Hongereni sana Law School of Tanzania kwa kulinda ubora wa fani ya sheria hapa Nchini

Haha nimekukamata vizuri popoma wewe.

Narudia tena kukusahihisha; Law school inatoa mawakili sio wanasheria.

Mwanasheria na wakili ni watu wawili tofauti kabisa ila layman kama wewe hawezi kuelewa kamwe.
 
Kwahiyo unaweza kutoka veta ukaenda kuomba uwakili kwa Jaji mkuu?

Hivi Ccm uko huwa wanawaingiza nini kwenye ubongo?
 
Haha nimekukamata vizuri popoma wewe.

Narudia tena kukusahihisha; Law school inatoa mawakili sio wanasheria.

Mwanasheria na wakili ni watu wawili tofauti kabisa ila layman kama wewe hawezi kuelewa kamwe.
Hiyo ni taaluma sio siasa.

Bottom line is Law School haitoi mawakili inatoa wanasheria wenye sifa ya kuwa mawakili.
 
Waalimu wa hiyo taasisi sio effective.

Taifa lingeweza pata mawakili bora na wengi zaidi kwa wahitimu wa sheria kufanya mtihani(bar examination) baada ya kujifunza sheria kwa vitendo
(apprenticeship) kwenye ofisi za mawakili wabobezi na mahakama kwa angalau miaka miwili baada ya kuhitimu.
 
Mnatuchanganya, mwingine ameandika siasa chafu za law shool.

Masaa 17 baadae unakuja wewe na counter thread ya kuwaambia hongereni. Sisi tusioyajua ya ndani, tushike lipi?
Yaani ndio nilitaka kusema ivyo. Juzi hapa mtu anakisema iko chuo. Leo mtu mwingine anakisifia.
 
Mkuu, taasisi nyingi za elimu ya juu hapa Tanzania zinaongozwa na watu wa hovyo sana. Nilisoma IAA miaka ya nyuma huko yaani lecturer anasema lazima akupe Supp na kweli mtu anaipata.
 
Ni sawa ukasema anaetoa Diploma au Degree ni Rector

Unachanganya madesa mkuu emu endelea kujifunza
 
Hapana ni sawa na Accountant asiye na CPA



Siku hizi nayo huenda imekuwa simplified maana hata ambao hawana msingi wa Accouts wanazipata kirahisi tu tofauti na zamani!

Mtu amesoma course irrelevant sijui masomo gani ya arts n.k. Lakini utasikia amepata CPA [emoji87]

Naona kama heshima imeshuka!

Jamaa sijui kachoka yule?!

Hatusemi kuwa wabane sana kama zamani lakini pia sizani kama ni sahihi kuirwhisisha kiasi kwamba hata ambae hajasoma
Masomo ya commerce na bookkeeping and the related one tangu Shule ya msingi hadi chuo kikuu halafu aje kupata CPA itashangaza mno aisee?!

Kama mtu yeyote anaweza kupata!
 
Kuna siku nilipita pale nje kwenye Stationary zao, nikitaka Katiba ya Tanzania toleo la mwisho la Mwaka 2008! Ajabu nilikutana na Katiba toleo la 2005 ndo zinauzwa! Nilichoka sana kwakweli
 
Mwanasheria ni yule ambae ana Diploma/Bachelor Degree ila hajaenda kusoma law school na hana Muhuri wa Mwanasheria

Wakili ana Bachelor Degree, ameenda law school na ana Muhuri wa Mwanasheria

Ushaelewa tofauti yao hapo mkuu au nirudie?
Asante sana Mkuu Kwa ufafanuzi. Ubarikiwe. Sasa najaribu kuwaza kuwa Kuna uwezekano wa kumpata Mwanasheria wa Serikali asiye na muhuri? Maana naona hapa muhuri mpaka uende kwenye hiyo shule. Pia mwenye muhuri yaonekana ni mzito kuliko asiye na Muhuri. Sasa kama ni mzito kwa nini kwenye Cheo cha Mwanasheria Mkuu wa serikali kisitumike Cheo Hiki kikuu? Yaani Wakili Mkuu wa serikali (nadhani kiki Cheo kipo) ndiye afanye kazi za Mwanasheria Mkuu wa serikali. Natanguliza Shukrani kwa majibu.
 
Wewe walimu wako walipata shida sana, kuwa mwanasheria siyo lazima uwe Wakili, ila kuwa Wakili ni lazima uwe mwanasheria, ni nini huelewi hapo?
 
Haha nimekukamata vizuri popoma wewe.

Narudia tena kukusahihisha; Law school inatoa mawakili sio wanasheria.

Mwanasheria na wakili ni watu wawili tofauti kabisa ila layman kama wewe hawezi kuelewa kamwe.
Law school wanatoa Postgraduate diploma in legal practice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…