Hongereni sana mabinti/wanawake wa Kisukuma kwa haya

Hongereni sana mabinti/wanawake wa Kisukuma kwa haya

Shida ya majibizano haya wengi wanaopinga juu ya ukeketaji humu ni hawa vijana wa juz na jana alafu mnakuja humu mnataka kutuaminisha vijana wazamani kwamba makabila yenu hamna ukeketaji ! Kaeni chini na wazee wenu mzungumze watawambia juu ya mambo ayo.

Mkuu kwa uhakika kabisa kama kuna kabira halikeketi kabisa watu wake nchi hii basi ni WASUKUMA! Sio tu wanawake hata wanaume hiyo kitu hatufanyi, na wala haipo kwenye mira na destuli zetu. Ispokua kwa wachache waliokwenda shule na kwawaliochanganyikana na jamii zinazofanya hiyo mambo. Na imetuletea shida sana mjini maana tulichekwa sana kwa kua na magovi mpaka watu wazima! Na ndio maana sasaivi kuna-campaign ya kutairi wanaume watu wazima na watoto kanda yote ya ziwa kasoro mkoa wa mara maana wao wanakeketwa wote (wanaume na wanawake)! Na hao wasukuma wamekubariana na campaign hiyo kwa sababu watoa semina wanasema inapunguza uwezekano wa kupata maambukizi ya ukimwi vinginevyo usingewapata.
 
Shida ya majibizano haya wengi wanaopinga juu ya ukeketaji humu ni hawa vijana wa juz na jana alafu mnakuja humu mnataka kutuaminisha vijana wazamani kwamba makabila yenu hamna ukeketaji ! Kaeni chini na wazee wenu mzungumze watawambia juu ya mambo ayo.

Mkuu kwa uhakika kabisa nakwambia kama kuna kabira halitairi watu wake nchi hii basi ni WASUKUMA, sio tu wanawake bali hata wanaume hatufanyiwi hiyo mambo coz haipo kwenye mira wala desturi za kisukuma. Isipokua kwa wachache waliokwenda shule au waliochanganyikana na jamii zinazofanya izo vitu, na imetuletea shida sana mashuleni maana tumekua tukichekwa sana kwa kua na magovi na ndio maana sasaivi kuna kampeni ya kutairi watu wazima wote kanda ya ziwa isipokua mkoa wa mara maana wao wanakeketwa wote wanaume na wanawake. Na kampeni hiyo imefanikiwa kwa sababu wanaotoa semina wanasema zoezi hilo linapunguza kwa kiasi kikubwa maambukizi ya HIV vinginevyo wangechemka maana haipo kwenye tamaduni zetu!
 
PICHA NI MUHIMU KULIKO HIIESSAY.
Mama ya kisukuma ikipita kitaani.
1463669157856.jpg
 
Mmmh huyo uliekutana nae wa wapi!! Kiukweli wasukuma wanapendwa na wasichana wa makabila mengine kwa upole na kujali kwao, pia they know how to climb up with ladies though some may not be good, but many of them are good and they've big*** for ladies.
Ooooh, kumbe ni nature ya kabila I never knew before but I used to ask myself why do I have such a loving, caring, glittering love to one whom I love! Kumbe siri ni kabila-safi sana.
 
Hao wanyatunzu wenye nyodo ni wanawake tu au na wanaume?[/QUOTE

Iko hivi: hao wenye nyodo kama mnavoita wenyewe inategemea umemfanya nini, kiufupi anafungua mlango kulingana na jinsi ulivobisha hodi! ,ukija kistaarabu anakupokea kistaarabu ila Ukijitoa ufaham utajuta kumfaham hawajui kabisa kukopesha anakufanyia izo nyodo ukiwa unaona laivu,hautasimuliwa! Baba yangu msukuma wa mwanza ila mama ni mnyantuzu wa bariadi huko kwa kina chenge! Nikiwa hom Mara nyingi nikitaka kufurahi namtibua tu kwa makusudi weeeee hua nacheka sana! Ila wanapenda sana utani, kiasi kwamba usipokua makini unaeza kupigana kumbe ni utani tu!
 
Ooooh, kumbe ni nature ya kabila I never knew before but I used to ask myself why do I have such a loving, caring, glittering love to one whom I love! Kumbe siri ni kabila-safi sana.

Tahadhari tafadhari
Kuna wajinga flani hivi usije ukawaiga! Wao wakipendwa sana hivo basi wanaota kibri ( kiburi) na kuona anaweza kum-drive mpenzi wake anavotaka yeye! Wasukuma hawajui kuacha kirahisi ( To break up ) ila siku akikuaacha ndo nitolee!
 
Yeah hiyo ni kwa wote wanaume na wanawake! Ukiwa mstaarabu utafurahi mwenyewe wanapenda sana utani! Ila ukijiona we ni wa thamani sana utaipenda maana wao ni wa ghari sana mfano wake sijawai uona duniani! Labda huko mbinguni [emoji12][emoji12][emoji12]
He heee kumbe Ndiomana
 
Back
Top Bottom