Nawapa pongezi sana kwa mwanzo huu!
NEMC Mkiamua mnaweza!
Mmefanikiwa kufungia bar chache zinazopiga miziki mikubwa! Ni jambo jema sana!
Naomba kushauri jambo moja ndugu zetu NEMC!
Kuna msemo Wataalam wanasema "Good approach, Bring best Result"
Hakika mmethubutu kuwaonya hawa watu wanakela sana na kelele zao!
Lakini kuna jambo mnatakiwa muwe nalo makini sana ili zoezi lenu lifanikiwe!
HAKIKISHENI Ugomvi wenu na wamiliki wa bar hauathili mlevi akose sehemu ya kwenda kulewa!
Msiongeze maadui katika operesheni yenu ili wasije geuka kuwatetea wenye bar kwa hoja za ajira na mapato ya serikali (kodi)
Punguzeni maadui kwa kuondoa kero pasipo kuunda kero nyingine!
Siyo kila bar lazima iwe na mziki mkubwa ili wateja wanywe bia! Hapana!
Hivyo nashauri fanyeni hivi!
1. Mara ya kwanza onyeni wamiliki wenyewe wa bar kwa barua na nakala ya barua hiyo waachieni hapo serikali ya mtaa wao kwa ajili ya kumbukumbu ya onyo hilo.
2. Siku ya pili Pokonyeni na mtaifishe hiyo miziki (spika&mixer).
3. Wekeni namba ya simu ya miito (call center) kwa taaarifa! Ili watu wanaporipoti taarifa ziwe recorded kwa ufuatiliaji ili hata kama kuna mazingira ya rushwa kwa baadhi ya watumishi! Muwe mnapitia report ambazo zijazwe online ofisini (yaani report ijazwe kwenye system ili iwe rahisi kuipitia) kwa kuwapigia simu wateja kama bado wanaendelea kusikia mziki baada katika eneo walilolitolea taarifa!
Maoni yangu mengine pitia uzii huu
- Ushauri: NEMC fanyeni haya ili kupunguza kelele za muziki mtaani
NEMC Mkiamua mnaweza!
Mmefanikiwa kufungia bar chache zinazopiga miziki mikubwa! Ni jambo jema sana!
Naomba kushauri jambo moja ndugu zetu NEMC!
Kuna msemo Wataalam wanasema "Good approach, Bring best Result"
Hakika mmethubutu kuwaonya hawa watu wanakela sana na kelele zao!
Lakini kuna jambo mnatakiwa muwe nalo makini sana ili zoezi lenu lifanikiwe!
HAKIKISHENI Ugomvi wenu na wamiliki wa bar hauathili mlevi akose sehemu ya kwenda kulewa!
Msiongeze maadui katika operesheni yenu ili wasije geuka kuwatetea wenye bar kwa hoja za ajira na mapato ya serikali (kodi)
Punguzeni maadui kwa kuondoa kero pasipo kuunda kero nyingine!
Siyo kila bar lazima iwe na mziki mkubwa ili wateja wanywe bia! Hapana!
Hivyo nashauri fanyeni hivi!
1. Mara ya kwanza onyeni wamiliki wenyewe wa bar kwa barua na nakala ya barua hiyo waachieni hapo serikali ya mtaa wao kwa ajili ya kumbukumbu ya onyo hilo.
2. Siku ya pili Pokonyeni na mtaifishe hiyo miziki (spika&mixer).
3. Wekeni namba ya simu ya miito (call center) kwa taaarifa! Ili watu wanaporipoti taarifa ziwe recorded kwa ufuatiliaji ili hata kama kuna mazingira ya rushwa kwa baadhi ya watumishi! Muwe mnapitia report ambazo zijazwe online ofisini (yaani report ijazwe kwenye system ili iwe rahisi kuipitia) kwa kuwapigia simu wateja kama bado wanaendelea kusikia mziki baada katika eneo walilolitolea taarifa!
Maoni yangu mengine pitia uzii huu
- Ushauri: NEMC fanyeni haya ili kupunguza kelele za muziki mtaani