Hongereni sana mabinti/wanawake wa Kisukuma kwa haya

Hongereni sana mabinti/wanawake wa Kisukuma kwa haya

Ok,iko hv.huku tupo wasukuma mikoa mitano yote ni ya kwetu,na nitajaribu kwa kifupi kuchambua kulingana na maeneo yetu.
1.ikumbukwe tunaishi Tabora,Shinyanga,Simiyu,Mwanza,Geita na pembezoni mwote mwa ziwa victoria
2.Wasukuma wa Tabora ni wakarimu japo wana kanamna ka kupenda kidogo ushirikina lakini ni wavumilivu ktk mapenzi,wao wana destuli ya uvivu kidogo wa kuchapa kazi lakini si wavivu kiasi cha kuwasema vibaya,wapole na hawana mawaa na mtu awaye yote
3.Wasukuma wa Shinyanga,ni wachapa kazi na wakarimu,na kwa namna fulani hv ni wakorofi kidogo na hawapendi kuonewa.
4.Wasukuma wa Simiyu,hawa ni wakorofi na ni wakarimu pia,ni wachapa kazi kweli kweli hawana uvivu,wanatafuta mali hata kama wewe mwanaume umelala ndani au umetelekeza familia usitegemee watoto watakufa na njaa.
5.Wasukuma wa Mwanza ni the same na Geita,hawa hata wewe uwe wa makabila mengine nenda kaoe,ni wakarimu kupitiliza na wapole sana,hawa mume anaweza kuoa mke wa pili lakini yeye akaishia kulia machozi kwa siku moja then anatulia na kusamehe na mambo yanaendelea,na hawa ndiyo wenye shepu nzuri na ni Blackbeauty kweli kweli tofauti na wa Simiyu na Shy ambao wao ni weupe,wanaitwa wanyantuzu.hakuna desturi ya ukeketaji,na wasukuma wote siyo wachoyo hasa wa chakula.wao humkirimu mgeni yeyote ajaye nyumbani mwao au maeneo yao.
6.TAHADHARI.kama utakuja wewe mtu wa makabila mengine ukaoa mke wa SIMIYU mnyantuzu,elewa una mwanajeshi iwapo utamletea za kuleta,hao ndo wana sifa hata ya kukutoa roho ukiwa umepata pesa na ukajidai kumchanganyia habari zako.hii ni kwa ufupi
N.B ni wakarimu na wachapa kazi all Sukuma.ASANTE
Shukran sana mkuu kwa ufafanuzi yakinifu.
 
hata wasukuma wa katavi-MPANDA ni wakarimu mno na ni wachapaki balaa, tunswashuhudia kwenye upandaji mpunga nomaa Sana. Sasa huku katavi msukuma kumchukua ni gharama, wanahitaji mpaka ng'ombe kumi na..., ila bure unapata pia but inategemea na familia
 
Fanya uchunguzi wa kina mkuu!
Miaka ya sasa ndo kidogo kumekuwa na mabadiliko hasa usomi na umjini mwingi ndo mtu anaamua kuvunja miko.
Asili ya msukuma sio ubahili au umimi!
Sasa wachagga wana hizo character so inakuwa ngumu sana ku mingle mkaendana!
Yani wachaga ndo wabaya chah sema hushare interests. Wasukuma wapole kwa lipi mkuu nimekaa nao roho mbaya yao labda wa Mwanza kidogo huo upole labda zama za kale wangekuwa wapole na wakarimu wasingeongoza kuua huko kanda ya ziwa kwa mauaji. In short mzuri labda aliyeelimika na ushamba hawauishi
 
Yani wachaga ndo wabaya chah sema hushare interests. Wasukuma wapole kwa lipi mkuu nimekaa nao roho mbaya yao labda wa Mwanza kidogo huo upole labda zama za kale wangekuwa wapole na wakarimu wasingeongoza kuua huko kanda ya ziwa kwa mauaji. In short mzuri labda aliyeelimika na ushamba hawauishi

Wabaya unawajua wewe?
 
Habarini Wadau,

Napenda kutoa pongezi kwa Wanawake wengi wa kisukuma kwa kuwa na tabia njema kulinganisha na makabila mengi hapa nchini,kwa mfano:-

1) HESHIMA: Hawa mabinti wa kisukuma na hata wamama wa huko wengi wao wana adabu na heshima sana. Ukimwoa msukuma na kumpa tu hela ya msosi wa kutosha atakuheshimu sana na kukujali kama Mume. Heshima ipo ndani ya damu zao.

2) WENGI SIO WAKATILI:

Ukiwalinganisha wanawake wa kisukuma na wa makabila mengine,hawa wa kisukuma ni wapole zaidi na wenye utu.

Na kwa jinsi wasukuma walivyo wengi Tanzania hii....basi kama wanawake wao wangekuwa na roho mbaya za kikatili tungesikia sana wakisemwa vibaya. Imagine ni kabila lenye watu wengi kuliko yote Tanzania ila husikii wakiogopwa na wanaume na kujulikana kwa ukatili.

3) WANA NGOZI NA MAUMBO MAZURI:

Sio siri wanawake wa kisukuma 98% wana shapes za ukweli, hasa t*ako nzito nzito za maana, bila kusahau ngozi zao nyeusi za kuteleza. Sijui ni zile samaki za ziwa victoria wanazokula?

