ShukraniSawa mkuu.nenda pm nakutumia meseji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShukraniSawa mkuu.nenda pm nakutumia meseji
AhsanteShukrani
Ulifanikiwa mkuu?Naombeni msaada wa hospitali nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe huko njia ya haja kubwa. Sipati maumivu yoyote nimeamua tu kukitoa hicho kinyama sikitaki.
Naombeni msaada wa hospitali na gharama zake
Mambo vp mkuu ulivotumia hayo mafuta ya castrol oil ulipon kk auAsante kwa ushauri nitajaribu mkuu
Mrejesho kakaNipo Dar.. Hii hari imenianza Juzi baada ya kujisaidia kinyama kimetoka nje hakirudi ndani..... kuna mtu alinambia nipake Aloe vera, nimefanya ivo jana na leo. Lakini baada ya kupitia hapa na mimi kesho naenda dukani kutafuta hayo mafuta, wasiwasi wangu ni wenda nikayakosa....
Jamii forum ni sehemu muhimu sana kwa ustawi wa jamii. Thanks mleta uzi na wachangiaji. Pia sisi tutakaofuata ushauri huu ni vema tulete mrejesho baada ya kutumia ili kusaidia wengine watakaokuja kuperuzi umu mbeleni.
Dada ted bingwa wa castronoil tibaNaomba unielekeze namna ya kupata hiyo castor oil na matumizi yake
Mkuu naomba mrejesho umepona ? Mim inanisumbua bawasiliNaombeni msaada wa hospitali nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe huko njia ya haja kubwa. Sipati maumivu yoyote nimeamua tu kukitoa hicho kinyama sikitaki.
Naombeni msaada wa hospitali na gharama zake
Hope atakuwa poa but kama unahiyo changamoto tunaweza saidzana but issiwe tu imefikia stage za juu. Yan isiwe vile vinyama vmekuwa vikubwa.Mkuu naomba mrejesho umepona ? Mim inanisumbua bawasili
Kama hukujaribu hii mnyonyo nisingekushauri uanze na hospital.... tumia hii kwanza msaada wake n mkubwa sanaMkuu naomba mrejesho umepona ? Mim inanisumbua bawasili
Mkuu niko mkoani nahitaji hayo mafuta, msaada tafadhari.Maduka mengi tuu hasa ya vipodozi huwezi kukosa..sh..2000 hadi 3000 tuu kwa kachupa kadogo...lakini huwezi kukamaliza hako kachupa..utatumia chini ya asilimia 5.
Vp mkuu ulifanikiwa kuponaNipo Dar.. Hii hari imenianza Juzi baada ya kujisaidia kinyama kimetoka nje hakirudi ndani..... kuna mtu alinambia nipake Aloe vera, nimefanya ivo jana na leo. Lakini baada ya kupitia hapa na mimi kesho naenda dukani kutafuta hayo mafuta, wasiwasi wangu ni wenda nikayakosa....
Jamii forum ni sehemu muhimu sana kwa ustawi wa jamii. Thanks mleta uzi na wachangiaji. Pia sisi tutakaofuata ushauri huu ni vema tulete mrejesho baada ya kutumia ili kusaidia wengine watakaokuja kuperuzi umu mbeleni.
Bei ya dawamkuu pole sana kwa tatizo lako,
ka hujapata ufumbuzi wa tatizo hilo tuwasiliane nikupatie dawa ambayo utapaka na tatizo litaondoka kabisa na hutohitaji kufanya upasuaji kabisa, pia dawa hiyo inasaidia kuondoa NYAMA ZA PUA.
karibu
Bei si issue mkuu.Bei ya dawa
Ubarikiwee sana mkuukutumia..siku