbona hamumshangai Ismail Aden Rage pale alipotuita wana Simba SC wote ( nawe ukiwemo ) kuwa ni Mambumbumbu?

Mnafiki mkubwa Wewe hebu nitokee hapa.

Cc: Inside10
 
Huyu mbwiga ni GENTA katika ID Mpya, kavimbiwa mbatata na kamongo toka kwao. Mpuuzeni tu huyu.
Kila ID hapa ni ya GENTA yawezekana huyu Jamaa Kawakanyageni Kibaiolojia wengi wenu sana hapa ndiyo maana Kutwa tu mnamshobokea na Kumtajataja tu.
 
Back
Top Bottom