Sio rahisi ukute mdada wa kisukuma ana flat screen.

Hongereni mabinti/Wanawake wa kisukuma.

PICHA NI MUHIMU KULIKO HIIESSAY.
 
Yani wachaga ndo wabaya chah sema hushare interests. Wasukuma wapole kwa lipi mkuu nimekaa nao roho mbaya yao labda wa Mwanza kidogo huo upole labda zama za kale wangekuwa wapole na wakarimu wasingeongoza kuua huko kanda ya ziwa kwa mauaji. In short mzuri labda aliyeelimika na ushamba hawauishi
Mkuu pole sana nahisi ulikutana na wanyantunzu hawa kiasi flani wana nyodo nyodo!
Katika tabaka zote za wasukuma, wa Mwanza hasa wilaya ya Sengerema na huko Geita hawana makuu kabisa!
Halafu kuwa mshamba sidhani kama ina athari yoyote katika kuishi na mtu otherwise ndo nyodo zenyewe tusemazo kabila nyingine mmeendekeza!
Kuhusu kuua vikongwe, hilo siwezi kuliongelea make limekaa kiimani zaidi.
Kama ungekulia kule wala usingepata kigugumizi cha kukiri kuwa kweli jamii ya watu hawa ipo tofauti sana na wengine!
 
Yani wachaga ndo wabaya chah sema hushare interests. Wasukuma wapole kwa lipi mkuu nimekaa nao roho mbaya yao labda wa Mwanza kidogo huo upole labda zama za kale wangekuwa wapole na wakarimu wasingeongoza kuua huko kanda ya ziwa kwa mauaji. In short mzuri labda aliyeelimika na ushamba hawauishi

Kiukweli sisi ushilikina hatutaki kusikia kabisa,achilia mbali kukutwa, hata tukikuhis tu kuhusika na ushirikina ujue mapanga yanakuhusu tena mchana kweupe! Na serikali kule haiingilii!! Kule huwezi kusikia mtu analalamika sijui mapaka yananisumbua usiku yanakuja juu ya paa mara sijui nimekutana na vituko gani, mara kwa jirani kuna mtoto amefariki kwenye mazingira ya kutatanisha. Ikitokea kesi ya namna hiyo tu unapita msako wa kufa mtu na ole wako watu wakuhis imekula kwako! Kule mtu akianza tu tabia zisizoeleweka anaambiwa kabisa huku pamekushinda hama kabisa vinginevyo siku zako zinahesabika!
 
hata wasukuma wa katavi-MPANDA ni wakarimu mno na ni wachapaki balaa, tunswashuhudia kwenye upandaji mpunga nomaa Sana. Sasa huku katavi msukuma kumchukua ni gharama, wanahitaji mpaka ng'ombe kumi na..., ila bure unapata pia but inategemea na familia


Hao wa mpanda mbona sio wa gharama mkuu?!! Mimi dada yangu wa kwanza niliswaga ng'ombe 45! Dada wa pili ng'ombe 34 na mbuzi 8! Inshort usukumani mwanamke ni wa gharama sana! Nadhani katika ndoa zao wanakua wapole, wakarim, wavumilivu, watiifu na wenye bidii kazini coz wanakua kama wanalipa fadhira kwa waume zao coz jamaa aligharamia sana kuoa. Lakini haimaanishi kwamba waloolewa kwa gharama ndogo au waloolewa bure wanakosa hizo sifa, hiyo ni kama nature yao tu!! Lakini pamoja na kugharamika kote usithubutu kumnyanyasa mwanamke wa kisukuma itakula kwako, hawapendi kabisa kunyanyaswa na ukizingua kuna njia nyingi za kidiplomasia wanatumia kusolve (wanafundishwa ) ukikaidi sana haoni shida kukutanguliza huko wazungu wanaita ( hell ) kazi ya kusameh atamwachia Mungu (if you diserve it anyways)
 
Shida ya majibizano haya wengi wanaopinga juu ya ukeketaji humu ni hawa vijana wa juz na jana alafu mnakuja humu mnataka kutuaminisha vijana wazamani kwamba makabila yenu hamna ukeketaji ! Kaeni chini na wazee wenu mzungumze watawambia juu ya mambo ayo.
 
PICHA NI MUHIMU KULIKO HIIESSAY.
Hii hapa
1463667840879.jpg
 
Mkuu pole sana nahisi ulikutana na wanyantunzu hawa kiasi flani wana nyodo nyodo!
Katika tabaka zote za wasukuma, wa Mwanza hasa wilaya ya Sengerema na huko Geita hawana makuu kabisa!
Halafu kuwa mshamba sidhani kama ina athari yoyote katika kuishi na mtu otherwise ndo nyodo zenyewe tusemazo kabila nyingine mmeendekeza!
Kuhusu kuua vikongwe, hilo siwezi kuliongelea make limekaa kiimani zaidi.
Kama ungekulia kule wala usingepata kigugumizi cha kukiri kuwa kweli jamii ya watu hawa ipo tofauti sana na wengine!
Hao wanyatunzu wenye nyodo ni wanawake tu au na wanaume?
 
Back
Top Bottom