Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiye mleta Uzi?@Moderator
Kama hawatamjengea sanamu ntasikitika sana...Ukiona mtu anaanza kuanzisha umbea umbea ujue huyo tayari amefail, pambaneni na kutengeneza timu yenu. Achana na ujinga ujinga kama huu, mprove Rage kuwa alikosea kuwaita mbumbumbu, ila Kwa andiko lako Rage ajengewe mnara Msimbazi
Mzee Rage Aliwaita MbumbumbuMashabiki wa simba mnatakiwa mkapimwe akili shenzi kabisa
Yani hata sijaelewaMchezaji (Mshambuliaji) Paul Nonga (Mwalimu Kitaaluma) na mwana Yanga SC Kindakindaki ambaye uliifunga Simba SC Mbeya hadi Kushangilia kwa Kuizunguka Mbeya yote hongera mno kwa kuwa Mratibu Mkuu wa Kuchukua Pesa za GSM Yanga SC na kuwapa Wachezaji wenzako wa Mbeya City FC ili Jumamosi mlegeze na Washinde...
Mightier ( alias ) Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person. Una lingine?
Ulitaka nimtaje Mkeo mwenye Sura mbaya na Kichwa kibaya kama Banda la Chips Tandale?
...
HakikaKama hawatamjengea sanamu ntasikitika sana...
Umbwakoko wewe. Huna lolote. NyokozakoWewe ungekuwa siyo Rais wa Wapumbavu wote walioko duniani ungeandika hivi kwa herufi Kubwa Sentensi nzima? Unajua maana ya Kuandika kwa herufi Kubwa tupu? Ulisoma kweli Communication Skills Wewe Shuleni au Chuoni na Ukalielewa? Mwendawazimu mkubwa Wewe.
Unakumbushwa tu kwamba, mmepigwa gap la Point 10, na leo baadae itakuwa Point 12 kwa sababu moja TU: Makolo yamepoteza points nyingi!!Mchezaji (Mshambuliaji) Paul Nonga (Mwalimu Kitaaluma) na mwana Yanga SC Kindakindaki ambaye uliifunga Simba SC Mbeya hadi Kushangilia kwa Kuizunguka Mbeya yote hongera mno kwa kuwa Mratibu Mkuu wa Kuchukua Pesa za GSM Yanga SC na kuwapa Wachezaji wenzako wa Mbeya City FC ili Jumamosi mlegeze na Washinde.