Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtanikumbuka 😂Bei Zenyewe Zipo Wapi
Nchi Imejaa Muhari Sana, Wakati Wa Mzilankende Alisema Wazi
Kwenye Awamu Yangu Hakuna Kubembelezana, Subirini
Rais Mwingine Aje Kuwabembeleza
Naona Tumempata Sasa
Hapa ndiyo utamkumbuka mtu km Magu, maana jibu lao ni moja "wajaribu" na hakuna kima angejikuna. Huyu mama wanamchezea sana, eti watagoma kumhudumia mwananchi? Wauaji hao walitakiwa wakamatwe mara moja kwa tishio la kuua. Km wanaona hiyo biashara hailipi watafute kazi zingine
Mbona zipo Ambazo hazipokei hata sasa?
Chuma, Jiwe Aliweza Sana Alikuwa HabembeleziHapa ndiyo utamkumbuka mtu km Magu, maana jibu lao ni moja "wajaribu" na hakuna kima angejikuna. Huyu mama wanamchezea sana, eti watagoma kumhudumia mwananchi? Wauaji hao walitakiwa wakamatwe mara moja kwa tishio la kuua. Km wanaona hiyo biashara hailipi watafute kazi zingine
Majizi Yamejaa Hospital PrivateIla hawa jamaa wa private wanapiga sana hela. Hapa juzi kati nikampeleka mtoto kutibiwa..nikaandikiwa dawa ambayo bima hailipii..nikaelekezwa dirisha la malipo nipewe hiyo dawa..ebwanaeehh..kidonge kimoja wakaniambia ni 3000..ile nataka kulipa wife kanivuta pembeni..kanishauri twende pharmacy..tukavipata Kwa 1000, yaani kwa 1/3 ya bei ya kile kituo cha afya cha private.
Hawa jamaa wanapiga sana hela. Ndio wanachangia kudhoofisha huu mfuko.
Yaweza kuwaIla hawa jamaa wa private wanapiga sana hela. Hapa juzi kati nikampeleka mtoto kutibiwa..nikaandikiwa dawa ambayo bima hailipii..nikaelekezwa dirisha la malipo nipewe hiyo dawa..ebwanaeehh..kidonge kimoja wakaniambia ni 3000..ile nataka kulipa wife kanivuta pembeni..kanishauri twende pharmacy..tukavipata Kwa 1000, yaani kwa 1/3 ya bei ya kile kituo cha afya cha private.
Hawa jamaa wanapiga sana hela. Ndio wanachangia kudhoofisha huu mfuko.
Mtanikumbuka 😂Hapa ndiyo utamkumbuka mtu km Magu, maana jibu lao ni moja "wajaribu" na hakuna kima angejikuna. Huyu mama wanamchezea sana, eti watagoma kumhudumia mwananchi? Wauaji hao walitakiwa wakamatwe mara moja kwa tishio la kuua. Km wanaona hiyo biashara hailipi watafute kazi zingine
Na bado watasimama bungeni kusema kazi nzuri aliyofsnya mama abdul haijawahi kufsnywa na mtu yoyoteBei Zenyewe Zipo Wapi
Nchi Imejaa Muhari Sana, Wakati Wa Mzilankende Alisema Wazi
Kwenye Awamu Yangu Hakuna Kubembelezana, Subirini
Rais Mwingine Aje Kuwabembeleza
Naona Tumempata Sasa
Kisingizio watakuambia ubora kwamba hizo dawa za elf 3 ni ulaya na hiyo ya buku ni India,Ila hawa jamaa wa private wanapiga sana hela. Hapa juzi kati nikampeleka mtoto kutibiwa..nikaandikiwa dawa ambayo bima hailipii..nikaelekezwa dirisha la malipo nipewe hiyo dawa..ebwanaeehh..kidonge kimoja wakaniambia ni 3000..ile nataka kulipa wife kanivuta pembeni..kanishauri twende pharmacy..tukavipata Kwa 1000, yaani kwa 1/3 ya bei ya kile kituo cha afya cha private.
Hawa jamaa wanapiga sana hela. Ndio wanachangia kudhoofisha huu mfuko.
Siyo kweli.imagine tangia 2016 bei ya dawa ni ile ile.sasa kweli bei mitaani since 2016 ni ilele.2016 lita moja ya petrol ilikuwa inauzwa shilling ngapi compare na bei ya leo.isitoshe pia private hospital hazipati ruzuku from the government tofauti na hospitali za serikali mishahara inatoka hazina .in fact private hospital ni hasara sana .binafsi siwezi wekeza hela zxangu kwenye secta ya afya .Ila hawa jamaa wa private wanapiga sana hela. Hapa juzi kati nikampeleka mtoto kutibiwa..nikaandikiwa dawa ambayo bima hailipii..nikaelekezwa dirisha la malipo nipewe hiyo dawa..ebwanaeehh..kidonge kimoja wakaniambia ni 3000..ile nataka kulipa wife kanivuta pembeni..kanishauri twende pharmacy..tukavipata Kwa 1000, yaani kwa 1/3 ya bei ya kile kituo cha afya cha private.
Hawa jamaa wanapiga sana hela. Ndio wanachangia kudhoofisha huu mfuko.
Miradi aliyoiacha magu inaendelea japo kwa kususua,mishahara imepanda japo ni kituko,watumishi wanapanda madaraja,ajira zinatolewa japo kwa kujuana sana,mama alipofeli ni kusimamia nidhamu kwenye ofisi za umma na kutokemea rushwa,hapo amefeli vibaya sanaHapa ndiyo utamkumbuka mtu km Magu, maana jibu lao ni moja "wajaribu" na hakuna kima angejikuna. Huyu mama wanamchezea sana, eti watagoma kumhudumia mwananchi? Wauaji hao walitakiwa wakamatwe mara moja kwa tishio la kuua. Km wanaona hiyo biashara hailipi watafute kazi zingine
Hii bima ya afya haitakiwi kufanywa kisiasaPamoja na za kanisa? Mbona balaa
Kwani mna Rais wa kuchukulia mambo serious?Hii bima ya afya haitakiwi kufanywa kisiasa
Mwenyewe nasikia tuBei Zenyewe Zipo Wapi
Nchi Imejaa Muhari Sana, Wakati Wa Mzilankende Alisema Wazi
Kwenye Awamu Yangu Hakuna Kubembelezana, Subirini
Rais Mwingine Aje Kuwabembeleza
Naona Tumempata Sasa
Rais ni TaasisiKwani mna Rais wa kuchukulia mambo serious?