Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
TUTAKUJA KUFUKUA KABURI, USIUKIMBIE UZISiku ya tarehe 30/3/2024 kutakuwa na msiba mzito pale kwa Lupaso, Mamelodi wamejipanga kufanya kitu kibaya mnoooo, sasa wajanja na wenye akili pale Jangwani wameona kwa vile siku hiyo itakuwa ni siku ya msiba, hakuna sababu ya kuchukua viingilio vya watu, watu waende msibani bure.Huo ndio utamaduni wetu watanzania.
Kule kwenye mtanange kati ya Simba na Rangi ya Mtume kazi ipo, wanaume wanajimudu na kwa namna nilivyofurahi chama kuweka kambi Zanzibar, by hooks or crooks Simba will win a resounding victory.
Tulieni Yanga anaweza kushangaza wengi Japo Mimi ni shabiki kindakindaki wa Simba SCSiku ya tarehe 30/3/2024 kutakuwa na msiba mzito pale kwa Lupaso, Mamelodi wamejipanga kufanya kitu kibaya mnoooo, sasa wajanja na wenye akili pale Jangwani wameona kwa vile siku hiyo itakuwa ni siku ya msiba, hakuna sababu ya kuchukua viingilio vya watu, watu waende msibani bure.Huo ndio utamaduni wetu watanzania.
Kule kwenye mtanange kati ya Simba na Rangi ya Mtume kazi ipo, wanaume wanajimudu na kwa namna nilivyofurahi chama kuweka kambi Zanzibar, by hooks or crooks Simba will win a resounding victory.
AahaaaaSiku ya tarehe 30/3/2024 kutakuwa na msiba mzito pale kwa Lupaso, Mamelodi wamejipanga kufanya kitu kibaya mnoooo, sasa wajanja na wenye akili pale Jangwani wameona kwa vile siku hiyo itakuwa ni siku ya msiba, hakuna sababu ya kuchukua viingilio vya watu, watu waende msibani bure.Huo ndio utamaduni wetu watanzania.
Kule kwenye mtanange kati ya Simba na Rangi ya Mtume kazi ipo, wanaume wanajimudu na kwa namna nilivyofurahi chama kuweka kambi Zanzibar, by hooks or crooks Simba will win a resounding victory.
πΈπΈ Watashangaza kwa kuwatumia wachezaji waliolegezwa viuno na demu wa Harmonize.Tulieni Yanga anaweza kushangaza wengi
Labda kama mtawanywesha sumu.Young Africans 3 - 0 Mamelodi Sundowns
Subiri kujioneaLabda kama mtawanywesha sumu.
Aamin aamin