kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Nhif wanafanya kazi kama hawajasoma yaani niwavivu na wajinga sana sasaivi ndiyo wanajibanza Kila hospitali nakusumbua watu!! Wako very manual,very local,very shallow!!
Haishangazi wakipata hasara kubwa maana hawana weledi KABISA wanaibiwa kijinga na wanamifumo yakijinga sanasanaaa
Haishangazi wakipata hasara kubwa maana hawana weledi KABISA wanaibiwa kijinga na wanamifumo yakijinga sanasanaaa