Hongereni sana mabinti/wanawake wa Kisukuma kwa haya

Wasukuma wa Geita nao vipi?
 
Kwa sasa sio wa kuoa ingawa wanakubalika sana kwenye jamii zetu labda kwa sababu ya historia na ile kuonekana kama wana heshima sana
 
Hapo Geita ndio nimepapenda maana kuna kibinti kimenilegeza nati za moyo 😁 ni kazuri kweri kweri
na kapole kenyewe kanatabasamu tu!
 
wasifie pia kwa haya
umesahau wanakula sana ugali na vyakula vigumu
hawasazi vyakula wapo effective ku utilize chakula
pia waponde kwa hili
wanadanganyika kwa vitu vidogo
wew msukuma ukitaka kumuoa jaza vyakula ndani akiingia humo ndani hatoki
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…