kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Unadhani yale masofa na kiyoyozi unavyovitumia ukiwa private vinalipiwaje???Ila hawa jamaa wa private wanapiga sana hela. Hapa juzi kati nikampeleka mtoto kutibiwa..nikaandikiwa dawa ambayo bima hailipii..nikaelekezwa dirisha la malipo nipewe hiyo dawa..ebwanaeehh..kidonge kimoja wakaniambia ni 3000..ile nataka kulipa wife kanivuta pembeni..kanishauri twende pharmacy..tukavipata Kwa 1000, yaani kwa 1/3 ya bei ya kile kituo cha afya cha private.
Hawa jamaa wanapiga sana hela. Ndio wanachangia kudhoofisha huu mfuko.
Muwe mnatafakari basi kabla ya kubwabwaja. Unajua ni kwa sababu gani wamelalamika? Unajua matokeo ya kutumia nguvu badala ya akili?Hapa ndiyo utamkumbuka mtu km Magu, maana jibu lao ni moja "wajaribu" na hakuna kima angejikuna. Huyu mama wanamchezea sana, eti watagoma kumhudumia mwananchi? Wauaji hao walitakiwa wakamatwe mara moja kwa tishio la kuua. Km wanaona hiyo biashara hailipi watafute kazi zingine
Title yako na ukweli vinapishana sana
Hata vitita vya bima ya afya anafanya rais Siku hizi?Kwani mna Rais wa kuchukulia mambo serious?
Wakuu tuache kukurupukaNa bado watasimama bungeni kusema kazi nzuri aliyofsnya mama abdul haijawahi kufsnywa na mtu yoyote
Si pawepo na bei elekezi ya dawa.??Ila hawa jamaa wa private wanapiga sana hela. Hapa juzi kati nikampeleka mtoto kutibiwa..nikaandikiwa dawa ambayo bima hailipii..nikaelekezwa dirisha la malipo nipewe hiyo dawa..ebwanaeehh..kidonge kimoja wakaniambia ni 3000..ile nataka kulipa wife kanivuta pembeni..kanishauri twende pharmacy..tukavipata Kwa 1000, yaani kwa 1/3 ya bei ya kile kituo cha afya cha private.
Hawa jamaa wanapiga sana hela. Ndio wanachangia kudhoofisha huu mfuko.
😂😂😂 Mkono wa Chuma,Bei Zenyewe Zipo Wapi
Nchi Imejaa Muhari Sana, Wakati Wa Mzilankende Alisema Wazi
Kwenye Awamu Yangu Hakuna Kubembelezana, Subirini
Rais Mwingine Aje Kuwabembeleza
Naona Tumempata Sasa
Premium ndo zinakuaje mkuu ? Tusije kudhalilika huko ! Bei na sifa tafadhaliMbona zipo Ambazo hazipokei hata sasa?
Kama kadi yako ya NHIF sio Premium ukinda Aga khan au Seifee hawakuhudumii
Hapo tatizo nila nani?.Wewe ni sehemu ya tatizo pamoja serikali.hao private wanafanya biashara wala hatuna tunachotakiwa kuwalalamikia,sisi tuilalamikie serikali kwasababu ndiyo inayochukua michango yetu alafu hatupati huduma stahiki.Hizo hospital nazo zina malalamiko yao kwenye mfuko ndio maana yote hayo yanatokea.Tuiwajibishe serikali kwakushindwa kutoa huduma ili nayo iwajibishe wahusika waliowapa hilo jukumu lakusimamia huo mfuko.Ila hawa jamaa wa private wanapiga sana hela. Hapa juzi kati nikampeleka mtoto kutibiwa..nikaandikiwa dawa ambayo bima hailipii..nikaelekezwa dirisha la malipo nipewe hiyo dawa..ebwanaeehh..kidonge kimoja wakaniambia ni 3000..ile nataka kulipa wife kanivuta pembeni..kanishauri twende pharmacy..tukavipata Kwa 1000, yaani kwa 1/3 ya bei ya kile kituo cha afya cha private.
Hawa jamaa wanapiga sana hela. Ndio wanachangia kudhoofisha huu mfuko.
Kwani Hakuna ?Si pawepo na bei elekezi ya dawa.??
Ni vizuri Serikali ikalingalia suala la Afya ya Watu kihuduma zaidi kuliko biashara.
NHIF walianzisha kadi za Premium ambazo zinalipiwa na Taasisi binafsi kama vile CRDB, NMB zinalipiwa pesa ndefu kulinganisha na hizo za taasisi za serikaliPremium ndo zinakuaje mkuu ? Tusije kudhalilika huko ! Bei na sifa tafadhali
Uchawa ni utumwa na ufungwa sasa serikali yako haitaki kuwalipa madai yao unategemea wanajiendesha vipi. Wanawafanyakazi watawalipwa lini ?Kumbe wametishia nikajua wameshatangaza. Serikali imejenga vituo vya afya vya kutosha wasitishe tu wenye shida ya biashara watatoa huduma.
Kata mkataba na NHIF sio shuruti.Siyo kweli.imagine tangia 2016 bei ya dawa ni ile ile.sasa kweli bei mitaani since 2016 ni ilele.2016 lita moja ya petrol ilikuwa inauzwa shilling ngapi compare na bei ya leo.isitoshe pia private hospital hazipati ruzuku from the government tofauti na hospitali za serikali mishahara inatoka hazina .in fact private hospital ni hasara sana .binafsi siwezi wekeza hela zxangu kwenye secta ya afya .
Kanisa hawawezi kugoma maana zinaendeshwa partly na kanisa na partly na serikari. Iache inyeshe tujue panapovuja.Pamoja na za kanisa? Mbona balaa