Hongereni yanga na simba kwa ushindi wa leo lakini michuano mtaianza hatua itayofuata

Hongereni yanga na simba kwa ushindi wa leo lakini michuano mtaianza hatua itayofuata

Si mna amini Simba anauzoefu wa kimataifa, Sasa kipigwe baina Yao popote ambapo Simba ana amini atakua huru na kuloga usiku kucha.
Hivi huu ujasiri wa kusema simba ni kibonde kwa uto mnautoa wapi?

Kwa miaka hii minne simba kamfunga ya mara 4 na Yanga kamfunga mara tano. Sasa huo ukibonde unatoka wapi?Au kumbukumbu hamna?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Mpira una njia zake sio kindi au kimpumu kufika na kujichotea, kinachoitajika ni ushindi aijalishi umeshinda kipindi gani, sababu ya wao kufika usiku uwezi jua plan yao ilikuwaje kila timu na mbinu zake na haiondoi wala kupunguza ubora wa yanga ata wangekuja juzi bado wangekalia tu tunachosema timu zote ni vibonde kulingana na aina ya ligi zao kwaiyo bwetekeni kuwa mko bora mtakachokutana nacho msije kuanza kupayuka kuwa matola na mgunda wafukuzwe
Simba siyo mgeni kwenye haya mashindano . Labda uwambie wageni wa mashindano hayo hao uto wenzako ambao raundi inayofuata wataaga mashindano rasmi tena kwa aibu mbele ya wasudani au waabeshi.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom