Hospitali Binafsi wana Utu kuliko Hospitali za Serikali

Hospitali Binafsi wana Utu kuliko Hospitali za Serikali

Waliofanikiwa kutibiwa bure kwa njia hio basi hua ni operation tu dawa utajinunulia ukipata pesa au upimwe vipimo bure siku ukipata pesa utakuja kutibiwa. Unge kuwa una tembea mawodini ndo unge kutana nao hao watu wamelazw mwishoni ata miezi imepita kisa hawana pesa zs kuwatibu

Ni mifumo ilio wekwa ili kuhakikisha serikal haingii hasara .
Haingii hasara ila inaingiza hasara kwa kuongeza vifa vya watu masikini na vipi wale wanaoenda kutibiwa huko Apolo India na kwingineko kwa gharama za juu na Serikali inalipia na wanaishia kufia huko na kurudi wakiwa ndani ya friji hapo unasemaje?
 
Japo nipo serikalini pia lakini Taasisi za Serikalini nyingi utasikia wana jitamba wana Security ya kazi ivyo wana fanya mambo bila kujali .na hawa wakija mahakamani baada ya kufukuzwa kazi nikapewa case yao nahakikisha nawakanda kisawa sawa
 
Huwa ni ngumu sana kumtibu mtu bure kwemye hospitali ya serikali,

kuna watu wa ustawi wa jamii ambao kazi yao ni kuhakikisha ata kama mgonjwa hajiwez kiuchumi nfugu zske watafutwe angalau wachangie nusu ya malipo au atibiwe kwa msamaha ambapo ni process ndefu

Mfanyakazi wa afya ambae ataona ubinadamu na huruma kumtibu mtu bure uchukuliwa kama kahujumu uchumi au kuikosesha serikal mapato ambapo fedha hizo itabidi hazifidie yeye. Kwani kuna baadhi ya madawa na vifaa tiba vikitumika bila kulipiwa itabidi uwajibu MSD na wakaguzi wa afya ulivipeleka wapi

Mfano: mtu aliegongwa na gari na kuletwa na wasamalia wema hospitalini upatiwa tu huduma ya kwanza huku wakisubiri ndugu zake kujitokeza ili matibabu mengine yaendelee wakiwa na uhakika wa kulipwa malipo. Wanasema kama ukimpatia/kumuongeza Pakiti ya damu inabidi uwe na uhakika italipiwa au ndugu wataifidia kwa kuchangia kwani ni kitu adimu ambacho wakaguzi wa afya wakikuta kuna upungufu wanalalamikiwa wahudumu wa afya kuwa wamefanya uzembe na upotevu wa rasilimali kazini

HIVYo . Uenda muhudumu wa afya akawa na huruma ya kumsafia mtu ila sheria ndo zina mbana kufanya hivyo sio kama uko private kulipana ni taratibu.

# ndo maana huwezi kupanda ATCL au SGR eti nauli utalipa/ lipiwa ukifika. Mifumo na usimamizi ndo inabana kumsaidia mtu
Sio kweli Muhimbili mara nyingi tu watu wanatibiwa na mwishowe wanahitajika kulipa bills iwe mgonjwa amepona ama amefariki.

Shemeji yangu walimfanyia upasuaji wa kuzalisha mtoto hospital ya mwananyamala bills ilikuwa laki 3 walimzuia kuondoka mpaka pesa ilipolipwa.

Hospital Kuna kitu kinaitwa emergency hiyo ukiwa muhudumu wa afya unaangalia kwanza kuokoa uhai wa mtu Kisha mambo mengine yanafuata baadae.
 
Japo nipo serikalini pia lakini Taasisi za Serikalini nyingi utasikia wana jitamba wana Security ya kazi ivyo wana fanya mambo bila kujali .na hawa wakija mahakamani baada ya kufukuzwa kazi nikapewa case yao nahakikisha nawakanda kisawa sawa
Hahaha Muheshimiwa Jaji kwa hio wakisogezewa kwenye meza yako ya hukumu unawapiga malungu
 
Utendaji makini uliisha na Mwendazake..
Ukienda private kila kitu ni pesa na unapatiwa matibabu kutokana na pesa YAKO..
Kila mmoja wetu anatamani kupata Huduma bora sema ndio hvyo uwezo changamoto unless hizo Hospital na SHULE va Govt majengo wangefugia POPO.
 
Huwa ni ngumu sana kumtibu mtu bure kwemye hospitali ya serikali,

kuna watu wa ustawi wa jamii ambao kazi yao ni kuhakikisha ata kama mgonjwa hajiwez kiuchumi nfugu zske watafutwe angalau wachangie nusu ya malipo au atibiwe kwa msamaha ambapo ni process ndefu

Mfanyakazi wa afya ambae ataona ubinadamu na huruma kumtibu mtu bure uchukuliwa kama kahujumu uchumi au kuikosesha serikal mapato ambapo fedha hizo itabidi hazifidie yeye. Kwani kuna baadhi ya madawa na vifaa tiba vikitumika bila kulipiwa itabidi uwajibu MSD na wakaguzi wa afya ulivipeleka wapi

Mfano: mtu aliegongwa na gari na kuletwa na wasamalia wema hospitalini upatiwa tu huduma ya kwanza huku wakisubiri ndugu zake kujitokeza ili matibabu mengine yaendelee wakiwa na uhakika wa kulipwa malipo. Wanasema kama ukimpatia/kumuongeza Pakiti ya damu inabidi uwe na uhakika italipiwa au ndugu wataifidia kwa kuchangia kwani ni kitu adimu ambacho wakaguzi wa afya wakikuta kuna upungufu wanalalamikiwa wahudumu wa afya kuwa wamefanya uzembe na upotevu wa rasilimali kazini

HIVYo . Uenda muhudumu wa afya akawa na huruma ya kumsafia mtu ila sheria ndo zina mbana kufanya hivyo sio kama uko private kulipana ni taratibu.

# ndo maana huwezi kupanda ATCL au SGR eti nauli utalipa/ lipiwa ukifika. Mifumo na usimamizi ndo inabana kumsaidia mtu
Umefafanua vizuri.
Hapa nadhani watunga sheria na sera za haya mambo wangeiangalia hii ishu kuwe na unafuu kwa raia.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nimeshuhudia mimi mwenyewe. Nilikuwa na mgonjwa aliyehitaji huduma ya dharura katika hospitali moja ya Wilaya ya Ilala. Tena tumemkimbiza usiku wa saa sita. Tulipofika tu akaanza kupimwa na kutokana na hali aliyokuwa nayo alihitaji kufanyiwa upasuaji usiku uleule.

Kwa kuwa mgonjwa hana Bima tulitakiwa kulipa cash. Cash hatukuwa na kiasi cha kutosha tukaambiwa BILA CASH KULIPWA HAMUWEZI KUPATA HUDUMA. Kuna msamaria mmoja kati ya wale waliopeleka wagonjwa akatueleza twende hospitali fulani.

Tulipofika hospitali ile tukaambiwa mgonjwa wenu tutamfanyia upasuaji na malipo mtayalipa baada ya huduma. Ikawa hivyo. Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuwaumba hawa watu wenye Roho Nzuri na tunawatakia maisha marefu.

Lakini hawa wenye kupenda pesa badala ya kuhurumia wanyonge walipa kodi. Mungu awake thawabu zao. Wasikae na hela maisha yao yote. Amina.
Tatizo ni mfumo wala si watu. Hao hao watumishi/wafanyakazi uliowakuta huko private hospital ndiyo hao hao utawakuta kesho kwenye hospitali za umma/serikali wamebadilika, kwa nini? Kwa sababu ya mfumo wa utendaji ambao wanakutana nao serikalini. Kwa hiyo wakiwa private hospital utawabariki na kuwasifu kwa sababu mfumo wa utendaji private sector ni tofauti na wa serikali.

Hivi karibuni serikali imetoa majina ya watumishi wengi wa kada ya afya ambao wengi wao watatoka huko private hospitals na kwenda serikalini. Wakiwa private hospitals utendaji wao ni tofauti sana na utakavyokuwa huko serikalini, wakifika huko serikalini wanakuta kuna namna ya utendaji au uendeshaji wa mambo ambao ushawekwa na wengi hufuata. Ukijifanya kuleta mapinduzi utaishia tu kuungana nao kwa sababu hakuna atakayekuunga mkono ukija eti kuleta utendaji wa private hospitals, utaachwa uhangaike mwenyewe hatimaye unakuwa kama wao.
 
Tulipofika hospitali ile tukaambiwa mgonjwa wenu tutamfanyia upasuaji na malipo mtayalipa baada ya huduma. Ikawa hivyo. Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuwaumba hawa watu wenye Roho Nzuri na tunawatakia maisha marefu.

Kazi za watoa huduma za afya wanatakiwa kuokoa maisha ya wagonjwa kwanza
1)kuto sababishia madhara DO NO HARM

2)kumsaidia mgonjwa kumuondolea maumivu,kuokoa maisha huduma kwa faida ya mgonjwa BENEFICIENCE

3)Kutunza siri za mgonjwa CONFIDENTIALITY, na privacy
4)kwa kujali utu wa mgonjwa na matakwa maamuzi ya mgonjwa PT AUTONOMY

Yani PATIENT'S CENTERED kifupi AFYA USALAMA wa mgonjwa ndio KIPAUMBELE cha kwanza ni kuokoa maisha kwanza.

TENA KWENYE DHARURA EMERGENCY kipaumbele cha kwanza ni kuokoa maisha kumstabilize mgonjwa awe stable kwanza ,kumuondolea hatari ya maisha ,KUOKOA MAISHA KWANZA.

Halafu mambo ya malipo na utaratibu wa malipo UTAFUATA BAADAE.

Kwa uzoefu wangu mdogo hospitali za serikali ndio zinahudumia wagonjwa bila kutanguliza pesa kuliko hospitali binafsi.

Nimeshuhudia wagonjwa walio okotwa mahututi wakiwa hawana fahamu bila kutambulika utambulisho wao wametibiwa katika hospitali za serikali bila kulipa hata mia kwa muda mrefu mpaka wakapona ,tena si kutibiwa tu huduma zote mpaka chakula na kulishwa,kuhudumiwa kusafishwa mwili haja kubwa na ndgo,kuogeshwa,huduma zote n.k wqkihudumiwa na madakatari na wauguzi,wahudumu wa afya pasipo uwepo wa ndugu zake kuwepo pasipo kutambulika utambulisho wao hata wa ndugu zao.
Na pasipo kulipia hata mia mbovu.
Na hata kwenye vyombo vya habari huwa tunaona wagonjwa hao waliotibiwa wakitangazwa kutafuta ndugu zao waweze kuwatambua.
 
Huwa ni ngumu sana kumtibu mtu bure kwemye hospitali ya serikali,

kuna watu wa ustawi wa jamii ambao kazi yao ni kuhakikisha ata kama mgonjwa hajiwez kiuchumi nfugu zske watafutwe angalau wachangie nusu ya malipo au atibiwe kwa msamaha ambapo ni process ndefu

Mfanyakazi wa afya ambae ataona ubinadamu na huruma kumtibu mtu bure uchukuliwa kama kahujumu uchumi au kuikosesha serikal mapato ambapo fedha hizo itabidi hazifidie yeye. Kwani kuna baadhi ya madawa na vifaa tiba vikitumika bila kulipiwa itabidi uwajibu MSD na wakaguzi wa afya ulivipeleka wapi

Mfano: mtu aliegongwa na gari na kuletwa na wasamalia wema hospitalini upatiwa tu huduma ya kwanza huku wakisubiri ndugu zake kujitokeza ili matibabu mengine yaendelee wakiwa na uhakika wa kulipwa malipo. Wanasema kama ukimpatia/kumuongeza Pakiti ya damu inabidi uwe na uhakika italipiwa au ndugu wataifidia kwa kuchangia kwani ni kitu adimu ambacho wakaguzi wa afya wakikuta kuna upungufu wanalalamikiwa wahudumu wa afya kuwa wamefanya uzembe na upotevu wa rasilimali kazini

HIVYo . Uenda muhudumu wa afya akawa na huruma ya kumsafia mtu ila sheria ndo zina mbana kufanya hivyo sio kama uko private kulipana ni taratibu.

# ndo maana huwezi kupanda ATCL au SGR eti nauli utalipa/ lipiwa ukifika. Mifumo na usimamizi ndo inabana kumsaidia mtu
Umeimaliza kila kitu
 
Unazingua hii sio Siri ni upuuzi haya ndio maelezo yao kila wakiitwa kwenye vipindi vya redioni ila in reality hawapo, wote wanataka ulipe pesa ndio upatiwe matibabu labda upate kibari kutoka kwa Waziri, Mbunge au Mkuu wa Mkoa ndio utawapata kinyume na hapo hawapatikani hospitali
Niiweke hivi. Baadhi ya hospitali wapo na wana ofisi zao katika hospitali. Tatizo ni mgonjwa kutokujua utaratibu pale ambapo hana pesa ya malipo au Bima.

Wao nao ustawi wa jamii wakisha jilidhisha hujiwezi kifedha kuna Boss juu yao wanampelekea taarifa ili awape GO ON..
 
Tulipofika hospitali ile tukaambiwa mgonjwa wenu tutamfanyia upasuaji na malipo mtayalipa baada ya huduma. Ikawa hivyo. Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuwaumba hawa watu wenye Roho Nzuri na tunawatakia maisha marefu.

Kazi za watoa huduma za afya wanatakiwa kuokoa maisha ya wagonjwa kwanza 1)kutonsababishia madhara DO NO HARM 2)kumsaidia mgonjwa kumuondolea maumivu,kuokoa maisha huduma kwa faida ya mgonjwa BENEFICIENCE
3)Kutunza siri za mgonjwa CONFIDENTIALITY, na privacy
4)kwa kujali utu wa mgonjwa na matakwa maamuzi ya mgonjwa PT AUTONOMY

Yani PATIENTS CENTERED kifupi AFYA USALAMA wa mgonjwa ndio KIPAUMBELE cha kwanza ni kuokoa maisha kwanza.
TENA KWENYE DHARURA EMERGENCY kipaumbele cha kwanza ni kuokoa maisha kumstabilize mgonjwa awe stable kwanza ,kumuondolea hatari ya maisha ,KUOKOA MAISHA KWANZA.

Halafu mambo ya malipo na utaratibu wa malipo UTAFUATA BAADAE.
Kwa uzoefu wangu mdogo hospitali za serikali ndio zinahudumia wagonjwa bila kutanguliza pesa kuliko hospitali binafsi.
Nimeshuhudia wagonjwa waliokotwa mahututi bila kutambulika utambulisho wao wametibiwa katika hospitali za serikali kwa muda mrefu mpaka wakapona pasipo kutambulika utambulisho wao hata wa ndugu zao.
Na hata kwenye vyombo vya habari huwa tunaona wagonjwa hao waliotibiwa wakitangazwa kutafuta ndugu zao.
Ni kweli huduma atapata.

" Huduma ya oparesheni tutakupatia ila madawa utanunua, vipimo tutakupa bure ila dawa utanunua. Tata kutibu ila anza kupiga simu ndugu watafte angalau chochote" kwa mtu ambaye hajiwez kabisa ( kama walioko TASaF) hukosa huduma zote

# Ingia mikoani ndanindani uone wa Tanzania wanayopitia
 
Haingii hasara ila inaingiza hasara kwa kuongeza vifa vya watu masikini na vipi wale wanaoenda kutibiwa huko Apolo India na kwingineko kwa gharama za juu na Serikali inalipia na wanaishia kufia huko na kurudi wakiwa ndani ya friji hapo unasemaje?
Achana na hao wa kuchangiwa kutibiwa nje ya nchi.

