Hongereni sana GSM Yanga SC kwa kuamua kuwapokea Mbeya City FC

Hongereni sana GSM Yanga SC kwa kuamua kuwapokea Mbeya City FC

Ndio maana wakienda kimataifa wanatolewa round ya kwanza! UtopoloBatch of Idiots
 
Mightier sio wa kumchukulia kiwepesi.. anahoja za msingi sana na isitoshe jamaa ana vyanzo vingi vya taarifa.. na boss wa utoh hii ni tabia yake anahonga timu kama vile anahonga madem kwenye club za pombe..
 
Mchezaji (Mshambuliaji) Paul Nonga (Mwalimu Kitaaluma) na mwana Yanga SC Kindakindaki ambaye uliifunga Simba SC Mbeya hadi Kushangilia kwa Kuizunguka Mbeya yote hongera mno kwa kuwa Mratibu Mkuu wa Kuchukua Pesa za GSM Yanga SC na kuwapa Wachezaji wenzako wa Mbeya City FC ili Jumamosi mlegeze na Washinde...
Yani hata sijaelewa
 
Mightier ( alias ) Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person. Una lingine?

Oy mbona kama hu mwandiko naujua[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]


#ukijibukamawamamaakonakutajanajinalako
 
Ulitaka nimtaje Mkeo mwenye Sura mbaya na Kichwa kibaya kama Banda la Chips Tandale?
...

Aaaaaah basi tumeshakujua[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] yan tushakujua mdaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] haya loginn la ile yako nyingine
 
Wewe ungekuwa siyo Rais wa Wapumbavu wote walioko duniani ungeandika hivi kwa herufi Kubwa Sentensi nzima? Unajua maana ya Kuandika kwa herufi Kubwa tupu? Ulisoma kweli Communication Skills Wewe Shuleni au Chuoni na Ukalielewa? Mwendawazimu mkubwa Wewe.
Umbwakoko wewe. Huna lolote. Nyokozako
 
Inakuwaje Moderators mnaacha Machizi na Mambumbumbu yanaleta nyuzi za kisengesenge humu?
 
Mchezaji (Mshambuliaji) Paul Nonga (Mwalimu Kitaaluma) na mwana Yanga SC Kindakindaki ambaye uliifunga Simba SC Mbeya hadi Kushangilia kwa Kuizunguka Mbeya yote hongera mno kwa kuwa Mratibu Mkuu wa Kuchukua Pesa za GSM Yanga SC na kuwapa Wachezaji wenzako wa Mbeya City FC ili Jumamosi mlegeze na Washinde.
Unakumbushwa tu kwamba, mmepigwa gap la Point 10, na leo baadae itakuwa Point 12 kwa sababu moja TU: Makolo yamepoteza points nyingi!!

Hata tuhonge timu zote with exception of Kolos, bado hatuwezi kuongoza hata kwa Point ikiwa mtagoma kupigwa na kutoa draw!! Kumbe basi, solution pekee ya kupunguza maumivu yenu ni nyinyi kushinda.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huu uzi [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mkuu Ukiona Unaanza Kuwa Na Mawazo Ya Young Africans Anatoa Hela Ili Ashinde Mechi Zake Jitafakari Vyema Kwanini Misimu Minne Yote Mliweza Kuchukua Ubingwa Ila Huu Unaangaika Kutetea Ubingwa.
 
Hivi mpira unatesa hivi?Sawa tunapokea pongezi zako🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom