Elections 2015 Hongereni tena Segerea: Nina furaha tele na sijatetereka

Na huku ndiko tunakosema kupevuka kama si kukua au kukomaa kisiasa. Big up Mtatiro.
 

Julius....hongera sana! Unastahili kabisa kuuchukua uongozi wa CUF wa nafasi ya MKiti...na soon utaibadili CUF kusimama katika nafasi ya juu just after CDM ktk siasa za Tz bara!
 
nimeanza kuamini kuwa SLAA ndiye amepewa kugombea SEGEREA ahsante kwa maamuzi mazuri mtatiro
 
Last edited by a moderator:
Kama haya uliyoyaandika ndiyo msimamo wako na kwamba uko tayari kuunga mkono maamuzi yoyote yatakayofanywa na chama chako nakupongeza sana.

Ulikuwa umeshaanza kujiwekea mikakati ya kuogombea katika jimbo hilo na sasa yawezekana umoja wenu UKAWA umeamua vinginevyo nawe unakubaliana nakusifu sana.

Bado ni kijana na ni hazina ya CUF kwa kesho, endelea kupigania mageuzi hapa nchini kwetu.

Nakufahamu vema ni mpiganaji mzuri na nakumbuka kipindi cha 2005 ukiwa na Mwikwabe mlivyopigania wanafunzi kipewa mikopo.

Nikupe matumaini kuwa utafika mbali kama utaendeleza hurka uliyoonesha na si lazima uwe umependa bali unaamini kitu kwa maslahi ya umma japo moyoni una maumivu na haya ndiyo "Maamuzi magumu"
 
Mkuu Mtatiro,
Nakupongeza kwa maamuzi yako.
Natumai huko mbeleni Ukawa watajua jinsi ya kukufix sehemu.
Natamani nikuone bungeni unaendeleza mapambano kama wakina Mnyika na wengineo.
 
uchaguzi umegeuka kuwa movement for change , haijalishi nani ni nani , asante mtatiro .
 
Mtatiro tafuta jimbo lingine hata kama polini huko kiu yangu nikuone mjengoni. Nina Imani unaweza kumtoa yeyote hats ukienda kwenye jimbo LA lusinde
 
Mtatiro,
Honera sana kwa uzalendo uliouonyesha.Natumai kuna njia nyingine inaweza fanyika kukupatia nafasi eneo jingine manake kiukweli uwepo wako unahitajika sana bungeni.Safu ya wapiganaji itakua imekamilika uwepo wako.

God bless you brother
 
Hivi Julius Mtatiro anagombea jimbo gani??
werason inaelekea huu uzi hujausoma. Ni kwamba huyu jamaa alitia nia kugombea jimbo la segerea kupitia CUF. Lakini kwa makubaliano ya UKAWA, jimbo hilo litasimamisha mgombea wa CHADEMA. Kwahiyo yeyr hatagombea tena.
 
Last edited by a moderator:
Ukawa mbelekwambele mtatiro kweli wewe umedhirisha watu wa musoma tunavyotaka mabadiliko,safi sana kaka
 
kashakatwa huyu hana lolote, au nae anaenda kufanya utafiti??

 
Hawa ndio aina ya watu tunao wahitaj, ila ningetamani sana Mtatiro awepo bungeni
 
Pamoja sana kamanda mtatiro. Akishinda kamanda mpendazoe tumeshinda sote. Ukawa oyeee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…