Humu tu mikoani. Ni ngumu sana mtu ambae hayupo vizuri kiuchumi kutibiwa kuanzia kumuona Daktari, vipimo, dawa , opareshini at kulazwa bure.

Msaada tena wa kibinadamu kwa mtoa huduma , huwa utakua sio vyote ivyo aidha oparesheni dawa uta nunua au vipimo dawa utanunua..

Ndo tumtafute waziri wa Afya atoe utaratibu kam hujiwezi kifedha na unataka huduma zote utaratibu ni upi?

Jiulize kwanini , Elimu bure katika shule za serikali wamefanikiwa angalaukuna michango inajitokeza kidogo ila kwa upande wa Afya Tiba bure imeshindikana?
 
Huwa ni ngumu sana kumtibu mtu bure kwemye hospitali ya serikali,

kuna watu wa ustawi wa jamii ambao kazi yao ni kuhakikisha ata kama mgonjwa hajiwez kiuchumi nfugu zske watafutwe angalau wachangie nusu ya malipo au atibiwe kwa msamaha ambapo ni process ndefu

Mfanyakazi wa afya ambae ataona ubinadamu na huruma kumtibu mtu bure uchukuliwa kama kahujumu uchumi au kuikosesha serikal mapato ambapo fedha hizo itabidi hazifidie yeye. Kwani kuna baadhi ya madawa na vifaa tiba vikitumika bila kulipiwa itabidi uwajibu MSD na wakaguzi wa afya ulivipeleka wapi

Mfano: mtu aliegongwa na gari na kuletwa na wasamalia wema hospitalini upatiwa tu huduma ya kwanza huku wakisubiri ndugu zake kujitokeza ili matibabu mengine yaendelee wakiwa na uhakika wa kulipwa malipo. Wanasema kama ukimpatia/kumuongeza Pakiti ya damu inabidi uwe na uhakika italipiwa au ndugu wataifidia kwa kuchangia kwani ni kitu adimu ambacho wakaguzi wa afya wakikuta kuna upungufu wanalalamikiwa wahudumu wa afya kuwa wamefanya uzembe na upotevu wa rasilimali kazini

HIVYo . Uenda muhudumu wa afya akawa na huruma ya kumsafia mtu ila sheria ndo zina mbana kufanya hivyo sio kama uko private kulipana ni taratibu.

# ndo maana huwezi kupanda ATCL au SGR eti nauli utalipa/ lipiwa ukifika. Mifumo na usimamizi ndo inabana kumsaidia mtu
Kwa hiyo bora mtu afe, utawala wa Sa100 ni hovyo sana watumishi wa umma ni wavivu kupita maelezo
 
Huduma zote za umma wana nyodo sana Kama mali za baba zao
Ni kila mahali maana hata ukimkuta boss wao ndio hovyo kuliko hata mfagiaji hapo
Huduma mbaya na majibu yasiokuwa na stara
Hiyo ni kwa sababu ubaya unaanza juu
 
Kwa hiyo bora mtu afe, utawala wa Sa100 ni hovyo sana watumishi wa umma ni wavivu kupita maelezo
NI tatizo la mifumo. Serikali itoe muongozo kwa watu wasio jiweza namna ya kupata matibabu pasipo malipo.

Mbona wanatambua kuna watu hawajiwezi kiuchumi na wanatoa pesa za TASAF ila ku gharamikia matibabu yao inakua shida.

Elimu bure wame fanikisha ila Tiba bure inakua ngumu
 
Siyo hosipitali tu, taasisi nyingi za umma zinatoa huduma mbovu sana hasa kwenye hii awamu ya sita.
Unajua kwanini? Kuna mazingira serikali imeyatengeneza yana influence mtu afanye kazi kama analazimishwa, yaani bora liende. In private sector ukifanya huo ujinga unakuwa fired asap, quality of service ni kipao mbele cha kwanza
But in gov si kipao mbele
 
Back
Top Bottom