Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Dar ni sehemu pekee ambayo mtu akija anavagaa tabia mpyaMakabila yote yakija dar yana badili tabia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar ni sehemu pekee ambayo mtu akija anavagaa tabia mpyaMakabila yote yakija dar yana badili tabia
Wasukuma wa Geita nao vipi?Wasukuma tupo matabaka mengi sana.
Mabinti wa kisukuma tabaka la wanyantunzu (wale weupee) wana nyodo sana na mara zote hawathamini utafutaji wa mwanaume. Ikitokea umeteteleka kidogo kiuchumi lazima akukimbie.
Halafu niwepesi sana kulubuniwa na mwanaume hata kama yupo kwenye ndoa na mna watoto anaweza akakutoroka na kwenda kuolewa kwingine!
Sio kweliWengi wao wameondolewa kiharage
Na hawa wanawake wa "WAJITA" Tabia zao zikoje mana nina kaka angu anataka kutuletea MJITA.
Wana ukali wa asili 😁😁😁Na hawa wanawake wa "WAJITA" Tabia zao zikoje mana nina kaka angu anataka kutuletea MJITA.
Wanapenda sana SexNa hawa wanawake wa "WAJITA" Tabia zao zikoje mana nina kaka angu anataka kutuletea MJITA.
Mmh hio ni kweli lakini? Au umeropoka tuWanapenda sana Sex
Hapo Geita ndio nimepapenda maana kuna kibinti kimenilegeza nati za moyo 😁 ni kazuri kweri kweriOk,iko hv.huku tupo wasukuma mikoa mitano yote ni ya kwetu,na nitajaribu kwa kifupi kuchambua kulingana na maeneo yetu.
1.ikumbukwe tunaishi Tabora,Shinyanga,Simiyu,Mwanza,Geita na pembezoni mwote mwa ziwa victoria
2.Wasukuma wa Tabora ni wakarimu japo wana kanamna ka kupenda kidogo ushirikina lakini ni wavumilivu ktk mapenzi,wao wana destuli ya uvivu kidogo wa kuchapa kazi lakini si wavivu kiasi cha kuwasema vibaya,wapole na hawana mawaa na mtu awaye yote
3.Wasukuma wa Shinyanga,ni wachapa kazi na wakarimu,na kwa namna fulani hv ni wakorofi kidogo na hawapendi kuonewa.
4.Wasukuma wa Simiyu,hawa ni wakorofi na ni wakarimu pia,ni wachapa kazi kweli kweli hawana uvivu,wanatafuta mali hata kama wewe mwanaume umelala ndani au umetelekeza familia usitegemee watoto watakufa na njaa.
5.Wasukuma wa Mwanza ni the same na Geita,hawa hata wewe uwe wa makabila mengine nenda kaoe,ni wakarimu kupitiliza na wapole sana,hawa mume anaweza kuoa mke wa pili lakini yeye akaishia kulia machozi kwa siku moja then anatulia na kusamehe na mambo yanaendelea,na hawa ndiyo wenye shepu nzuri na ni Blackbeauty kweli kweli tofauti na wa Simiyu na Shy ambao wao ni weupe,wanaitwa wanyantuzu.hakuna desturi ya ukeketaji,na wasukuma wote siyo wachoyo hasa wa chakula.wao humkirimu mgeni yeyote ajaye nyumbani mwao au maeneo yao.
6.TAHADHARI.kama utakuja wewe mtu wa makabila mengine ukaoa mke wa SIMIYU mnyantuzu,elewa una mwanajeshi iwapo utamletea za kuleta,hao ndo wana sifa hata ya kukutoa roho ukiwa umepata pesa na ukajidai kumchanganyia habari zako.hii ni kwa ufupi
N.B ni wakarimu na wachapa kazi all Sukuma.ASANTE
Wanapenda sana Sex
Wajita Wana viburi, dharau, sifa, alafu na kaumalaya nikama wahaya tu na majungu pia ndo kwaoMwenye kufahamu Wanawake wakijita wakoje atuambie, binafsi nilijua wasukuma na wajita ndio hao hao.
HahahaHabarini Wadau,
Napenda kutoa pongezi kwa Wanawake wengi wa kisukuma kwa kuwa na tabia njema kulinganisha na makabila mengi hapa nchini,kwa mfano:-
1) HESHIMA: Hawa mabinti wa kisukuma na hata wamama wa huko wengi wao wana adabu na heshima sana. Ukimwoa msukuma na kumpa tu hela ya msosi wa kutosha atakuheshimu sana na kukujali kama Mume. Heshima ipo ndani ya damu zao.
2) WENGI SIO WAKATILI:
Ukiwalinganisha wanawake wa kisukuma na wa makabila mengine,hawa wa kisukuma ni wapole zaidi na wenye utu.
Na kwa jinsi wasukuma walivyo wengi Tanzania hii....basi kama wanawake wao wangekuwa na roho mbaya za kikatili tungesikia sana wakisemwa vibaya. Imagine ni kabila lenye watu wengi kuliko yote Tanzania ila husikii wakiogopwa na wanaume na kujulikana kwa ukatili.
3) WANA NGOZI NA MAUMBO MAZURI:
Sio siri wanawake wa kisukuma 98% wana shapes za ukweli, hasa t*ako nzito nzito za maana, bila kusahau ngozi zao nyeusi za kuteleza. Sijui ni zile samaki za ziwa victoria wanazokula?
Sio rahisi ukute mdada wa kisukuma ana flat screen.
Hongereni mabinti/Wanawake wa kisukuma.